Shambulio la Israel Kwa Iran Limethibitisha Ubora Wa Jeshi la Anga la Israel

Shambulio la Israel Kwa Iran Limethibitisha Ubora Wa Jeshi la Anga la Israel

ndenge zinauwezo wa KUhit target kuliko ayo makombora wa IRAN watuambie wameweza kuzidungua ndege ngapi za ISRAEL
Hizo ndege ni inferrior kwenye nchi yenye layered air defence imara kama iran ndio maanza zili keep distance mbali na mpaka wa irani zingeingia zingepigwa. Hizo ndege ni gharama kufanyia shambulio moja kuliko makombora, gharama hapo inaweza kuwa hata 20x ya shambulio la iran.
 
NDEGE za Isarel hazikuingia Anga la Iran


Ndio sababu walianza kwanza kushambulia Rada zilizopo Syria ili kupofusha Kinga Anga ya Iran.


Kilichotokea, Isarel kapaa kupitia Anga la Jordan, na akiwa Jordan akaamua kufyatua makombora yake.



Itoshe kusema, WACHINA WANATEKNOLOJIA KUBWA SANA NA WAKO MBELE ,, Makombora ya Isarel yamedunguliwa na LASER WEAPONS , hamna Nchi ambayo Ina Mfumo wa Laser unaofanya kazi.
 
Iran hana uwezo wa kuzidondosha F35 hata hizo Ndege zake ni za kizamani za utawala wa Shah Phantom 5.
F35 ni upuuzi na ni takataka.
F35 inakuwa hyped lakini hamna kitu, bora ungesema F16...

F16 inafanya manevability ambapo F35 haiwezi, F16 ina speed na wepesi kuliko F35...

F35 ni upuuzi mtupu,bei ni ghali na kitu ambacho ni bora kwake ni issues electronics warfare na kutumika kama bomber ...

Lakini ni upuuzi mtupu..

Kwamba inakuwa hyped kuingia anga la adui pasipo kugundulika, hizo ni kauli za marketing, zikiingia nchi yenye mifumo inadunguliwa kama kawaida.

Hata iron done zikikuwa hyped sana, lakini imeonekana ni upuuzi tu baada ya vyuma kutoka Iran zaidi ya km 2000 kuingia kama mvua....


US yenyewe inaelewa F35 ni upuuzi ndio maana ina zi hype kupiga pesa huku wakisema F22 hawaziuzi...

F22 ni machine, katika fighter hata wachambuzi wanakubali ni F22...
 
NDEGE za Isarel hazikuingia Anga la Iran


Ndio sababu walianza kwanza kushambulia Rada zilizopo Syria ili kupofusha Kinga Anga ya Iran.


Kilichotokea, Isarel kapaa kupitia Anga la Jordan, na akiwa Jordan akaamua kufyatua makombora yake.



Itoshe kusema, WACHINA WANATEKNOLOJIA KUBWA SANA NA WAKO MBELE ,, Makombora ya Isarel yamedunguliwa na LASER WEAPONS , hamna Nchi ambayo Ina Mfumo wa Laser unaofanya kazi.
Mkuu hii habari kwamba imetumika laser ni kweli?
 
F35 ni upuuzi na ni takataka.
F35 inakuwa hyped lakini hamna kitu, bora ungesema F16...

F16 inafanya manevability ambapo F35 haiwezi, F16 ina speed na wepesi kuliko F35...

F35 ni upuuzi mtupu,bei ni ghali na kitu ambacho ni bora kwake ni issues electronics warfare na kutumika kama bomber ...

Lakini ni upuuzi mtupu..

Kwamba inakuwa hyped kuingia anga la adui pasipo kugundulika, hizo ni kauli za marketing, zikiingia nchi yenye mifumo inadunguliwa kama kawaida.

Hata iron done zikikuwa hyped sana, lakini imeonekana ni upuuzi tu baada ya vyuma kutoka Iran zaidi ya km 2000 kuingia kama mvua....


US yenyewe inaelewa F35 ni upuuzi ndio maana ina zi hype kupiga pesa huku wakisema F22 hawaziuzi...

F22 ni machine, katika fighter hata wachambuzi wanakubali ni F22...
Unavyozieleza vizuri utadhani ulipata weledi Cuba.Kumbe ni hodari wa kucheza videogames!🤔
 
Ndege bure za kimarekani, marubani wamefundishwa bure na wamarekani, intelligence bure ya kimarekani, technolojia karibu zote zilizotumika bure za kimarekani, nk. halafu tunaambiwa eti ni shamulizi Israel
Na Allah je likoliko halina msaada kwa waislam bora marekani kwa Israel. Eti mnaliabudu linashindwa hata kuwalinda wapalestina.
 
Laiti mgeweka na thamani ya dege moja la kivita ndio tungetathmini vita vizuri
Mnadhani Yutong hizo dereva analitumia kama silaha kwa basi lingine bongo?

Myahudi hawezi kupeleka ndege 100 Iran zikarudi salama na hawezi kupoteza mabilioni ya $$ kisa kisasi
Kwa hiyo tusijidanganye humu kwa mapenzi ya kinoko
Ndio ameshapeleka🔥🔥🔥
 
ayatollah kama shababi alio watuma wanageuza kifusi Bado zamu yake🔥🔥🔥🔥
 
Arudishe kipigo kama Iran haikuheuzwa kifusi🔥
Wewe mjinga umeona hilo eneo ...Acha kupotosha na kurusha baruti
 

Attachments

  • Screenshot (519).png
    Screenshot (519).png
    414.1 KB · Views: 3
Inshallah utajua Kwa Nini anaitwa Yahudi🔥🔥🔥
Sasa ndiyo unataka kudanganya kijana ambaye hauna hata exposure ...Kama ingekuwa kweli ni wazi , mnaleta video za Beirut na iraq.

Sikiliza wenzio wanambwela punde mtafuta maandiko yenu mpaka UN na USA wanaingilia kati ....... 😀 😀 😀
 

Attachments

  • Screenshot (519).png
    Screenshot (519).png
    414.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom