Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Itume ndege za kazi gani wakati inauwezo wakuitwanga israhell bila kutuma ndege kwani hata hao wazayuni si wamepaki ndege zao kwa jirani wameogopa anga la muajemiIran haina ndege za kutuma Israel. F-14 Tomcats imezinunua Marekani mwaka 1973 na hakuna aerial refurering Iran.
Hizo F-14 Tomcats ni very inferior mbele ya IDF labda zipigwe zikiwa nyumbani kwao ila sio anga la Israel.
Ndege za kutuma mpaka Israel hana kwa hiyo anatuma alichonancho ambacho ni makombora tena ya tech za masaada za china na russia.Kutumia ndege ni gharama na ni rski pia kwa vita ya mbali ...na ndio maana kila jeshi linaangalia option ya uwekezaji wajiimarishe kwenye tech ipi ...uwekezaji wa wa Iran ndo best option kwa sasa
We jamaa huna hata aibu, Iran amefanikiwa kuyatungua makombora ya Israel ndio maana mnabwabwaja ila Israel anafahamika na dunia nzima hata wewe mwenyewe deep down in your heart unajua kwamba wanapenda Damu za wanawake na watoto kuliko chochote.Taarifa rasmi ya jeshi la Iran imesema kuwa mifumo yao yaanga imefanya kazi vizuri japo kumetokea madhara madogo. Kwa haraka wamesema askari wao 2 wamefariki na wengine kujeruhiwa. Madhara mengine bado wanayafanyia uchunguzi.
Note. Makombora ya Iran yalikuwa ni urushaji hovyowakilenga maeneo ye ye watu wengi.Shambulio la Israel lililenga maeneo ya kijeshi yasiyo na watu wengi. Hawakuwa na haja na roho za watu. Urushaji ovyo wamakombora wa Iran, uliishia kumwua mpalestina mmoja West bank.
aliwanyoosha nao wakanyooka nae wakamuweka wanaemtakaMabeberu hawakutaka Tanzania iwe na bwawa la umeme, sgr lakini Magufuli aliwanyoosha na leo hakuna mgao wa umeme.
Magufuli kiboko ya mazezeta
Then Let them attack that nuclear facilities and see how the ME would look alikeLooks like Israel's 🇮🇱 attack was a “preparation”:
📡 Destroyed air defense en route to Iran in Syria 🇸🇾 & Iraq 🇮🇶
📡 Destroyed radars of S-300 & S-400 air defense in Iran 🇮🇷
Now that Iran's air defense is fully blinded, Israel can freely attack its nuclear facilities.
_
Sasa matusi ya nini? Uwe tayari kusikia habari usizozipenda pia; huo ndio uungwana.Leta picha kwanza kima wa msituni wewe
Shambulio la Israel limetulizwa kwa asilimia 100 la iran lilipiga shabaa zote waisrael ni wapumbavu mimi Nilidhani watafanya kitu cha maana kumbe ni ushuzi wa ccm..Wewe ndio mpumbavu, sasa lile la Iran ndio shambulio gani
Kwanza sio wao ni wao na babayaoS
Shambulio la Israel limetulizwa kwa asilimia 100 la iran lilipiga shabaa zote waisrael ni wapumbavu mimi Nilidhani watafanya kitu cha maana kumbe ni ushuzi wa ccm..
Hapo Nyuma Kiongozi wa Irani alijaribu kuwatisha Israel akiwaambia, Wana missile zinazoweza kusafiri toka Iran mpaka Israel Kwa Dakika 6, akamwambia asijaribu kuwashambulia Kwa kutumia Ndege...!Shambulio la alfajiri ya leo, la jeshi la Israel, tunaambiwa limehusisha ndege 100. Ndege zimeshambulia, na zote zimerudi salama. Ina maana, jeshi la Iran limeshindwa kudungua hata ndege moja ya Israel. Jambo kama hilo la kwenda kumshambulia adui yako kwa ndege, sidhani kama Iran inaweza kuthubu kulifanya.
Hata kule Lebanon, mashambulio mengi yamekuwa ya kutumia ndege, nako haijawahi kusikika Hezbollah kufanikiwa kuangusha hata ndege moja.
Hata ule mwezi April, Israel ilipoishambulia Iran, ilitumia ndege, na kuteketekeza mtambo mmoja wa ulinzi wa anga wa Iran (Iran kwa aibu ikasema walitumia drones ili kuficha udhaifu wa jeshi lake - ilikuwaje ndege iingie kwenye anga lake, ishambulie na kurudi salama).
Shambulio la alfajiri ya leo, Israel inasema lilikuwa ni kwa vituo vya shughuli za kijeshi pekee, na ilikuwa ni precise strike. Hii inatupa ujumbe. kuwa kama Hezbollah na Hamas wasingekuwa wanafanya ule ushetani wa kujificha katikati ya nraia au kuishambulia Israel kutokea kwenye makazi au shughuli za kiraia, kusingekuwa na mauaji ya raia ya kiwango tulichoshuhudia Gaza au Lebanon.
Kwa sababu vituo vya shughuli za kijeshi vya Iran vimejitenga na makazi na shughuli za kiraia, precise targeting ya IDF kwa vituo vya shughuli za kijeshi nchini Iran, havijaleta madhara yoyote kwa raia wa kawaida.
