Akina Mrembo by Nature, ram, Heaven Sent, Dinazarde, Heaven on Earth, princess sayuni, mamakibunju, miss strong jamani mpendeze kwenye msiba tusije tukatia aibu wana jamii forum, Dinazarde hakikisha mnavaa sare zenu zile mi ndo naenda mjini kushughulikia usafir wa coaster, nadhani tutakutana mwenge, halafu ram muwahi kwenye msiba jaman mkapembue mchele, kamati ya mazishi nadhani akina Matola watasimamia shoo
Hhhhhaaaa unanivunja mbavu usikonde mi najianda muda si mrefu natokelezeaa, na make up tupake ee na kope tubandike eti madameB
Akina Mrembo by Nature, ram, Heaven Sent, Dinazarde, Heaven on Earth, princess sayuni, mamakibunju, miss strong jamani mpendeze kwenye msiba tusije tukatia aibu wana jamii forum, Dinazarde hakikisha mnavaa sare zenu zile mi ndo naenda mjini kushughulikia usafir wa coaster, nadhani tutakutana mwenge, halafu ram muwahi kwenye msiba jaman mkapembue mchele, kamati ya mazishi nadhani akina Matola watasimamia shoo
Hhhhhaaaa unanivunja mbavu usikonde mi najianda muda si mrefu natokelezeaa, na make up tupake ee na kope tubandike eti madameB
.....uwiiiii!!!!!
Nimelia sana.....
Ngoja nipange kamati.
Dinazarde na Heaven Sent.....Mtaenda kutuletea Madera.
Heaven on Earth na geniveros....mtaenda kutuletea vanga la kuimba msibani.
Mrembo by Nature na miss neddy....mtaenda kukodi watu wa kuja kulia msibani, si unajua mjini biashara huria
princess sayuni na tatiana.... mtaenda kukodi kiberenge cha makaburini.
ram na mamakibunju mje na mafuta ya uto
qn of sheba, maatope na Bulldog.....muwahi msibani ili mtupe updates.
miss strong....twende kula ubuyu kwanza
haswaaaaa....siku hizi mambo ya kuvaa khanga kwenye msiba tuwaachie wakongwe....sie yetu Madera, maderaa, hata dishdash twatupia babu weeeeee .....kwan sh ngapi.... Dinazarde!!!
Mitaani ukuda mwingi acha tukauze sura misibani....
.....usisahau kuvaa na pensi, si unajua watoto wa mbwa wapo kila kona!
haswaaaaa....siku hizi mambo ya kuvaa khanga kwenye msiba tuwaachie wakongwe....sie yetu Madera, maderaa, hata dishdash twatupia babu weeeeee .....kwan sh ngapi.... Dinazarde!!!
Mitaani ukuda mwingi acha tukauze sura misibani....
.....usisahau kuvaa na pensi, si unajua watoto wa mbwa wapo kila kona!
Mi ndo nipo kkoo nashughulikia usafir, maana kuna watu wameni pm watakuwepo so nadhan coaster tatu zitatosha, binamu ujipange , mi mida ya jioni ndo nitatia timu uko nilale kabisa, ntaenda na camera yangu
Nasikia team mama ubaya za insta zitakuwepo so mjipange na pensi uko na viwembe anytime kinanuka uko
Kamati yetu ilitaka ku print t-shirt za jamii forum sema budget haijatosha, yani uko leo msibani hakuna kulala umbea mwanzo mwisho mpaka kuchee
Akina Mrembo by Nature, ram, Heaven Sent, Dinazarde, Heaven on Earth, princess sayuni, mamakibunju, miss strong jamani mpendeze kwenye msiba tusije tukatia aibu wana jamii forum, Dinazarde hakikisha mnavaa sare zenu zile mi ndo naenda mjini kushughulikia usafir wa coaster, nadhani tutakutana mwenge, halafu ram muwahi kwenye msiba jaman mkapembue mchele, kamati ya mazishi nadhani akina Matola watasimamia shoo