Shaka: Tulikotoka ni kuzuri, tuliko ni kuzuri zaidi, tunakokwenda kila mtu atafurahi zaidi ya leo

Shaka: Tulikotoka ni kuzuri, tuliko ni kuzuri zaidi, tunakokwenda kila mtu atafurahi zaidi ya leo

View attachment 2407938

MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan yuko imara, makini na aliyetayari kuwatumikia Watanzania.

Shaka ameyasema hayo leo Novemba 5, 2022, jijini Dar es Salaam alipokuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi, lililoandaliwa na Jukwaa la Jamii Mpya na kufanyika katika ukumbi wa PTA Temeke.

"Upo msemo unaosema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini, yuko imara na amejawa na utayari wa kuwatumikia Watanzania, manenomaneno yasiwakatishe tamaa, manenomaneno yasiwarudishe nyuma kwa Rais wenu, hakuna kurudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan amesimama imara," amesema.

Mwisho
Kazi inafanyika Tanzania tuache maneno mengi,Ukiangalia kasi ya maendeleo inayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan lazima tukubali kuwa hakika kazi inafanyika,
 
View attachment 2407938

MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan yuko imara, makini na aliyetayari kuwatumikia Watanzania.

Shaka ameyasema hayo leo Novemba 5, 2022, jijini Dar es Salaam alipokuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi, lililoandaliwa na Jukwaa la Jamii Mpya na kufanyika katika ukumbi wa PTA Temeke.

"Upo msemo unaosema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini, yuko imara na amejawa na utayari wa kuwatumikia Watanzania, manenomaneno yasiwakatishe tamaa, manenomaneno yasiwarudishe nyuma kwa Rais wenu, hakuna kurudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan amesimama imara," amesema.

Mwisho
Huyu mswahili huwa simuelewi hata anafanya nini zaidi ya kusifia upuuzi
 
View attachment 2407938

MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan yuko imara, makini na aliyetayari kuwatumikia Watanzania.

Shaka ameyasema hayo leo Novemba 5, 2022, jijini Dar es Salaam alipokuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi, lililoandaliwa na Jukwaa la Jamii Mpya na kufanyika katika ukumbi wa PTA Temeke.

"Upo msemo unaosema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini, yuko imara na amejawa na utayari wa kuwatumikia Watanzania, manenomaneno yasiwakatishe tamaa, manenomaneno yasiwarudishe nyuma kwa Rais wenu, hakuna kurudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan amesimama imara," amesema.

Mwisho
Namkubali Sana huyu Mwamba
 
View attachment 2407938

MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan yuko imara, makini na aliyetayari kuwatumikia Watanzania.

Shaka ameyasema hayo leo Novemba 5, 2022, jijini Dar es Salaam alipokuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi, lililoandaliwa na Jukwaa la Jamii Mpya na kufanyika katika ukumbi wa PTA Temeke.

"Upo msemo unaosema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini, yuko imara na amejawa na utayari wa kuwatumikia Watanzania, manenomaneno yasiwakatishe tamaa, manenomaneno yasiwarudishe nyuma kwa Rais wenu, hakuna kurudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan amesimama imara," amesema.

Mwisho
 
View attachment 2407938

MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan yuko imara, makini na aliyetayari kuwatumikia Watanzania.

Shaka ameyasema hayo leo Novemba 5, 2022, jijini Dar es Salaam alipokuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi, lililoandaliwa na Jukwaa la Jamii Mpya na kufanyika katika ukumbi wa PTA Temeke.

"Upo msemo unaosema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini, yuko imara na amejawa na utayari wa kuwatumikia Watanzania, manenomaneno yasiwakatishe tamaa, manenomaneno yasiwarudishe nyuma kwa Rais wenu, hakuna kurudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan amesimama imara," amesema.

Mwisho
Nonsense
 
View attachment 2407938

MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan yuko imara, makini na aliyetayari kuwatumikia Watanzania.

Shaka ameyasema hayo leo Novemba 5, 2022, jijini Dar es Salaam alipokuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi, lililoandaliwa na Jukwaa la Jamii Mpya na kufanyika katika ukumbi wa PTA Temeke.

"Upo msemo unaosema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini, yuko imara na amejawa na utayari wa kuwatumikia Watanzania, manenomaneno yasiwakatishe tamaa, manenomaneno yasiwarudishe nyuma kwa Rais wenu, hakuna kurudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan amesimama imara," amesema.

Mwisho
Shaka ni jembe Sana aise, Kazi inaijua Asante kwa kuimarisha CCM yetu
 
Back
Top Bottom