Ni vema Dunia ikaweka mwongozo na sheria kali kuharamisha shughuli zozote za kijeshi kutokea kwenye makazi au shughuli za kiraia. Kitendo wanachokifanya Hamas na Hezbollah, cha kujificha katikati ya watoto, akina mama na raia ni cha kishetani kinacholenga kuwaangamiza raia. Ikitokea hawa magaidi wanaweka miundombinu yao katikati ya makazi ya kiraia, raia waruhusiwe kuyakimbia maeneo hayo. Tunaambiwa huko Gaza, Hamas wakiweka miundombinu ya kijeshi kwenye nyumba yako au karibu na makazi yako, ukitaka kuhama hilo eneo, wanakuua. Jambo hili siyo halali hata kidogo.
ALjAZEERA
Iran says two soldiers killed in Israeli strikes on military bases.
The Iranian army said two soldiers have been killed in Israeli air strikes that targeted military bases, after Israel said it had “completed” its attack and warned against any retaliation.
Tusubiri awamu inayokuja!!!Hakuna ndege hata moja iliyoingia anga ya Iran bali wamefyatulia vimondo vyao kwenye anga ya Syria na Iraq.
Hao Marekani na Israel wapeleke ndege zao Iran kwani hawana akili kiasi hicho?
Zingekaangwa zote isingerudi hata moja ndiyo maana wakaona bora nusu aibu ya kufyatua vimondo vyao na vyote vikanaswa na AD za mbabe halisi Iran.
Niliwahi kutana na mwanajeshi 1.mkubwa mkubwa tu Katika story Akaniambia katika rada ndege ipo moja tu ya marekani hyo Hakuna rada inayo weza kuinasa katika Angalilote Lile .nahyo ilikuwa miaka ya 2016-7Shambulio la alfajiri ya leo, la jeshi la Israel, tunaambiwa limehusisha ndege 100. Ndege zimeshambulia, na zote zimerudi salama. Ina maana, jeshi la Iran limeshindwa kudungua hata ndege moja ya Israel. Jambo kama hilo la kwenda kumshambulia adui yako kwa ndege, sidhani kama Iran inaweza kuthubu kulifanya.
Hata kule Lebanon, mashambulio mengi yamekuwa ya kutumia ndege, nako haijawahi kusikika Hezbollah kufanikiwa kuangusha hata ndege moja.
Hata ule mwezi April, Israel ilipoishambulia Iran, ilitumia ndege, na kuteketekeza mtambo mmoja wa ulinzi wa anga wa Iran (Iran kwa aibu ikasema walitumia drones ili kuficha udhaifu wa jeshi lake - ilikuwaje ndege iingie kwenye anga lake, ishambulie na kurudi salama).
Shambulio la alfajiri ya leo, Israel inasema lilikuwa ni kwa vituo vya shughuli za kijeshi pekee, na ilikuwa ni precise strike. Hii inatupa ujumbe. kuwa kama Hezbollah na Hamas wasingekuwa wanafanya ule ushetani wa kujificha katikati ya nraia au kuishambulia Israel kutokea kwenye makazi au shughuli za kiraia, kusingekuwa na mauaji ya raia ya kiwango tulichoshuhudia Gaza au Lebanon.
Kwa sababu vituo vya shughuli za kijeshi vya Iran vimejitenga na makazi na shughuli za kiraia, precise targeting ya IDF kwa vituo vya shughuli za kijeshi nchini Iran, havijaleta madhara yoyote kwa raia wa kawaida.
Ni vema Dunia ikaweka mwongozo na sheria kali kuharamisha shughuli zozote za kijeshi kutokea kwenye makazi au shughuli za kiraia. Kitendo wanachokifanya Hamas na Hezbollah, cha kujificha katikati ya watoto, akina mama na raia ni cha kishetani kinacholenga kuwaangamiza raia. Ikitokea hawa magaidi wanaweka miundombinu yao katikati ya makazi ya kiraia, raia waruhusiwe kuyakimbia maeneo hayo. Tunaambiwa huko Gaza, Hamas wakiweka miundombinu ya kijeshi kwenye nyumba yako au karibu na makazi yako, ukitaka kuhama hilo eneo, wanakuua. Jambo hili siyo halali hata kidogo.
ALjAZEERA
Iran says two soldiers killed in Israeli strikes on military bases.
The Iranian army said two soldiers have been killed in Israeli air strikes that targeted military bases, after Israel said it had “completed” its attack and warned against any retaliation.
Haya ni maoni Yako na sio uhalisia kilichotokea Israel, kama una ushahidi wa uharibifu weka hapaS
Shambulio la Israel limetulizwa kwa asilimia 100 la iran lilipiga shabaa zote waisrael ni wapumbavu mimi Nilidhani watafanya kitu cha maana kumbe ni ushuzi wa ccm..
Mabeberu bado wanaendelea kutujengea vyoo vya shule ili waalimu na wanafunzi wasijisaidie vichakaniMabeberu hawakutaka Tanzania iwe na bwawa la umeme, sgr lakini Magufuli aliwanyoosha na leo hakuna mgao wa umeme.
Magufuli kiboko ya mazezeta