Yule binti anayejirekodi akicheza huku kavalia kimahaba ndio unataka apewe heshima ipi?fungu limetoka kubwa sana ku demonise simba kwa kila hali kwenye media za makanjanja mmekula hela lakini kuweni na mipaka MTUNZIENI BARBRA HESHIMA YAKE KAMA MWANAMKE MSOMI, msitengeneze mazingira ya nchi hii kwamba Mwanamke ni malaya na hawezi kushika cheo kikubwa bila kulalwa.
punguza shobo una kichwa kilichojaa makamasi ,umechukua point unaikazania kama ndalakyuya kwendaaa ndiyo imenima unasemaje kwani?Halafu ni kwanini Suala la Mo Dewji kuhisiwa kuwa anamkaza CEO Gonzalez limekuuma sana? au na Wewe unataka Ukandamizwe nao na Tajiri Mo?
Kama uliomba Kazi / Ajira EFM na Ukatoswa labda baada ya Kugundulika huna Akili, Uweledi na Elimu ni ya Kuungaunga una Chuki nao Pole mno.Yaani mkiendelea na upumbavu wenu hapo redioni fimbo zitaendelea tu hadi akili iwakae sawa mapunguani nyie
NIKO BIZE NAANGALIA movie nikimaliza nitakujibu endelea kuandika takataka zako nitazijibu baadayeKama uliomba Kazi ( Ajira ) EFM na Ukatoswa labda baada ya Kugundulika huna Akili, Uweledi na Elimu ni ya Kuungaunga una Chuki nao Pole mno.
Sasa kama umekiri Mwenyewe hapa kuwa una Wivu CEO Gonzalez Kukandamizwa na Mo Dewji kwanini usikubali tu Matokeo na utafute wengine?punguza shobo una kichwa kilichojaa makamasi ,umechukua point unaikazania kama ndalakyuya kwendaaa ndiyo imenima unasemaje kwani?
Hivi kuna Redio ambayo inaongoza kwa kuleta Mitafuruku na Chokochoko kama Wasafi FM na Kipindi chao cha Sports Arena? Mbona hauwasemi?NIKO BIZE NAANGALIA movie nikimaliza nitakujibu endelea kuandika takataka zako nitazijibu baadaye
mpuuzi kweli wewe mi binafsi nishaacha kusikiliza hiyo redio na kitenge wao jana tu nimelalamikia clouds wanavyojaribu kuvuruga uchaguzi wa mwenyekiti wa simba,mimi naongelea broader issue wewe unadhani nina personal vendeta na Efm, what a lousy cuntHivi kuna Redio ambayo inaongoza kwa kuleta Mitafuruku na Chokochoko kama Wasafi FM na Kipindi chao cha Sports Arena? Mbona hauwasemi?
Acha Ushamba Wewe sipendi Mtu anayechanganya lugha za Kiswahili na Kiingereza. Chagua moja unayoiweza ili tujibizane Kiufasaha hapa sawa?mpuuzi kweli wewe mi binafsi nishaacha kusikiliza hiyo redio na kitenge wao jana tu nimelalamikia clouds wanavyojaribu kuvuruga uchaguzi wa mwenyekiti wa simba,mimi naongelea broader issue wewe unadhani nina personal vendeta na Efm, what a lousy cunt
hamna kitufe cha dislike hapa?embu sogea pembeni naona domo lako linanuka tu unajaza nzi,imbecileAcha Ushamba Wewe sipendi Mtu anayechanganya lugha za Kiswahili na Kiingereza. Chagua moja unayoiweza ili tujibizane Kiufasaha hapa sawa?
Yaani umetumia zaidi ya dakika 45 mpaka 50 kulitafuta neno la imbecile katika Kamusi ili unitukane nalo. Nakuonea tu Huruma Nguchiro Wewe.hamna kitufe cha dislike hapa?embu sogea pembeni naona domo lako linanuka tu unajaza nzi,imbecile
I see your logicHivi nafasi ya CEO aliipataje?
Kazi ilitangazwa?
Qualifications zilikuwa zipi?
Kuna applicants wengine aliopambana nao?
Unadhani selection yake iliangalia nini ukilinganisha na interviewees wengine (kama walikuwepo)?
Ukiyajibu hayo maswali, utaelewa kwamba hiyo nafasi kaipata kwa sababu ya yeye kuwa na ukaribu na Fundi.
Simba walikuwa very unprofessional kwenye recruitment ya hiyo post ya CEO, na haya ndiyo matokeo yake.
