njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
-
- #101
kwenye angle yote hiyo umeona usomi tu siyo?ma kanjanja mnaharibu sana tasnia ya habari ,matter of the fact is, mlishaiua ile jiheshimuni banahuo usomi mbona unausizitiza sana utafikiri dunia nzima kasoma yeye peke yake au alikuletea malalamiko
fumbo mfumbie mjinga, kama ulisikiliza wewe umeelewaje walimaanisha nini?mleta mada siyo muslewa halafu ana roho nyepesi
Hivi nafasi ya CEO aliipataje?
Kazi ilitangazwa?
Qualifications zilikuwa zipi?
Kuna applicants wengine aliopambana nao?
Unadhani selection yake iliangalia nini ukilinganisha na interviewees wengine (kama walikuwepo)?
Ukiyajibu hayo maswali, utaelewa kwamba hiyo nafasi kaipata kwa sababu ya yeye kuwa na ukaribu na Fundi.
Simba walikuwa very unprofessional kwenye recruitment ya hiyo post ya CEO, na haya ndiyo matokeo yake.
mkuu kashfa kashfa hata kupitia mitandao ya kijamii zinatufikia kama umeamua kukemea zungumzia na kotekote kwenye radio na mitandao na shauri vyombo husikaunataka kila maneno ya mtandaoni niwe napita na kulaani si nitawehuka?haya madongo ya mkude na CEO wa simba tangu juzi yanaongelewa huku mitandaoni ni sehemu ya juhudi kubwa ya yanga kuwatoa simba relini kisaiokolojia na safari hii wamewekeza kweli NINACHOLALAMIKA NI HUU UJINGA WA SOCIAL MEDIA KUCHUKULIWA NA KANJANJA SHABIKI LA YANGA LINATUMIA KIPAZA SAUTI REDIONI KUONGELEA SUALA HILO au hujaelewa nalalamikia nini,ni EFM kutumika kama platform ya utopolo huu
basi nimeanza na radio we deal na za social media,kuna haja gani ya kuwa na waandishi wenye vyeti na weledi wana microphones wanasikilizwa wanajiita media personalities halafu wanaropoka upumbavu usio na tofauti na majuma ndala ndefu mwenye katecno chake huku madongo kuinama?mkuu kashfa kashfa hata kupitia mitandao ya kijamii zinatufikia kama umeamua kukemea zungumzia na kotekote kwenye radio na mitandao na shauri vyombo husika
wale walitumia mafumbo hata ukiwashtaki sijui kama utawakuta na kosa lolotefumbo mfumbie mjinga, kama ulisikiliza wewe umeelewaje walimaanisha nini?
hahahabasi nimeanza na radio we deal na za social media,kuna haja gani ya kuwa na waandishi wenye vyeti na weledi wana microphones wanasikilizwa wanajiita media personalities halafu wanaropoka upumbavu usio na tofauti na majuma ndala ndefu mwenye katecno chake huku madongo kuinama?
nazishtaki nafsi zao ,wanajua wenyewe walichokifanya hata kama wamechukua fungu la kuidhalilisha simba wawe na mipaka basiwale walitumia mafumbo hata ukiwashtaki sijui kama utawakuta na kosa lolote
...akikujibu please ni-tagMo ni fundi wa nini tuanzie hapo au ana taaluma ya ufundi?
Barbra ni pisikali??
hahahaha,pisi kali ni watu wa aina gani?nyongeza tu wakuu...akikujibu please ni-tag
Huyo senzo aliyepitia michakato yote Leo yupo wapi?
Yanga wana njaa eti. Hizo hela zitoke wapi?GSM wamemwaga hela sana kwenye media zote kuivuruga Simba
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Unadhani nini kilichomwondoa?
Kuna mambo ni zaidi ya Mpira, heshima ya mtu ni zaidi ya Simba na Yanga. Tumeunganishwa na utu wetu licha ya Tofauti zetu nyingi. Natumai Simba na hata waandishi wa habari watakemea suala hili kwa uzito unaostahili.Laiti Barbara angekua na sura ya kazi kama ya Ndalichako au Mama Makinda angepewa heshima. Wanawake warembo hawapewi heshima wanayostahili hasa sehemu za kazi.
mkuu tulipofika hali siyo hiyo tena kuna watu kwenye media haswa watangazaji na wandishi wa wa print media kwa miaka mitatu ya simba ku dominate hii ligi wamekuwa na kinyongo kikali sanaKuna mambo ni zaidi ya Mpira, heshima ya mtu ni zaidi ya Simba na Yanga. Tumeunganishwa na utu wetu licha ya Tofauti zetu nyingi. Natumai Simba na hata waandishi wa habari watakemea suala hili kwa uzito unaostahili.
