Shaka: Watanzania watege sikio tarehe 09 Oktoba Dodoma, Rais ana jambo la kuwaambia watanzania

Shaka: Watanzania watege sikio tarehe 09 Oktoba Dodoma, Rais ana jambo la kuwaambia watanzania

Wasaka urais kuelekea mwaka 2025 kuondolewa rasmi ndani ya Baraza la Mawaziri siyo!? Uamuzi huu unapaswa kuangaliwa kwa uangalifu mkubwa sana.

Uwepo wa wateule wa JPM ndani ya baraza bado una umuhimu mkubwa sana kwa utengamano wa CCM ya sasa. Ili kuthibiti pilikaplika za hapa na pale, ni vyema wakazidi kuwepo.

Natambua kauli ya "niguse ninuke" iliyotolewa kule jimbo la kusini wakati wa ziara ya PM inafungua "codes" fulani muhimu ili kuhalalisha mabadiliko tarajiwa. Hamasa inafanyika ili kuondoa makapi ya 'champion" wa Chato.

Ila tahadhari ichukuliwe kama washika hatamu wameazimia kumundoa mtu huyu na huyu katika wizara hizo nyeti kwa muda huu. Ni vyema wavute sunira, ili kwa "timing" kubwa akapanguliwa mmoja baada ya mwingine kuliko kuwaondoa wote kwa pamoja. Kwa pupa hii, hakika chama twawala kinakwenda kupasuka rasmi katika makundi mawili na kuelekea katika kifo chake.
Kumbe,sasa tutawapiga chini Ili wasake Urais vizuri na wakaoneahe huo umuhimu wao Kwa wananchi sawa mkuu,stay tuned.
 
Kwani uongo? Weka takwimu za ulinganisho kama unabisha.
Mnalinganisha Vichuguu mbele ya MILIMA Hahahaa Kama nilivyoandika awali komenti zenu zimejaa vichekesho tu na wala hakuna la maana lolote lile la kujibu
 
Mkuu, usilinganishe CCM ile ambayo ilikuwa na makada wahafidhina na wenye kuaminika, na hii ya sasa ambayo ni sawa na sikio la kufa.
Hili hapa sikio la kufa 😄😄👇

IMG_20211007_182253_086.jpg


IMG_20211007_182141_773.jpg


IMG_20211007_181650_033.jpg


IMG_20211007_181024_765.jpg


IMG_20211007_181036_075.jpg
 
Ridhwan kuukwaa Uwaziri? Huyu mama hana la maana la kutwambia zaidi ya uongo mwingi. Ngoja tusubiri labda kwa mara ya kwanza ataongea la maana.
Hivi uwa anaenda msikitini kweli huyu Miss Royal Tour
 
CCM hamna jipya - mnaitawala Tanzania kwa siasa za ulaghai.

1633673765480.jpeg
 
Hivi ni lini araonekana Raisi mwenye maono na Falsafa? Mwl. Nyerere, Mkapa na Magufuli wote hao ulikuwa ukiwasikiliza unaona wamebeba Falsafa na maono Fulani. Hebu tusaidie maono na Falsafa yake
Utulivu, upendo na kuponya makovu ya Mwendazake
 
Hivi ni lini araonekana Raisi mwenye maono na Falsafa? Mwl. Nyerere, Mkapa na Magufuli wote hao ulikuwa ukiwasikiliza unaona wamebeba Falsafa na maono Fulani. Hebu tusaidie maono na Falsafa yake
Utulivu, upendo na kuponya makovu ya Mwendazake
 
Naona Mh Mama Samia ana anza kupotoka.
Kipindi cha mwenda zake, Ccm na viongozi wa Serikali walijenga tabia ya kumuabudu mwanadamu mmja kuliko Mungu jadi kufikia mahali pa kumfananisha na Yesu. Sasa taratibu huu ujinga wana anza kuupeleka kwa Mh. Samia. Nishauri bure, Mama Samia wewe ni mtumishi tuu, mamlaka uliyo nayo umepewa na Mungu, usikubali kutukuzwa. Kubali kuheshimiwa. Neno toka Biblia takatifu lina sema Kila ajikwezae ATASHUSHWA. Na kila Ajishushae ATAKWEZA. Wakanye wanao jipendekeza kwako kukufanya mkuu kuliko Mungu. Bwana wa Majeshi aliwaagiza wanadamu alio wapa madaraka kwenda kuongoza na sio kutawala. Usikubali kuwa mtawala. Kawe kiongozi.
 
SHAKA: TUTEGE MASIKIO TAREHE 09 RAIS ANA JAMBO KWA WATANZANIA.

Katibu wa NEC - Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka amesema mpaka kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 Ilani ya Uchaguzi ya 2020/25 itakua imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 100 kwa namna Mwenyekiti wetu na Rais wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan alivyo na utayari na umakini kwa watanzania.

Pamoja na hayo, Shaka amesema watanzania watege sikio tarehe 09 Oktoba Dodoma, Rais ana jambo la kuwaambia watanzania.

#KaziIendelee
#TunaImaniNaSamia
Ni mambo ya tozo.
 
Mama samia ni msemaji mzuri, lakini katika vitendo na matokeo ni hafifu.

Samia Anaweza akasema au akaagiza kitu kifanyike, na hakuna matokeo chanya.

Mtangulizi wake Hayati Joseph Magufuli alikuwa akiagiza kitu fulani kifanyike, basi matokeo wote mnayaona.
Alishasema yeye hawezi kuhesabu matofali
 
Tunataka utuwekee Takwimu za miezi 6 ya hao Marais wako na sisi tutakuwekea.
Pengine kipindi Mkapa anaingia madarakani ulikuwa mtoto wa miaka 2 hujashuhudia uongozi wa mzee Mwinyi na Mwalimu Nyerere ni kuwa umewasoma na kusimuliwa halafu unataka nipoteze mda wangu Hahahaa dah.
 
Nadhani una matatizo ya akili au chuki zinakusumbua.

Bila ku adjust viwango vya tozo bei ingeongeseka kwa sh.145 kwa kila Lita lakini hiyo 50 iloyopungua bado unaona si kitu.

Serikali iliweka tozo ya sh.100 kwa kila Lita kilio mlicholia Hadi mkajiharishia.
Achana na majinga hayo,Yana chuki na Rais wasasa
 
Mama samia ni msemaji mzuri, lakini katika vitendo na matokeo ni hafifu.

Samia Anaweza akasema au akaagiza kitu kifanyike, na hakuna matokeo chanya.

Mtangulizi wake Hayati Joseph Magufuli alikuwa akiagiza kitu fulani kifanyike, basi matokeo wote mnayaona.
ni kweli isee aliagiza mifuko ya lailoni iwe mwisho kutumia ndani ya miezi miwili tu ikapotea yoote akaagiza viloba nisivione mtaani vikapotea ingawa kwa sasa vimerudi kwa mgongo wa double kick magufuli alikuwa na sauti ya MAMLAKA..!
 
Back
Top Bottom