Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Hizo ndio zinaitwa Cartels, waliotesa kwa kujibanza kwa Ridhiwan Kikwete sasa wanateseka ni zamu ya maswahiba wa Bashite mtoto kupenzi cha Escort one.
Aisee" jua lita wachwea ... na hivi kichaa kapewa rungu ...wajiandae kwa hukumu tu
 
Yessss sasa Mwamvuta Makamba nimesoma nae darasa moja kpnd Mzee Makama RC Morogoro. Alikuwa dada mmoja simple sana ghafla mujii ukambadilisha hahahaaa mjini siji ng'ooooo acha nibaki Matombo.
Ausindile
 
Mahita alikuwa anawaambia kabisa kuwa ishakuwa mbaya. Mara nyingine naskia aliwarafutia zengwe na kuwamaliza na ushahidi wote unaishia. Na hapo ni baada ya baadhi ya wakubwa kuanza kualalamikia ujambazi wake nk.
Jamaa nasikia alikuwaga na vikundi vingi sana vya ujambazi yeye na Tibai-namibia
 
Nionyeshe marafiki zako,nami nitabaini wewe ni mtu wa aina ipi. Haiwezekani ukawa na marafiki wauza ganda huku wewe ni mpinga maganda.
Ukweli mtupu ila ss wanangu bado wadogo na serikali yetu hii ya wanyonge...
 
Mara nyingi huo mzigo huwa unakuwa ni wa mamlaka husika ya kupambana na madawa ".... inapotokea wame kuchoka kutokana na kuhusika kwako na hiyo biashara na wamesha kuonya mara kibao kuwa uachane na hiyo biashara kwa sababu tayari umesha julikana na unaichafua nchi katika jumuia ya ki-mataifa. .

Lakini wewe hautaki kuelewa somo ... basi wana kuandalia zengwe la kukupoteza ... wana kuja kwako wakiwa na huo mzigo "... halafu wana kusingizia kuwa ni wakwako "....Au ya weza kuwa katika harakati za huyo jamaa alipishana ki-maslahi na mkuu mmoja aliye kwenye system so huyo mkuu ana amua kumtoa kafara tu
Usipotoshe.
Mizigo mingi huwa 300 hadi 500gm kutokana na njia ya usafirishaji (kumeza au kuficha kwenye viungo nyeti vya mwili) so hicho ni kipimo standard kwa punda (wasafirishaji)
 
Nilikuwa navizia koment yako tu nijiridhishe.

Basi zama kiundani utiririke yote kwasababu wewe kwenye hii anga ya unga humu jamvin
Dah nliskia huo mshindo muda tu
Ngoja nkingia dar maana hapa nasubiria basi lijae!

Ova
20190504_174541.jpg
 
Back
Top Bottom