Shambulizi la Israel kwa Iran ni shambulio lililofanywa kwa nidhamu ya hali ya juu sana”it was a clear demonstration of capability, intent and will.”

Shambulizi la Israel kwa Iran ni shambulio lililofanywa kwa nidhamu ya hali ya juu sana”it was a clear demonstration of capability, intent and will.”

Huo uchambuzi wa wapi? Ime fail kwenye kipi?
Kwa mara ya kwanza Iran badala ya kujibu au kutishia kujibu imeenda kushitaki UN kwa kushambuliwa na Israel.
Kwa taarifa zote zilizopo umujiona kabisa akili zako hazina uwezo wa kuchambua hadi usikilize wengine wakuchambulie 😅, angalia usije ukachambuliwa
Umemsahau nyeta paka alicho fanya kwa katibu wa UN
Kutikana na hofu
 
Back
Top Bottom