Shamba eka 4 Kimbiji Kigamboni linauzwa

Shamba eka 4 Kimbiji Kigamboni linauzwa

Shamba lenye ukubwa wa ekari 4 linauzwa. Shamba liko Kimbiji wilaya ya Kigamboni, Dsm. Shamba liko mita 800 kutoka barabara kubwa ya Kigamboni Pembamnazi. Bei ni mil 5 kwa kila eka. Umeme upo karibu sana na shamba. Tuwasiliane kwa anayehitaji.
Mkuu bado tu kuna madalali kama wewe wanatangaa biashara bila picha?
 
Unachosema ni sawa kabisa. Maeneo mengi ya Dar yamekwishapangiliwa. Kwa pale ni eneo la makazi ingawa kwa sasa panatumika kwa kilimo. Karibu sana mkuu
Kwa kuwa eneo linatumika kwa kilimo ni kwamba halijapimwa linamilikiwa kienyeji. Serikali au mnunuzi atakapotafanya umilikishaji, ramani ya mipango miji ndio itatumika kutengeneza mchoro/ramani ya eneo kulingana na mipango miji. Katika ekari 5, huenda limepitiwa na barabara, eneo la wazi (open space), soko n.k. Mnunuzi mwisho wa siku huenda akajikuta ana kiwanja cha sq.m 2,000 tu ndicho akapata hati ya umiliki. Ni busara mnunuzi kuhakiki na Manispaa ya Kigamboni Idara ya ardhi kabla ya kununua kulingana na ramani ya mipango miji.
 
Kwa kuwa eneo linatumika kwa kilimo ni kwamba halijapimwa linamilikiwa kienyeji. Serikali au mnunuzi atakapotafanya umilikishaji, ramani ya mipango miji ndio itatumika kutengeneza mchoro/ramani ya eneo kulingana na mipango miji. Katika ekari 5, huenda limepitiwa na barabara, eneo la wazi (open space), soko n.k. Mnunuzi mwisho wa siku huenda akajikuta ana kiwanja cha sq.m 2,000 tu ndicho akapata hati ya umiliki. Ni busara mnunuzi kuhakiki na Manispaa ya Kigamboni Idara ya ardhi kabla ya kununua kulingana na ramani ya mipango miji.
Yes.. ni muhimu sana kujiridhisha kwenye mamlaka za ardhi ingawa kuna jirani alipima eneo lake na akawezesha kuchonga barabara kadhaa kwenye maeneo hayo na moja ya barabara inapita pembeni mwa shamba hilo
 
Kwa kuwa eneo linatumika kwa kilimo ni kwamba halijapimwa linamilikiwa kienyeji. Serikali au mnunuzi atakapotafanya umilikishaji, ramani ya mipango miji ndio itatumika kutengeneza mchoro/ramani ya eneo kulingana na mipango miji. Katika ekari 5, huenda limepitiwa na barabara, eneo la wazi (open space), soko n.k. Mnunuzi mwisho wa siku huenda akajikuta ana kiwanja cha sq.m 2,000 tu ndicho akapata hati ya umiliki. Ni busara mnunuzi kuhakiki na Manispaa ya Kigamboni Idara ya ardhi kabla ya kununua kulingana na ramani ya mipango miji.
Lakini pia kama ukihitaji coordinates naweza kukupatia ili uende kuwaonyesha watu wa ardhi wakusaidie kukujulisha kama ni eneo la makazi au viwanda au barabara au huduma za afya au huduma zingine za kijamii. Ila kwa sasa inaonekana ni eneo la makazi ingawa kwa sasa linatumika kwa kilimo
 
Mkuu picha tayari sasa unaweza kuangakia vizuri mandhari ya eneo lenyewe..ni tambarare nzuri mno hata ukiamua uweke makazi hupati shida ya levelling
Mdunguaji hataki kuonyesha pori..bora akutangazie kimya kimya
 
Shamba linaoneka zuri kwelikweli. Naamini hautakaa muda mrefu bila kupata mteja pamoja na vyuma kukaza
 
Shamba linaoneka zuri kwelikweli. Naamini hautakaa muda mrefu bila kupata mteja pamoja na vyuma kukaza
Karibu sana mkuu. Karibu tufanye mazungumzo. Unaweza kujitwalia hata eka moja. Litakufaa huko mbeleni
 
Wataalam karibuni mjitwalie shamba kwa bei sawa na bure. Unaweza kuweka hata makazi maana huduma za msingi kama barabara, maji na umeme ziko karibu sana
 
Hiki ndio kipindi murua cha kuwekeza kwenye ardhi maana bei ziko chini sana. Ukinunua kwa bei hiyo baada ya mwaka mmoja tu utajikuta pameongezeka thamani na kuweza kuuza mara tatu au zaidi ya bei ya sasa
 
Karibuni sana wateja. Bei sawa na bure
 
Back
Top Bottom