Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

Anajipendekeza kwa mtu ambaye hana hata muda nae
bado upo tu,kumbe kutetea hadhi ya mwanamke ni kujipendekeza we ushawahi kutetea hata mwanamke mmoja huko mtaani,acheni ujinga redioni kwenu hapo yaani jinsi unavyoendelea kujibu na mimi najibu hadi keshokutwa labda bando likate
 
Iko hivi
Mo anafanya utapeli..
Na watu njaa ndo wanamfagilia..

Tangu lini mwenye hisa 49 anateua CEO?

Kaambiwa Lete bilion 20 hataki

Anatumia club kutangaza bidhaa zake bure

Huyu Barbara alikuwa kwenye kampuni zake..
Kamleta pale aendeleze utapeli wake

Sasa ana Mo foundation ..ili asilipe na kodi kupitia foundation...
Mambo ya hisa bado hayajakamilika, nilisikia interview ya magori yeye ndiye aliyempendekeza Barbra, sio mo, na bodi ikampitisha, halifu Barbra ndio aliyem interview senzo kabla hajawa ceo simba
 
Mambo ya hisa bado hayajakamilika, nilisikia interview ya magori yeye ndiye aliyempendekeza Barbra, sio mo, na bodi ikampitisha, halifu Barbra ndio aliyem interview senzo kabla hajawa ceo simba
ndugu yangu... utopolo wako on full gear na full swing ungesikikza kipindi asubuhi ungenielewa yaani alitoka kusema napokea meseji za wana yanga wanataka niendelee kurusha mawe ikaja hiyo kauli ya mkude katokea pisi kali chombo ya fundi
Hakuna utakachowambia wakaelewa nakuhakikishia washa radio dakika 15 zijazo usikize clouds uone hata kama ushindi wa leo utatangazwa ka furaha , subiri kusikia wanavyochochea kuni kuhusu uchaguzi wa mwenyekiti wanatumiwa meseji kwenye simu zao wanatengeneza habari hapohapo bila hata kupata maelezo ya upande wa pili ya uongozi wa simba..
Miaka 3 ya kukosa ubingwa ni maumivu makubwa san kwao
 
Nimependa jinsi ulivyopenda jamaa aliyetoa comment anavyopenda wanawake wakidhalilishwa,raha sana aisee
Nimependa sababu ametoa hoja ya maana,wanawake wangapi wanadhalilishwa huko mtaan na hakuna mtu anapaza sauti,imekuja kwa huyu CEO ndio unamuongelea a kwa vile ni muhindi,tudhamini na vyakwetu kama ni kutetea wanawake tutetee wanawake wote haijalishi tajiri au masikin,mweupe au mweusi
 
Nimependa sababu ametoa hoja ya maana,wanawake wangapi wanadhalilishwa huko mtaan na hakuna mtu anapaza sauti,imekuja kwa huyu CEO ndio unamuongelea a kwa vile ni muhindi,tudhamini na vyakwetu kama ni kutetea wanawake tutetee wanawake wote haijalishi tajiri au masikin,mweupe au mweusi
Sasa kakatazwa kuongelea wanaodhalilishwa huko mitaani?mimi ni shabiki wa simba ,nimehuzunika boss wa club yetu kudhalilishwa kisa ni mwanamke,ni mshabiki na mwanachama wa chadema pia nilisikitika Esther matiko alipopigw akidole cha makalio na askari polisi nikalalamika huku jamii forums kama ilivyo kwenye uzi huu kuna watu walicheka wakichukulia kama ni mzaha huku wakisema matiko ni pisi kali
Nilihuzunika na kulalamika pia Regina lowassa alipopaswa makalio wakati mme wake akiwa mgombea Urais kupitia chadema
Huyo anayenipinga hata yeye anaruhusiwa kufungua threads kuelezea madhila ya wanawake wengine
 