I see your logic
Hata hivyo, mimi nadhani Mo aliamua tu kutumia factor ya kumfahamu vizuri Barbara
Nadhani utendaji wake wa kazi ni kitu Mo hana mashaka nacho.
Na hilo sio jipya duniani, Marina Granovskaia hakuwahi kufanyiwa interview na Roman ili kushikilia nafasi ya u director aliyo nayo pale Chelsea
Experience ya kufanya nae kazi kwenye investments zingine katika managerial capacity zilitosha kumpa Marina u Director
Ni muhimu kufuata taratibu 'zilizozoeleka' katika kukamilisha baadhi ya mambo, ila wakati mwingine sio lazima
Bureaucracies sio muhimu sana sometimes
Mfano wa Mo na Abramovic kuna tofauti kidogo, Abramovic owns Chelsea by more than 50%, hivyo anaweza kufanya maamuzi yoyote as per his wish.
Mo does not own Simba, hana hata share 1 anayoimiliki (kuna contract ambayo haijawa fulfilled ambayo ingempa 49%). So, hana mandate ya kuamua kuweka watu wake kwenye nafasi za uongozi.
Sasa hapa kuna shida mkuu
At first mimi nimekua nikidhani Mo alisha kamilisha hatua zote za kumpa 49% ya share
Ila recently nimekua nikiona taarifa especially Twitter fans wakiulizia mabilioni ya Mo
Hii situation imeni confuse maana nashindwa kuelewa kwanini mpaka sasa hizo formality hazijakamilishwa, nadhani ni zaidi ya miaka 3 sasa tangu mazungumzo ya hiyo acquisition by Mo izungumzwe
Aisee kwa minajili hiyo naona kama bado tuna safari ndefu mno.
Kama Simba na ukubwa wake, na Mo na u'professionalism wake mpaka sasa wanafanya haya maigizo sasa tutegemee nini kwa akina Namungo na wenzao?
Dah aseah we jamaa una uelewa mkubwa mno lakin wengi hawaelewi nini kinaweza kutokea endapo mudi akiamua kujiondoa simbaSimba na Yanga zilitakiwa ziwe blueprint ya advanced soccer management, lakini mambo wanayoyafanya ni ya kizamani sana.
Labda wanaofaidika na huu utaratibu mbovu wanasumbua kurasimisha.
Mo hajamaliza part yake, isipokuwa amebadilika kuwa mdhamini wa timu, akitoa hela kwa ajili ya uendeshaji wa timu huku akipata nafasi ya kutangaza bidhaa zake.
In short-run, haina shida maana timu inapata matokeo, kitu ambacho wote kama washabiki tunahitaji.
In long-run, Simba tuko pabaya kwa sababu muda wowote akiamua anaweza kusitisha kufanya hivyo kwa sababu yoyote ile, hapo tutahangaika sana. Wakati kama angekuwa aliweka mzigo, sisi tungekuwa kwenye stronghold tofauti na sasa.
Mo katushika, anaweza kuamua chochote ndani ya Simba na hakuna kubisha.
Dah aseah we jamaa una uelewa mkubwa mno lakin wengi hawaelewi nini kinaweza kutokea endapo mudi akiamua kujiondoa simba
Mudi anajua akiweka 20b ufalme wake utakwisha ndomana anawazungusha kuhofia atakua hana sauti yenye mamlaka wahindi wajanja sana kwenye biashara siku akiweka 20b ujue kashatengeneza pesa ndefuUshabiki Mkuu, sasa hivi ile write-up ya 20b na 49% tumeshaachana nayo, tukaenda na mfumo ambao lazima tumnyenyekee Mo.
Ila angekosea akaweka mpunga, asingekuwa na mamlaka aliyonayo sasa.
Sina uhakika dili la Yanga na GSM litakuwaje, ila Yanga wanatakiwa hii ya Simba iwe kama fundisho kwao, ingawa naona kama walishachelewa, maana GSM tayari kaweka mizizi.
Tena GSM ndo matapeli wakubwa wale kuna siku mtakuja kulia wanajangwani,
Mo pamoja na familia yao wana historia nzuri ndan ya club ya simba
Iko hivi
Mo anafanya utapeli..
Na watu njaa ndo wanamfagilia..
Tangu lini mwenye hisa 49 anateua CEO?
Kaambiwa Lete bilion 20 hataki
Anatumia club kutangaza bidhaa zake bure
Huyu Barbara alikuwa kwenye kampuni zake..
Kamleta pale aendeleze utapeli wake
Sasa ana Mo foundation ..ili asilipe na kodi kupitia foundation...