Nasema hivi: - Siasa za Tanzania leo, hakuna Kiongozi wala Mwanasiasa hata mmoja anayeweza diriki kumkosoa rais Samia na serikali yake hadharani na bila kumung'unya maneno kwa sababu moja tu - Kila mmoja wao leo anakula kwa urefu wa kamba yake.
Ndiyo, nimesema na anayebisha anitajie japo mmoja wa mfano katika Upinzani wa Kisiasa..
Ndiyo, nimesema na anayebisha anitajie japo mmoja wa mfano katika Upinzani wa Kisiasa..