Huo uchambuzi wa wapi? Ime fail kwenye kipi?
Kwa mara ya kwanza Iran badala ya kujibu au kutishia kujibu imeenda kushitaki UN kwa kushambuliwa na Israel.
Kwa taarifa zote zilizopo umujiona kabisa akili zako hazina uwezo wa kuchambua hadi usikilize wengine wakuchambulie 😅, angalia usije ukachambuliwa