Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
Shamba la ekari 100
linauzwa, Tshs milioni 12 (laki 1.2 kwa eka 1)
zao la korosho inakubali Sana hapo.
SHAMBA lipo wilaya ya manyoni kijiji cha (....) mkoa wa singida.
Shamba linakubali sana zao la KOROSHO
mazao mengine yanayokubali hapa ni karanga, alizeti, ufuta, njugu, mihogo, viaz vitamu, kunde, choroko, mbaazi, yote yanakubali.
Shamba liko km 9 kutoka Manyoni mjini
Hakuna chanzo cha maji ndani ya shamba.
(Ila yakichimbwa yapo kwa wingi)
Shamba linamilikiwa na watu watatu (wameunga mashamba yao na kuamua kuyauza)
HAKUNA UTATA WALA MGOGORO
biashara inafanyika chini ya uongozi wa serikari ya Kijiji.
Mawasiliano
+255683011003 (call au sms) or whatsapp
linauzwa, Tshs milioni 12 (laki 1.2 kwa eka 1)
zao la korosho inakubali Sana hapo.
SHAMBA lipo wilaya ya manyoni kijiji cha (....) mkoa wa singida.
Shamba linakubali sana zao la KOROSHO
mazao mengine yanayokubali hapa ni karanga, alizeti, ufuta, njugu, mihogo, viaz vitamu, kunde, choroko, mbaazi, yote yanakubali.
Shamba liko km 9 kutoka Manyoni mjini
Hakuna chanzo cha maji ndani ya shamba.
(Ila yakichimbwa yapo kwa wingi)
Shamba linamilikiwa na watu watatu (wameunga mashamba yao na kuamua kuyauza)
HAKUNA UTATA WALA MGOGORO
biashara inafanyika chini ya uongozi wa serikari ya Kijiji.
Mawasiliano
+255683011003 (call au sms) or whatsapp