Sasa kakatazwa kuongelea wanaodhalilishwa huko mitaani?mimi ni shabiki wa simba ,nimehuzunika boss wa club yetu kudhalilishwa kisa ni mwanamke,ni mshabiki na mwanachama wa chadema pia nilisikitika Esther matiko alipopigw akidole cha makalio na askari polisi nikalalamika huku jamii forums kama ilivyo kwenye uzi huu kuna watu walicheka wakichukulia kama ni mzaha huku wakisema matiko ni pisi kali
Nilihuzunika na kulalamika pia Regina lowassa alipopaswa makalio wakati mme wake akiwa mgombea Urais kupitia chadema
Huyo anayenipinga hata yeye anaruhusiwa kufungua threads kuelezea madhila ya wanawake wengine
Huyu esther alivyodhalilishwa ulipaza sauti kama leo hii au ulinyamaza??au kwa vile sio simba ni chadema??kama ni kupaza sauti juu ya mwanamke tusibague tutetee wanawake wote na pia ni sawa kumtete CEO wako una haki pia ila wanawake wote ni sawa,tukiamua kusimama juu yao tusibague,asante mkuu nawasilisha[emoji120]
 
Huyu esther alivyodhalilishwa ulipaza sauti kama leo hii au ulinyamaza??au kwa vile sio simba ni chadema??kama ni kupaza sauti juu ya mwanamke tusibague tutetee wanawake wote na pia ni sawa kumtete CEO wako una haki pia ila wanawake wote ni sawa,tukiamua kusimama juu yao tusibague,asante mkuu nawasilisha[emoji120]
Whatever......hata mwenyekiti wa ccm tarime alivyomuita matiko ni malaya kuna wanawake wa ccm mkutanoni walishangilia na kupiga vigelegele sioni kipya hapa
 
You have a valid point ingawa pia umeichanganya na baadhi ya vitu ambavyo sio sahihi.Nakubali kwamba unachoongelea ni kitu cha msingi sana bila kujali huo mchanganyiko uliouweka.

Kama hao EFM wametamka hiyo dhihaka kweli wamefanya makosa yasiyopaswa kabisa kufanywa na chombo cha habari.Inajulikana na watu wote wanaofuatilia michezo kwenye mitandao kuwa hayo maneno ya kumhusisha mkude na barbara yapo tangu siku Simba walipotoa ile release yao.Kwakuwa jamii yetu ina wajinga wengi Basi hilo limebebwa na kusambazwa hadi imekuwa ndo 'talk of the town'!Kwahiyo hiyo redio kulibeba na kuliweka kwenye chombo chao ambacho sio mtandao na kuliongea hata kama sio mojakwamoja ni kumkosea heshima Sana Barbara.Ni Kukosa na kukiuka maadili ya chombo cha habari.Ni kumdidimiza mwanamke.Ni kumdharau na kuendeleza kasumba isiyofaa ya kumchukulia mwanamke kama kitu kisicho na maana yoyote.Kwamba kwa sababu CEO wa Simba ni mwanamke mrembo basi dhihaka dhidi yake juu ya urembo na jinsi yake vionekane ni halali?Anazo credentials zake ambazo watu hawafanyi dhihaka kwazo,bali Wanafanya dhihaka na jinsi na urembo wake.Na watu wanahalalisha!Ni sawa na kipindi fulani Haji Manara aliwahi kufanyiwa dhihaka kutokana na ualbino wake na jamii kwa ujumla wake ililaani Sana hilo jambo.Sasa hakuna tofauti hapa kwa Barbara.Kutumia namna yoyote ya kimaumbile ambayo mhusika hakuwa na uamuzi nayo kumfanyia dhihaka au namna yoyote ya kumkejeli au kumbagua, sio sawa.Haliwezi kuwa jambo linalopaswa kuungwa mkono na jamii inayojali utu na usawa.

