Shambulio la Israel Kwa Iran Limethibitisha Ubora Wa Jeshi la Anga la Israel

Shambulio la Israel Kwa Iran Limethibitisha Ubora Wa Jeshi la Anga la Israel

Utakataa sana dogo!
Fungua hiyo link
👇👇
"Israel strikes multiple targets across Iran in retaliatory strikes - The Jerusalem Post" 'Days of Repentance': Israel strikes multiple targets across Iran in retaliatory strikes
Usidanganywe sasa sema hilo eneo linaitwaje , ile sehemu ambao ni eneo la kibiashara watu wanaendelea na ishu zao .

Tuambie hilo eneo linaitwaje ?

Propagandist 😀 😀 😀 😀 hapo ni Iraq na ile picha nyingine ni Beirut ...Kwa nn mnadanganya watu wakati dunia imeendelea



Screenshot (522).png
 
Mkuu hii habari kwamba imetumika laser ni kweli?
Ndio, Ilo sio mpaka walithibitishe wao.

Angalia Speed ya makombora ya Iron Dome kwenye kudungua makombora ya Iran, angalia Speed za Makonda ya THAAD, , S 300, S 400 , Arrow n.k...

Utagundua kua Makombora yooote hayo yanaporushwa yanaonekana yalee yaleeeee yaleeee mpaka yanapofikia Shabaa na Kulipuka , na Huwa tunaona Impact kubwa ya Mlipuko.


Makombora ya Waisrael Leo , ni kama vile yalikua yanalipuliwa na KITU KISICHOONEKANA KWA MACHO, YAAN NI KAMA MZIMU, NA KWA SPEED YA MWANGA , ...HAIKUA SPEED YA KAWAIDA ILE, na ukiangalia yalikua yanalipuliwa Kwa wakati Mmoja utadhan MSHINDI YA BISI YAPOKAANGWA KUA POPCORNS .


Hiko ni kithibitishi tosha kua, SILAHA ilotumika, ilikua Inatumia Speed ya MWANGA, Na Kwa Sasa hamna makombora yenye speed ya Mwanga , ni Hypersonic missile tu ndizo ambazo zingeweza kudungua makombora hayo Kwa speed Ile.


LASER NDIO IMETUMIKA.
 

Attachments

  • Screenshot 2024-10-26 143103.png
    Screenshot 2024-10-26 143103.png
    260.2 KB · Views: 3
Ndio, Ilo sio mpaka walithibitishe wao.

Angalia Speed ya makombora ya Iron Dome kwenye kudungua makombora ya Iran, angalia Speed za Makonda ya THAAD, , S 300, S 400 , Arrow n.k...

Utagundua kua Makombora yooote hayo yanaporushwa yanaonekana yalee yaleeeee yaleeee mpaka yanapofikia Shabaa na Kulipuka , na Huwa tunaona Impact kubwa ya Mlipuko.


Makombora ya Waisrael Leo , ni kama vile yalikua yanalipuliwa na KITU KISICHOONEKANA KWA MACHO, YAAN NI KAMA MZIMU, NA KWA SPEED YA MWANGA , ...HAIKUA SPEED YA KAWAIDA ILE, na ukiangalia yalikua yanalipuliwa Kwa wakati Mmoja utadhan MSHINDI YA BISI YAPOKAANGWA KUA POPCORNS .


Hiko ni kithibitishi tosha kua, SILAHA ilotumika, ilikua Inatumia Speed ya MWANGA, Na Kwa Sasa hamna makombora yenye speed ya Mwanga , ni Hypersonic missile tu ndizo ambazo zingeweza kudungua makombora hayo Kwa speed Ile.


LASER NDIO IMETUMIKA.
 
Ndio, Ilo sio mpaka walithibitishe wao.

Angalia Speed ya makombora ya Iron Dome kwenye kudungua makombora ya Iran, angalia Speed za Makonda ya THAAD, , S 300, S 400 , Arrow n.k...

Utagundua kua Makombora yooote hayo yanaporushwa yanaonekana yalee yaleeeee yaleeee mpaka yanapofikia Shabaa na Kulipuka , na Huwa tunaona Impact kubwa ya Mlipuko.


Makombora ya Waisrael Leo , ni kama vile yalikua yanalipuliwa na KITU KISICHOONEKANA KWA MACHO, YAAN NI KAMA MZIMU, NA KWA SPEED YA MWANGA , ...HAIKUA SPEED YA KAWAIDA ILE, na ukiangalia yalikua yanalipuliwa Kwa wakati Mmoja utadhan MSHINDI YA BISI YAPOKAANGWA KUA POPCORNS .


