Shambulio dhidi ya Mbowe: Kamanda Giles Muroto (RPC Dodoma), umewaona wa kuwakamata? Nakutajia...

Umeongea Ukweli 100% ila hata bunge likipitisha kwa kishindo na wapinzani FEKI kina mbatia na Lipumba wakaunga mkono sisi wananchi hatutakubali kamwe!!! Lazima tuliamshe DUDE ......JMK na BWM wametufanyia vitu vya ajabu sana,hivi kwani JK na BM hawajataka kuongeza muda ,why JPM ndio atake? Mtu anajenga ikulu ya kufa mtu ukiangalia unaona huyu mtu hana nia ya kutoka.
 
hii kesi imeisha kabla haijaanza.





Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama alilewa, watu wasiseme?!
Tatizo sio kusema Bali tatizo ni kuwa Kamanda alikataza na kuonya atakaeingilia ataruka nae Sasa tunashangaa inekuwaje kashindwa kuruka nao kina Lusinde, Ndugai na Msukuma

Wakati ni dawa ya tatizo lolote ... tunasubiri wakati ufike tupate dawa ya tatizo la CCM bahati mbaya hamkawii kusingizia wale Mbuzi Dume lakini mnasahau mnapoyakoroga Mbuzi Dume hawahusiki hata kidogo
 
Naomba kufahamu kama ukiwa mlevi huwezi vamiwa, that kulewa kwako kunakuwa kinga ya kutovamiwa. Naona issue imekuwa kwamba alionekana anakunywa mpaka muda huo wa usiku na kwa hiyo kama alilewa watu wasiojulikana wasingemvamia na kumdhuru bali alianguka kwa ulevi!!.

Ni vizuri tuviachie vyombo vya usalama vifanye upelelezi na kuonesha ni nini kilimtokea mhanga wa aidha kupigwa au kuanguka.
 
Kwani ikulu ni nyumba yake binafsi
Pili umeambiwa itakuwa kama dsm sasa kufa mtu imetoka wapi.
Naona uelewa wako wa taarifa una shida.
Na hili la kuongezewa muda mbona bado hata mayai hayajatagwa muenza kuzozana na atakuwa anazoa maji ya kuku
 
Hawakuvuruga ila wameisaidia polisi kupata habari za uhakika
 
Ipo siku watalipa tu [emoji2955]
 

ruhi,
Huyu Cheranganya mbona tayari Ni MPUMBAVU alishapita kwene ujinga kitambo Sana.
Unajua Kuna tofauti kubwa sana kati ya MPUMBAVU na MJINGA. Mpumbavu ni mtu ambaye hawezi kuelimika lakini mjinga anaweza kuelimika!
 
Hivi mlimuelewa katibu mkuu Jana wakati anazingumza na waandishi wa habari? Nakumbuka alisema kuna clip ya mtu mmoja hivi siku chache zilizopita ilikuwa inaonyesha kuwa Kuna tukio la shambulio kwa viongozi wa upinzani linaenda kutokea siku chache
Sasa cjui Ni kweli Mnyika alikuwa anamaanisha mi cjui
 
Namsikitikia sana Ndugai

Spika Ndugai ni bonge la MNAFIKI kuwahi kutokea hapa Tanzania na dunia mzima.
Niliona wakti anaingia hospitali kumpa pole Mhe.Mbowe!
Nikasema....huyu?
Aliporudi Bungeni nikamsikia akiongea na Wabunge WANAFIKI wenzake wa CCM akiponda na kusemasema hovyo ati...."nasikia sikia kuna hadithi nyingi kuhusu tukio hilo...! Nikasema....huyu?
Halafu akamwlizia kwa kusema ati,"Waheshimiwa Wabunge Dodoma iko salama.." Non-sense!
Hivi Spika mzima unasemaje Dodoma iko salama wakti Wabunge na Viongozi wake CHADEMA wanaumiza na kukoswakoswa risasi kiasi cha kutishiwa maisha? Hawa watu wasiojulikana ni kina Nani na wako wapi? Ni miaka zaidi ya 2 Polisi hawajakamata hata nzi was kusingizia....! Kwa Hali hii unawezaje kusema Dodoma iko Salama?
 
"---uncharted waters"
Mimi siishi England na sio Mzungu

Ni Mzaliwa wa wilaya ya Moshi Mjini......na SIJAWAHI kutoka nje ya nchi hii ......

Anyways.......thanks. Nadhani simu ilijichanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…