Pia kulichanganya hili na porojo za usimba na uyanga,gsm na dewji sijui senzo na kitu gani bado wewe ulielileta inaonekana hujaguswa kwa sababu ya utu,bali kwa mapenzi yako na simba.Kwamba kama ingetokea wewe ni yanga ungekuwa upande wa hao wapuuzi EFM?Hii sio sahihi hata kidogo.Pia ikumbukwe kuna tabia zisizofaa tunazo binadamu bila kujali affiliations zetu kwenye timu tunazozishabikia.Sio lazima mashabiki wote wa yanga wamdhihaki Barbara kwenye hili na sio lazima mashabiki wote wa Simba waumie kwenye hili.Kwahiyo kuliongea hilo kwa namna yoyote inayoweka mpaka wa kishabiki sio sawa .Inatosha tu kusema wote wanaoendeleza suala hilo la mkude kumdhihaki barbara ni wajinga,wapumbavu na wapuuzi kabisa.Kama ni wa Lipuli haiondoi ujinga wao.Kama ni wa Simba haiondoi upumbavu wao na kama ni wa yanga haiondoi upuuzi wao.
 
Watu kama wewe ndio mtanzania typical.
Kujidai una elimu lakini haijakusaidia wewe wala shangazi zako.Ulichobakiza ni kuonea wivu waliofanikiwa.

Kujidai unaona ya mbele kumbe ni uchungu wa husda,wivu na kujicho dhidi ya matajiri.

Simba imekuwepo miaka dahari,hao watanzania wenye akili kama zako walikuwepo..hakuna kilichofanyika.Leo amejitokeza mtu mwenye nia ya kuinua brand ya Simba,mnaleta ushairi usio na tija
Mo katushika pabaya, na watu hawataki kusikiliza hoja zozote zinazopingana na mipango yake.

Elimu, elimu, elimu, watu hawaelewi umuhimu wa mikataba, hawaangalii mbeleni itakuwaje.
 
You have a valid point ingawa pia umeichanganya na baadhi ya vitu ambavyo sio sahihi.Nakubali kwamba unachoongelea ni kitu cha msingi sana bila kujali huo mchanganyiko uliouweka.

Kama bao EFM wametamka hiyo dhihaka kweli wamefanya makosa yasiyopaswa kabisa kufanywa na chombo cha habari.Inajulikana na watu wote wanaofuatilia michezo kwenye mitandao kuwa hayo maneno ya kumhusisha mkude na barbara yapo tangu siku Simba walipotoa ile release yao.Kwakuwa jamii yetu ina wajinga wengi Basi hilo limebebwa na kusambazwa hadi imekuwa ndo 'talk of the town'!Kwahiyo hiyo redio kulibeba na kuliweka kwenye chombo chao ambacho sio mtandao na kuliongea hata kama sio mojakwamoja ni kumkosea heshima Sana Barbara.Ni Kukosa na kukiuka maadili ya chombo cha habari.Ni kumdidimiza mwanamke.Ni kumdharau na kuendeleza kasumba isiyofaa ya kumchukulia mwanamke kama kitu kisicho na maana yoyote.Kwamba kwa sababu CEO wa Simba ni mwanamke mrembo basi dhihaka dhidi yake juu ya urembo na jinsi yake vionekane ni halali?Anazo credentials zake ambazo watu hawafanyi dhihaka kwazo,bali Wanafanya dhihaka na jinsi na urembo wake.Na watu wanahalalisha!Ni sawa na kipindi fulani Haji Mara aliwahi kufanyiwa dhihaka kutokana na ualbino wake na jamii kwa ujumla wake ililaani Sana hilo jambo.Sasa hakuna tofauti hapa kwa Barbara.Kutumia namna yoyote ya kimaumbile ambayo mhusika hakuwa na uamuzi nayo kumfanyia dhihaka au namna yoyote ya kumkejeli au kumbagua, sio sawa.Haliwezi kuwa jambo linalopaswa kuungwa mkono na jamii inayojali utu na usawa.

