Shamba eka 4 Kimbiji Kigamboni linauzwa

Shamba eka 4 Kimbiji Kigamboni linauzwa

Snipper

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
1,336
Reaction score
2,171
Shamba lenye ukubwa wa ekari 4 linauzwa. Shamba liko Kimbiji wilaya ya Kigamboni, Dsm. Shamba liko mita 800 kutoka barabara kubwa ya Kigamboni Pembamnazi. Bei ni mil 7 kwa kila eka. Umeme upo karibu sana na shamba. Tuwasiliane kwa anayehitaji.
20201223_171236.jpg
 
Karibuni sana tufanye biashara hii. Unaweza kulima, kufuga ngombe, kuku, mbuzi nakadhalika
 
Mazao ambayo unaweza kulima ni pamoja na bamia, mihogo, mahindi nk
 
This is nice, we dalali au mali yako? Una utambulisho gani wa kumiliki hii mali? Ni Kimbiji mtaa gani?
 
Hio
This is nice, we dalali au mali yako? Una utambulisho gani wa kumiliki hii mali? Ni Kimbiji mtaa gani?
Hii ni mali yangu mwenyewe na haina udalali. Kuhusu utambulisho kuna hati ya mauziano kutoka kwenye serikali ya mtaa. Ni kimbiji mtaa kwa Morisi. Karibu sana mkuu tuyajenge
 
Shamba lenye ukubwa wa ekari 4 linauzwa. Shamba liko Kimbiji wilaya ya Kigamboni, Dsm. Shamba liko mita 800 kutoka barabara kubwa ya Kigamboni Pembamnazi. Bei ni mil 5 kwa kila eka. Umeme upo karibu sana na shamba. Tuwasiliane kwa anayehitaji.
Snipper mtu akitaka kuja kuliona hilo shamba hasa siku za weekend inawezekana? Vipi maeneo ya jirani kuna watu wameanza kufanya kama makazi?
 
Shamba lenye ukubwa wa ekari 4 linauzwa. Shamba liko Kimbiji wilaya ya Kigamboni, Dsm. Shamba liko mita 800 kutoka barabara kubwa ya Kigamboni Pembamnazi. Bei ni mil 5 kwa kila eka. Umeme upo karibu sana na shamba. Tuwasiliane kwa anayehitaji.
Je haliko katika ramani ya mipango miji? Maeneo mengi yameshawekwa katika mipango miji hivyo mnunuzi lazima apate kuhakiki kwa manispaa y a Kigamboni kama eneo halijapangiwa sughuli na serikali. Kuna watu wamenunua maeneo kumbe sehemu imepitiwa na barabara au ni shule au makaburi.
 
Shamba lenye ukubwa wa ekari 4 linauzwa. Shamba liko Kimbiji wilaya ya Kigamboni, Dsm. Shamba liko mita 800 kutoka barabara kubwa ya Kigamboni Pembamnazi. Bei ni mil 5 kwa kila eka. Umeme upo karibu sana na shamba. Tuwasiliane kwa anayehitaji.
Million 5 zote hizo gharama ni kubwa mno
 
Je haliko katika ramani ya mipango miji? Maeneo mengi yameshawekwa katika mipango miji hivyo mnunuzi lazima apate kuhakiki kwa manispaa y a Kigamboni kama eneo halijapangiwa sughuli na serikali. Kuna watu wamenunua maeneo kumbe sehemu imepitiwa na barabara au ni shule au makaburi.
Unachosema ni sawa kabisa. Maeneo mengi ya Dar yamekwishapangiliwa. Kwa pale ni eneo la makazi ingawa kwa sasa panatumika kwa kilimo. Karibu sana mkuu
 
Million 5 zote hizo gharama ni kubwa mno
Ekari moja kwa milioni tano unaona ni kubwa tena kwa Dar? Hiyo ni bei ndogo sana mkuu. Karibu sana ujipatie eneo la kilimo ambalo kwa baadae unaweza kupafanya kuwa makazi
 
Back
Top Bottom