TANZIA Shakoor Jongo wa Global Publishers afiwa na kaka yake

TANZIA Shakoor Jongo wa Global Publishers afiwa na kaka yake

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mwandishi wa habari maarufu wa magazeti pendwa nchini, kupitia kampuni ya global publishers, Shakoor jongo Kupitia ukurasa wake wa instagram
aliandika;

Tanzia Ndugu zangu, rafiki zangu napenda kuwapa taarifa kuwa leo asubuhi nikiwa naenda kazini nilipigiwa simu na kuambiwa nirudi nyumbani nilivyofika nimekuta msiba ambao kwangu ni mkubwa sana kaka yangu tegemezi yaani kwa ukoo mzima wa mzee Jongo.

Baada ya wazee wote kufariki na yeye kuachiwa majukumu ya kuongoza ukoo, anayeitwa Kitwana Jongo amefariki.

Kiukweli nimeathirika sana kisaikolojia nayaona kabisa majukumu ya mbele yangu ya kuongoza ukoo.
 

Attachments

  • 1410980629238.jpg
    1410980629238.jpg
    29.9 KB · Views: 465
Pole sana Shakoor wote tutafuata..Muombee kaka yako alale mahala pema peponi
Jamaa baada ya kusikitika kumpoteza kaka ake kipenzi anasikitikia majukumu ya mbele ya kuongoza familia...
 
Pole sana Shakoor wote tutafuata..Muombee kaka yako alale mahala pema peponi
Jamaa baada ya kusikitika kumpoteza kaka ake kipenzi anasikitikia majukumu ya mbele ya kuongoza familia...

Mwenzangu mimi mwenyew nimeshangaa, eti majukumu yote kwangu sasa ivi, kazi yenyewe ya udaku ndo ategemee kulea ukoo mzima mmh!! Kazi anayo, akazane na umbea sasa atafanikiwa
 
Mmhhhhh ngoja nilale mie,ntatoa pole kesho
 
Huyo ndo mbea aliyetukuka kutoka gpl, ni noma kwenye masuala ya ubuyu, japokuwa alivyo tofauti na kazi yake, kweli kazi ni kazi

Huyu ni kijeba ya wambea..kila nikionana nae nacheka sana jinsi alivyo popolewa mawe na mama sepetu ila kujikomba ni wito jamani..jamaa kajaaliwa!
 
Binamu nifikishie pole zangu kwa Shakoor Jongo, mwambie kupewa majukumu ya ukoo ndio ukubwa huo, ukubwa sio kuandika habari za umbea tu

Huyo ndo mbea aliyetukuka kutoka gpl, ni noma kwenye masuala ya ubuyu, japokuwa alivyo tofauti na kazi yake, kweli kazi ni kazi
 
Binamu nifikishie pole zangu kwa Shakoor Jongo, mwambie kupewa majukumu ya ukoo ndio ukubwa huo, ukubwa sio kuandika habari za umbea tu

Shakoor analalamika majukumu, sasa sijui atafanyaje inabid aongeze juhudi kwenye umbea ili alee ukoo wake vizur
 
Jamani pole sana kwa role model wa Warumi. Mwanaume yake majukumu, so nakuombea tu ufanikiwe katika kutimiza majukumu yako ya kiukoo.
 
Umbea unalipa jamani!!!!hiyo picha ndo ya shakoor o marehemu??@Warumi naomba jibu
 
Dinazarde, Heaven Sent, Heaven on Earth, geniveros, Mrembo by Nature, Madame B, miss neddy, princess sayuni, TATIANA, amu, ram, mamakibunju, qn of sheba, maatope, Bulldog na wadau wengine kujeni uku tumpe pole mwana chama wetu kafiwa huku na kaka yake

.....uwiiiii!!!!!
Nimelia sana.....
Ngoja nipange kamati.

Dinazarde na Heaven Sent.....Mtaenda kutuletea Madera.

Heaven on Earth na geniveros....mtaenda kutuletea vanga la kuimba msibani.

Mrembo by Nature na miss neddy....mtaenda kukodi watu wa kuja kulia msibani, si unajua mjini biashara huria

princess sayuni na tatiana.... mtaenda kukodi kiberenge cha makaburini.

ram na mamakibunju mje na mafuta ya uto

qn of sheba, maatope na Bulldog.....muwahi msibani ili mtupe updates.

miss strong....twende kula ubuyu kwanza
 
Last edited by a moderator:
Umbea unalipa jamani!!!!hiyo picha ndo ya shakoor o marehemu??@Warumi naomba jibu

Huyo ndo shakoor binamu, mbea aliyetukuka pale gpl, yani bila yeye magazeti yanadoda maana jamaa kipaji anacho, mbea hatari halafu anaonekana mpole mwenyew utadhani anasingiziwa, umkute kwenye anga zake sasa
 
Huyo ndo shakoor binamu, mbea aliyetukuka pale gpl, yani bila yeye magazeti yanadoda maana jamaa kipaji anacho, mbea hatari halafu anaonekana mpole mwenyew utadhani anasingiziwa, umkute kwenye anga zake sasa

Hhhhaaaaaaaaa
 
Mwenzangu mimi mwenyew nimeshangaa, eti majukumu yote kwangu sasa ivi, kazi yenyewe ya udaku ndo ategemee kulea ukoo mzima mmh!! Kazi anayo, akazane na umbea sasa atafanikiwa

Wewe watu wako kwenye msiba unaleta upashkuna wako bwe.ge wewe.
 
Back
Top Bottom