Pia kulichanganya hili na porojo za usimba na uyanga,gsm na dewji sijui senzo na kitu gani bado wewe ulielileta inaonekana hujaguswa kwa sababu ya utu,bali kwa mapenzi yako na simba.Kwamba kama ingetokea wewe ni yanga ungekuwa upande wa hao wapuuzi EFM?Hii sio sahihi hata kidogo.Pia ikumbukwe kuna tabia zisizofaa tunazo binadamu bila kujali affiliations zetu kwenye timu tunazozishabikia.Sio lazima mashabiki wote wa yanga wamdhihaki Barbara kwenye hili na sio lazima mashabiki wote wa Simba waumie kwenye hili.Kwahiyo kuliongea hilo kwa namna yoyote inayoweka mpaka wa kishabiki sio sawa .Inatosha tu kusema wote wanaoendeleza suala hilo la mkude kumdhihaki barbara ni wajinga,wapumbavu na wapuuzi kabisa.Kama ni wa Lipuli haiondoi ujinga wao.Kama ni wa Simba haiondoi upumbavu wao na kama ni wa yanga haiondoi upuuzi wao.
exactly cha ajabu hapa utasikia kuna watu wanasifia kwamba Efm wametumia tafsida tena wanaenda mbele zaidi na kusema kwani wakishtakiwa kuna mahala wametaja jina la mtu?
Kilichonikera katoka tu kusema kwamba napokea meseji nyingi za wana yanga wakitaka niendelee kurusha mawe,
straight akaenda kuyasema hayo ya mkude kuitokea pisi kali chombo ya fundi huku wakicheka kwa kebehi,ina maana hizo meseji alizopokea zilimkumbusha kuongelea hilo na kwa sababu siku hizi tasnia ya habari ni ya wahuni na wao wakaona poa tu
 
Iko hivi
Mo anafanya utapeli..
Na watu njaa ndo wanamfagilia..

Tangu lini mwenye hisa 49 anateua CEO?

Kaambiwa Lete bilion 20 hataki

Anatumia club kutangaza bidhaa zake bure

Huyu Barbara alikuwa kwenye kampuni zake..
Kamleta pale aendeleze utapeli wake

Sasa ana Mo foundation ..ili asilipe na kodi kupitia foundation...
Mkuu chuki zako na Mo huwa zinakufanya mpaka unaacha kutumia akili. Kwani mada inahusu nini
 
weka evidences hapa otherwise hii ni moja ya hoja mnayomezeshwa na mikia wenzenu.

Huwa mnasema Yanga hawana hela sasa hiyo hela ya kumwaga kwenye media si bora waeekeze kwenye maboresho ya kikosi.
Hivi una akili kichwani au makamasi? Wapi nimeitaja Yanga au Utopolo?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
haya malalamiko hayamfanyi mkude kutoitwa Legend wa Kwanza Msimbazi
hahaaaaaaaaaaa
Relax
 
Iko hivi
Mo anafanya utapeli..
Na watu njaa ndo wanamfagilia..

Tangu lini mwenye hisa 49 anateua CEO?

Kaambiwa Lete bilion 20 hataki

Anatumia club kutangaza bidhaa zake bure

Huyu Barbara alikuwa kwenye kampuni zake..
Kamleta pale aendeleze utapeli wake

Sasa ana Mo foundation ..ili asilipe na kodi kupitia foundation...
Hapo sasa.
 
Ila sisi wabongo!
Kweli tutafika ikiwa tunaendesha mpira kwa kusikiliza maneno.
Mtazamo uwe mpira wa kibiashara
Maneno watu watasema tu.
Hili la Mkude hakukuwa na sababu ya kutoa 'taarifa kwa umma'
Pamoja kuwa Mimi ni shabiki wa Simba ila mo mshamba Sana dah!😄
 
Mbona simba huwa wana madhaifu mengi sana kwenye Menejimenti na hata kwenye timu

Ujinga ujinga mwingi.
 
fungu limetoka kubwa sana ku demonise simba kwa kila hali kwenye media za makanjanja mmekula hela lakini kuweni na mipaka MTUNZIENI BARBRA HESHIMA YAKE KAMA MWANAMKE MSOMI, msitengeneze mazingira ya nchi hii kwamba Mwanamke ni malaya na hawezi kushika cheo kikubwa bila kulalwa.
Kwani msomi atafunwi?.Tena hao wasomi ndiyo vicheche hatari.
 
Back
Top Bottom