Ndio, Ilo sio mpaka walithibitishe wao.
Angalia Speed ya makombora ya Iron Dome kwenye kudungua makombora ya Iran, angalia Speed za Makonda ya THAAD, , S 300, S 400 , Arrow n.k...
Utagundua kua Makombora yooote hayo yanaporushwa yanaonekana yalee yaleeeee yaleeee mpaka yanapofikia Shabaa na Kulipuka , na Huwa tunaona Impact kubwa ya Mlipuko.
Makombora ya Waisrael Leo , ni kama vile yalikua yanalipuliwa na KITU KISICHOONEKANA KWA MACHO, YAAN NI KAMA MZIMU, NA KWA SPEED YA MWANGA , ...HAIKUA SPEED YA KAWAIDA ILE, na ukiangalia yalikua yanalipuliwa Kwa wakati Mmoja utadhan MSHINDI YA BISI YAPOKAANGWA KUA POPCORNS .
Hiko ni kithibitishi tosha kua, SILAHA ilotumika, ilikua Inatumia Speed ya MWANGA, Na Kwa Sasa hamna makombora yenye speed ya Mwanga , ni Hypersonic missile tu ndizo ambazo zingeweza kudungua makombora hayo Kwa speed Ile.
LASER NDIO IMETUMIKA.