Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Hizo ndio zinaitwa Cartels, waliotesa kwa kujibanza kwa Ridhiwan Kikwete sasa wanateseka ni zamu ya maswahiba wa Bashite mtoto kupenzi cha Escort one.
Aisee" jua lita wachwea ... na hivi kichaa kapewa rungu ...wajiandae kwa hukumu tu
 
Yessss sasa Mwamvuta Makamba nimesoma nae darasa moja kpnd Mzee Makama RC Morogoro. Alikuwa dada mmoja simple sana ghafla mujii ukambadilisha hahahaaa mjini siji ng'ooooo acha nibaki Matombo.
Ausindile
 
Mahita alikuwa anawaambia kabisa kuwa ishakuwa mbaya. Mara nyingine naskia aliwarafutia zengwe na kuwamaliza na ushahidi wote unaishia. Na hapo ni baada ya baadhi ya wakubwa kuanza kualalamikia ujambazi wake nk.
Jamaa nasikia alikuwaga na vikundi vingi sana vya ujambazi yeye na Tibai-namibia
 
Nionyeshe marafiki zako,nami nitabaini wewe ni mtu wa aina ipi. Haiwezekani ukawa na marafiki wauza ganda huku wewe ni mpinga maganda.
Ukweli mtupu ila ss wanangu bado wadogo na serikali yetu hii ya wanyonge...
 
Usipotoshe.
Mizigo mingi huwa 300 hadi 500gm kutokana na njia ya usafirishaji (kumeza au kuficha kwenye viungo nyeti vya mwili) so hicho ni kipimo standard kwa punda (wasafirishaji)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…