ngoja ngoja
JF-Expert Member
- Jun 20, 2024
- 673
- 1,526
Umemsahau nyeta paka alicho fanya kwa katibu wa UNHuo uchambuzi wa wapi? Ime fail kwenye kipi?
Kwa mara ya kwanza Iran badala ya kujibu au kutishia kujibu imeenda kushitaki UN kwa kushambuliwa na Israel.
Kwa taarifa zote zilizopo umujiona kabisa akili zako hazina uwezo wa kuchambua hadi usikilize wengine wakuchambulie 😅, angalia usije ukachambuliwa
Kutikana na hofu