hakyamungu we warumi siyo mzima.
Nimecheka sana
Mbu? Unaongea nini? Ata mvua ya radi siogopi, umbea mwanzo mwisho,weraaaaa
Tuna nyota mpaka watu mtaa wa pili wanazitumia kuanzishia thread
Aahahahahhh, mie binamu saa tisa tutakutana hapo, navaa sare msiba wa nalino.... hilo dela la leo nadhani Dinazarde atakuja nayo, tutavalia hapo hapo msibani, tuwahi kuona yanayojili hapo
....usisahau na chachandu....
Side ndo tushafika
Wewe watu wako kwenye msiba unaleta upashkuna wako bwe.ge wewe.
Hivi madame Rummy ni nani mjini ana pesa chafu balaa ila aba kamdudu,kuna mdada kule kwa sinta kila akikoment anataka asaidiwe kumpata Rumy et ahongwe gari hhhhaaaaaa kachoka daladala warumi njoo
Hivi madame Rummy ni nani mjini ana pesa chafu balaa ila aba kamdudu,kuna mdada kule kwa sinta kila akikoment anataka asaidiwe kumpata Rumy et ahongwe gari hhhhaaaaaa kachoka daladala warumi njoo
Shoga ukienda huko msibani unifichie walau kijinyama unletee...si unajua msosi wa shughuli mtamuuu? Hasa wa msibani unakula huku unashushia na machozi....
Jamaa ana pesa chafu, kashagonga bongo movie nzima, yeye na mwenzie haidary kavira, nasikia ni drugs dealer wale, ni vijana tu wadogo ila wanawatesa sana mabinti wadogo wenye tamaa na maisha , jamaa ana watumia kama toilet paper, kashagonga wema,penny na mastaa kibao
Uje twende bana hatuli msiban tutakula hoteli bana huogopi sumu weyee
Kumbe ndio ana mpenzi anaitwa Julie sijui ni mke
Me niko mbalii shoga angu...we niwakilishe...
Hiyo sumu ntainywea maziwa we niletee....
Eee haya ntabeba kwenye hotpot kabisa,ila mama Abdul akituona mchambo wake sasa labda warumi atanisaidia
Bina nadhani we unaweza hata usile wallah
Huyo ndo shakoor binamu, mbea aliyetukuka pale gpl, yani bila yeye magazeti yanadoda maana jamaa kipaji anacho, mbea hatari halafu anaonekana mpole mwenyew utadhani anasingiziwa, umkute kwenye anga zake sasa
JUlie yule malaya wa jiji? Mtoto malay yule binamu, halafu anajifanyaga matawi kumbe mbwa tu wa mjini, ni shoga wa penny,wolper na lulu, na wote wamelala na hyo rumy, yan kale ka julie kanagongwa na wenye nazo tu ila anajisikia sana wakat wadau wanasema t@ko lake moja dogo