Hiko ni kithibitishi tosha kua, SILAHA ilotumika, ilikua Inatumia Speed ya MWANGA, Na Kwa Sasa hamna makombora yenye speed ya Mwanga , ni Hypersonic missile tu ndizo ambazo zingeweza kudungua makombora hayo Kwa speed Ile.


LASER NDIO IMETUMIKA.
Hatari hii.
Mi mwenyewe ile video imenishangaza, yaani makombora manne na zaidi yanalipuliwa kwa pamoja...
Kama sio laser basi wana mfumo upo advanced sana kuliko hizo THAAD na iron dome...
 
Kwamba hayo makombora ni invisible mpaka camera za simu haziyaoni? Kuna Mamia ya mamilioni ya camera Iran hata moja imeshindwa kudaka kombora?
Soma hapo kama lugha haipandi sema pia usiogope..
 

Attachments

  • Screenshot_20241026-144519.jpg
    Screenshot_20241026-144519.jpg
    315.4 KB · Views: 2
URL unfurl="true" media="youtube:RytqrIuw2mk"]
View: https://youtu.be/RytqrIuw2mk?si=LL4x0Z_OCUsEnLB7[/URL]

Mdogo wangu , video nimeangalia yote ni kweli amerusha makombora ...Nataka unioneshe sehemu yalipotua na hyo ndege iliyokuwa juu ya anga la Iran kwa sababu hata media zenu huko Twitter zinatoa picha za uongo .

Hkuna sehemu nimektaa kwamba hajarusha ila ni zero target .

Hii link hakuna hyo sehemu iliyoathirika kabisa naona kiza tupu 😀 😀 😀


Twitter inafanya censorship ya video na picha , sasa ona zote ni uongo na moja wapo wameweka mpaka kweny page ya jerusalem times


Screenshot (515).png
Screenshot (523).png
 
Wale Askari waliouwawa ni wale warusha Makombora wa Ayatolah.
 
Mdogo wangu , video nimeangalia yote ni kweli amerusha makombora ...Nataka unioneshe sehemu yalipotua na hyo ndege iliyokuwa juu ya anga la Iran kwa sababu hata media zenu huko Twitter zinatoa picha za uongo .

Hkuna sehemu nimektaa kwamba hajarusha ila ni zero target .

Hii link hakuna hyo sehemu iliyoathirika kabisa naona kiza tupu 😀 😀 😀


Twitter inafanya censorship ya video na picha , sasa ona zote ni uongo na moja wapo wameweka mpaka kweny page ya jerusalem times


View attachment 3135909View attachment 3135912
ww ni Ashki majunun israel bado inamalizana na hayo makundi ya iran ya hezbolah.Iran ina haha inataka kubadilisha muelekeo wa vita kwa propaganda nyingi kwan hezbolah inaipoteza lebanon na jeshi na serikali inachukua uongozi na baada ya hapo huth wa yemeni.Iran zamu yake bado inaweza kua 2025
Mdogo wangu , video nimeangalia yote ni kweli amerusha makombora ...Nataka unioneshe sehemu yalipotua na hyo ndege iliyokuwa juu ya anga la Iran kwa sababu hata media zenu huko Twitter zinatoa picha za uongo .

Hkuna sehemu nimektaa kwamba hajarusha ila ni zero target .

Hii link hakuna hyo sehemu iliyoathirika kabisa naona kiza tupu 😀 😀 😀


Twitter inafanya censorship ya video na picha , sasa ona zote ni uongo na moja wapo wameweka mpaka kweny page ya jerusalem times


View attachment 3135909View attachment 3135912
ww ni Ashki majunun🙄😜
israel bado inamalizana kwanza na hayo makundi chawa ya Iran!; ya hezbolah! Iran ina haha inataka kubadilisha muelekeo wa vita kwa propaganda nyingi kwan hezbolah inaipoteza lebanon na jeshi na serikali inachukua uongozi wa nchi. na baada ya hapo huth wa yemeni. Iran zamu yake bado walahi wabilahi watalahi Iran itageuzwa. Kifusi yaakin💪👍
 
Kilichoshangaza zaidi ni hizo ndege 100 zimeua Askari wawili tuh.
Sasa zilienda kushambulia au kufanya nn ?
Taarifa rasmi ya jeshi la Iran imesema kuwa mifumo yao yaanga imefanya kazi vizuri japo kumetokea madhara madogo. Kwa haraka wamesema askari wao 2 wamefariki na wengine kujeruhiwa. Madhara mengine bado wanayafanyia uchunguzi.

Note. Makombora ya Iran yalikuwa ni urushaji hovyowakilenga maeneo ye ye watu wengi.Shambulio la Israel lililenga maeneo ya kijeshi yasiyo na watu wengi. Hawakuwa na haja na roho za watu. Urushaji ovyo wamakombora wa Iran, uliishia kumwua mpalestina mmoja West bank.
 
Back
Top Bottom