Shambulizi la Israel kwa Iran ni shambulio lililofanywa kwa nidhamu ya hali ya juu sanaโ€it was a clear demonstration of capability, intent and will.โ€

Imefeli afu iran inataka huruma ya umoja wa kimataifa ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Iran amechezea tena haswaa sema wamezuia wati wasichukue video na picha
Acha ujinga, iran kwenda umoja wa mataifa ni kuweka rekodi sawa, hata iliposhambuliwa ubalozi wao kule syria walikwenda umoja wa mataifa kuweka rekodi na I walipomuua haniya walikwenda kuweka rekodi kuwa wamechokozwa ili itakapochukua hatua isilaumiwe kwani rekodi zipo
 
Ritz Njooo uone wenye akili wanavyotumia akili zao....kwa akili.
 
Kwa hiyo 42000 80% innocent citizen huoni ni Big failure maana inaonyesha wanapigana hivyo hovyo tu
 
Mnahaha kulikuza shambulizi la israel
 
Kwa hiyo 42000 80% innocent citizen huoni ni Big failure maana inaonyesha wanapigana hivyo hovyo tu
Walimchokoza Yahudi, wakamvamia, wakaua hovyo, wakabaka, wakauwa mpaka Watanzania wageni, na wakaambiwa hawana uwezo kuvuka mpaka. Walipojibu na kulipiza kisasi unapiga makelele wanauwa watoto na wanawake. Mbona October 7 walivamia club usiku, na ku search nyumba kwa nyumba wakikuta chochote wanauwa. Hawakujua hayo. Mbona mateka wengine ni vikongwe wa kike ?
 
Sawa waweke rikodi sawa watajua wao afu wajibu ndio utajua una ujinga kichwani. Maana mjinga hajijui
 
Vyanzo vyangu pia zina habari hii.
 
Huna lolote unalolijua kuhusu huu mzozo.
Ugomvi alianza Israel mnamo Agosti 23 hadi September.
Too bad ni kuwa HUNA UNALOJUA.
 

Iran anatuma Drones. Israel anaenda ndani ya anga ya Iran na jet fighters na kutoka.

Ndio maana yule mzee alibeba AK 47 akiwa anahutubia
 
Maneno mengi sana yasiyo na msingi.Hezbula Kwa kutumia drone za Iran imeua imepigwa Kambi za Jeshi la IDF na pia kufikia Makazi ya Waziri Mkuu,ni onesho la Nguvu kwamba wanaweza fikiwa huko huko waliko.

Swala la kutumia ndege vita sio jambo la kushangaa Kwa Israel maana ndio combat capability anayoitegemea zaidi ingawa nazo zilohatibiwa vibaya ya makombora ya Iran.

Mpinzani wa Iran hawezi kuwa source Yako ya habari ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Mwisho mara kadhaa Huwa nasema na narudia tena hakuna kitu kinaitwa mfumo wa Ulinzi ambao unaweza zuia makombora Kwa ufanisi,haupo ni stori za kujifariji.

Makombora yanayoweza kuzuia na mifumo yenu ya Ulinzi ni hayo ya Hammas na mnayotupa Kwa mkono ila sio ballistic zenyewe Zenye uhakika.

Aidha Iran imewahi lalamika siku za karibuni kwamba ilinunua mifumo ya Ulinzi kutoka Nchi rafiki lakini hawakufanyiwa delivery probably ni Pantasirs ambazo Zina aminika zaidi kuliko hizo S3 outdated ambazo haziwezi toshana Nguvu na ndege za Kisasa za mashambulizi.
 
Hahaha kwanini HAWAPIGANI?

Nani anawazuia, mi nataka vita, no cease fire mpaka kieleweke.

Kuna kupigwa kichwa ukazimia, na kuna kuvunjwa mbavu ukaomba poo.
Mi sitaki ushabiki, kinuke timjue mbabe.
 
Kama ingelikua kuua watu wasio kua na hatia na kubomoa majengo ndio kushinda vita muda huu Ghaza ingekua inakaliwa na wazayuni nikukumbushe au kuku hakikisha lengo la mazayuni ni kuifuta hamas na kukomboa mateka tu ila tokea mwaka huo wamekomboa magaidi wao watano tuuuu
 
Sawa upo sahihi walete basi hata picha za satellite au nazo Iran ananizuia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