CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
- #21
Akiwa Ushetu Mkuu wanguAmeyasema akiwa wapi?
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa Ushetu Mkuu wanguAmeyasema akiwa wapi?
Tabia zipi?Na wewe Una Tabia kama za Shaka
Kwani CCM si ndiyo inatawala? sasa anajilalamikiaje mwenyewe? au CCM haina control kwamba kila chombo cha serikale yake kinajifanyia kinavyotaka? Hawa watu waache cheap politics za danganya toto
Mnoo.....😍Jamaa kanyooka sana,
Awafukuze tu hata kama ni waziri atoke,
Unavunjaje watu miguu?
Tuendelee kuwatetea wananchi wetu,Watu hawashtuki tu Serikali ya Rais Samia niya "UTU" sana, Lazima waache mambo ya kuwabambika watanzania kesi na kuwavunja miguu halikubaliki kabisa,
Shaka amekuwa kiongozi mwenye utu sana nafsini mwake kwenye hili tunamuunga mkono 100%,Tusikubali watu wamchonganishe Rais na wananchi wake,
Hakika mkuu.....lengo lao ni kuichafua tu serikali sikivu ya awamu ya 6.....Shaka Safi Sana Mkuu,
Lazima kusimama na wanachi ndio uzalendo
Fukuza hao mbwa wanaomuharibia rais wetu
Waache kuitia doa serikali hii inayomcha Mungu fukuza kabisa hao hata kama ni waziri fukuza kabisa
😍Shaka usionee huruma mtu fukuza kabisa,
Kwanini watese watu wetu?
Fukuza na anza na waziri wao,
Tunataka serikali inayoheshimu watu wake zama za uonevu zilikufa,
Chapa kazi Shaka fukuza hao wote huko Kahama
Cherehani Huyu Huyu Kweli Ama Hatokani Na Ccm
Swadakta mkuu...uovu na ukatili kwa walipa kodi si wa kuuacha upite tu....Tunahitaji viongozi wengi zaidi mfano wa Shaka...
Nikweli Shaka ni mtu mwema sana tuendelee kumwombea sana,Shaka anasiasa safi sana huyu jamaa,
Lazima tuwe na viongozi watakao simama na wananchi wakati wote,
Shaka anahuruma sana ndio maana anaweza kusimama upande wa wananchi
Magemu ni wanyama kabisa hawa watu,
Shaka fukuza hao watu
Mweleko ni mzuri sana, tuendelee kuiombea nchi yetu,Sawa ngoja tuone chombo Kina mwelekeo gani
Mwema mno mkuu wangu.....Nikweli Shaka ni mtu mwema sana tuendelee kumwombea sana,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Shaka akishasema Waziri kazi kwake,Shaka fukuza hao pumbafu kabisa,
Wanavunja watu miguu wamewazaa?
Nyie Magemu nawachukia sana kabisa,
CCM safi sana kusimama na wananchi,
Mama Samia hawa wanakuharibia sana kama hujui
Mkuu nakusalimu kwa jina la JMT,Kiongozi wetu KAONGEA.....
Mzalendo Shaka Hamdu Shaka AMENENA......💪
TFS wajue ya kwamba CCM imepewa dhamana kulinda usalama na maslahi ya watanzania.....
Hilo ni AGANO.....
#NchiKwanza
#SiempreCCM
Amen 😍😍😍Komredi Shaka ni mfano wa kuigwa.....
😍😍😍 Tuendelee kuchapa kazi kwa bidiiShaka Safi Sana Mkuu,
Lazima kusimama na wanachi ndio uzalendo
Fukuza hao mbwa wanaomuharibia rais wetu
Waache kuitia doa serikali hii inayomcha Mungu fukuza kabisa hao hata kama ni waziri fukuza kabisa
Bramo sijaanza kukujua leo mkuu wangu.....Na wewe Una Tabia kama za Shaka