TANZIA Shakoor Jongo wa Global Publishers afiwa na kaka yake

TANZIA Shakoor Jongo wa Global Publishers afiwa na kaka yake

.....uwiiiii!!!!!
Nimelia sana.....
Ngoja nipange kamati.

Dinazarde na Heaven Sent.....Mtaenda kutuletea Madera.
Heaven on Earth na geniveros....mtaenda kutuletea vanga la kuimba msibani.

Mrembo by Nature na miss neddy....mtaenda kukodi watu wa kuja kulia msibani, si unajua mjini biashara huria

princess sayuni na tatiana.... mtaenda kukodi kiberenge cha makaburini.

ram na mamakibunju mje na mafuta ya uto

qn of sheba, maatope na Bulldog.....muwahi msibani ili mtupe updates.

miss strong....twende kula ubuyu kwanza

Kweli kabisa mdau mwenzetu yule wa maubuyu lazima tumfariji, warumi na Dinazarde nadhani tutahudhuria mazishi tukamfariji mdau wetu, leo ntaenda kukesha ili nipate umbea wa uko msibani
 
Last edited by a moderator:
Wewe watu wako kwenye msiba unaleta upashkuna wako bwe.ge wewe.

Ebu nipishe apa, aliyekwambia umbea una sehemu maalumu nani? Umbea unafanyika kanisani ebu niache apa we umekunywa supu ya mapumb ya mbwa ndo maana unaropoka ovyo apa
 
Kweli kabisa mdau mwenzetu yule wa maubuyu lazima tumfariji, warumi na Dinazarde nadhani tutahudhuria mazishi tukamfariji mdau wetu, leo ntaenda kukesha ili nipate umbea wa uko msibani

Msikose kunipitia nami, pale Mtaa wa Mateja, niko na mkubwa babukijana.

Afu binamu, una habari kuwa yule bwabwa, kunguru hafugiki jana kafumaniwa pale bar ya vipozeo?
Ubuyu huo nakupa.
 
Last edited by a moderator:
Ebu nipishe apa, aliyekwambia umbea una sehemu maalumu nani? Umbea unafanyika kanisani ebu niache apa we umekunywa supu ya mapumb ya mbwa ndo maana unaropoka ovyo apa

Umeanza hebu piga kimya usiwaquote
 
Msikose kunipitia nami, pale Mtaa wa Mateja, niko na mkubwa babukijana.

Afu binamu, una habari kuwa yule bwabwa, kunguru hafugiki jana kafumaniwa pale bar ya vipozeo?
Ubuyu huo nakupa.

Nani tena hiyo binamu? Sijaipata hiyo ilikuwaje? Ebu nipe supu ya ulimi mie nilie na chapati
 
Last edited by a moderator:
Nani tena hiyo binamu? Sijaipata hiyo ilikuwaje? Ebu nipe supu ya ulimi mie nilie na chapati

yule tzf gari ya taka....Jana kachezea kichapo, kagonganisha magari tena semitrella....watu wakamuweka kwapani wakamtia makonzi, chezea utamu wewe.....
 
Watu wanaipigia umbea hadi maiti sembuse msiba, atupishe apa

tena atokomee....maporini akacheke na nyani.
Mwambie dunia duara, kila mtu na ngomaye.....
Hiari yake kucheza au kuwa mtazamaji.
 
tena atokomee....maporini akacheke na nyani.
Mwambie dunia duara, kila mtu na ngomaye.....
Hiari yake kucheza au kuwa mtazamaji.

Ye anaona wachawi wapo kiringeni wanafanya yao halafu ye anawafuata anategemea nini kama sio kulogwa nyambafu zake
 
Kweli ana sura ya upole kumbe mmbea namba moja mjini, utashangaa hap hapo kwenye msiba wa kaka yake atapata ya kuandika, chezea udaku wewe......
Tumuombee hukusu mzigo wa ukoo alioachiwa

Ukimuona kama mlokole flani kumbe wee noma, na ndio maana anapata umbea sana kwa kuwa akienda sehemu yeyote hakuna atakayemjua kama jamaa mbea so anafanya umbea wake kiuraisi
 
Dada najiandaa, saa tisa nitakuwa msibani, warumi direction please, wapi msiba upo?


.....uwiiiii!!!!!
Nimelia sana.....
Ngoja nipange kamati.

Dinazarde na Heaven Sent.....Mtaenda kutuletea Madera.

Heaven on Earth na geniveros....mtaenda kutuletea vanga la kuimba msibani.

Mrembo by Nature na miss neddy....mtaenda kukodi watu wa kuja kulia msibani, si unajua mjini biashara huria

princess sayuni na tatiana.... mtaenda kukodi kiberenge cha makaburini.

ram na mamakibunju mje na mafuta ya uto

qn of sheba, maatope na Bulldog.....muwahi msibani ili mtupe updates.

miss strong....twende kula ubuyu kwanza
 
Last edited by a moderator:
Huyu ni kijeba ya wambea..kila nikionana nae nacheka sana jinsi alivyo popolewa mawe na mama sepetu ila kujikomba ni wito jamani..jamaa kajaaliwa!

Na sasa ivi marafiki na mama ubaya, kutwa wanaendaga kudoea ugali pale sinza meeda kwa mama wema
 
Kweli ana sura ya upole kumbe mmbea namba moja mjini, utashangaa hap hapo kwenye msiba wa kaka yake atapata ya kuandika, chezea udaku wewe......
Tumuombee hukusu mzigo wa ukoo alioachiwa

Mmh kashaanza kutoa umbea wa ukoo wao, mmh kweli umbea hauna dawa, sasa badala ya kulilia msiba yeye analia kaachiwa majukumu mmh kazi ipo
 
  • Thanks
Reactions: ram
Back
Top Bottom