Kwani usomi ni kitu gani mzee si ni maharifa tu alibert eansten aliwahi kusema akili ni uwezo alionao mtu bila kuhusisha maarifa ya darasanKuna issue ya mchezaji Jonas mkude kusimamishwa na team yake ya simba kwa utovu wa nidhamu, sababu haijatajwa hadi leo.
Lakini kama kawaida ya mambo ya mtandao kuna speculations ikawa inasema MKUDE ALIMTONGOZA CEO WA SIMBA aitwaye Barbra Gonzalez
Huwezi epuka maneno kama hayo mtandaoni lakini dakika 3 zilizopita kwenye kipindi cha sports headquarters amcho bado kipo hewani kina Francis mhando na imma kapanga wamefanya JAMBO LA KISHENZI SANA, naomba ninukuu.
"Nasikia Mkude kakitokea chombo cha fundi, si unajua ni pisi kali ile" aisee kwanza ni dharau sana kwa wanawake wanachokionyesha hawa jamaa sana kwa wanawake. Na hapo wakisema chombo cha fundi wanamaanisha Mo Dewji
Tunajua kuna kampeni kubwa sana ya kuivuruga Simba kupitia media na it is well organised, ila makanjanja kuweni na heshima, Barbra siyo pisi kali ni mwanamke msomi na mchapakazi
Ukisikia mfumo dume ndiyo huu sasa wa jamii yetu, Barbra Gonzalez haangaliwi usomi wake na uchapakazi wake anaangaliwa kama chombo cha starehe na urembo wake ndiyo unamponza zaidi.
Shame on you Efm sikutaraji kusikia ujinga huo redioni
hukunielewa,kuan watu wanaamini kwamba barbra ni demu wa Mo kawekwa pale kama favour na hajui anachokifanya ,sasa ukichanganyia na issue ya mkude tangu juzi maneno yako mtandaoni ya kutosha haswa kwenye groups za wanayangaKwani usomi ni kitu gani mzee si ni maharifa tu alibert eansten aliwahi kusema akili ni uwezo alionao mtu bila kuhusisha maarifa ya darasan
Kuna watu katika jamii wana elimu lakin uwezo mdogo kiakili
Pia kuna watu hawana elimu ila uwezo mkubwa wa kufikili na kupambanua mambo
Watu wenye akili walikaa chini wakavumbua elimu lkn kilichoanz ni akili
I dislike races usiclassfy watu kwa ku2mia kigezo cha kisomo
Nimekuelewa vyema mkuuhukunielewa,kuan watu wanaamini kwamba barbra ni demu wa Mo kawekwa pale kama favour na hajui anachokifanya ,sasa ukichanganyia na issue ya mkude tangu juzi maneno yako mtandaoni ya kutosha haswa kwenye groups za wanayanga
Nimejaribu ku point out kwamba Barbra kasoma ana exposure na mambo ya business kitu mabacho ndicho cha muhimu kwa CEO yeyote hayuko pale kama technical director sijawahi kusikia hao watangazaji wa Efm wakimuita Ceo wa chelsea Marina Granovskaia kwamba ni pisi kali hizi ni dharau tu kwa barbra ndiyo maana nikasisitiza hata kama wamechukua fungu la wale jamaa kui demonise simba wamtunzie heshima dada wa watu au kama wana mabeef na Mo asiwe colatteral damage
Hata Mrisho gambo akiwa dc huko Tanga alishawahi kushtakiwa kwa kudhalilisha wanawake kusema wana degree za chupi wamepata kazi kwa kulalwa ni tatizo kubwa sana comments za huu uzi zimedhihirisha hilo
Umesahau Regina lowassa alivyotomaswa makalio kuna watu walishangilia kisa mme wake alikuwa chadema kipindi hiko?na esther matiko je?dole la makalio lile?
Naonya mapema tu sababu kuna siku CEO wetu yatamkuta haya katika jamii hii iliyojaa ma pervets
weka evidences hapa otherwise hii ni moja ya hoja mnayomezeshwa na mikia wenzenu.GSM wamemwaga hela sana kwenye media zote kuivuruga Simba
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app