hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
AiseeKesho kwa mungu tutasema nn...View attachment 1088077
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeKesho kwa mungu tutasema nn...View attachment 1088077
Show me your friends,I Will tell who you are !!!!@Kesho kwa mungu tutasema nn...View attachment 1088077
Aisee" jua lita wachwea ... na hivi kichaa kapewa rungu ...wajiandae kwa hukumu tuHizo ndio zinaitwa Cartels, waliotesa kwa kujibanza kwa Ridhiwan Kikwete sasa wanateseka ni zamu ya maswahiba wa Bashite mtoto kupenzi cha Escort one.
AusindileYessss sasa Mwamvuta Makamba nimesoma nae darasa moja kpnd Mzee Makama RC Morogoro. Alikuwa dada mmoja simple sana ghafla mujii ukambadilisha hahahaaa mjini siji ng'ooooo acha nibaki Matombo.
Kwa kiswahili bac wengine shule hamna ndugu yngu...Show me your friends,I Will tell you who you are !!!!@
Drug Dealers. Sema Bashite hii biashara kuna siku inaweza ikamgharimu hata uhai wakeKesho kwa mungu tutasema nn...View attachment 1088077
Acha hizo wewee former bahariaAnaishi mbezi beach mi nakaa magubike? Mshahara 620.000 subject to deductions wambebe tu[emoji57][emoji57][emoji57]
Mahita alikuwa anawaambia kabisa kuwa ishakuwa mbaya. Mara nyingine naskia aliwatafutia zengwe na kuwamaliza na ushahidi wote unaishia. Na hapo ni baada ya baadhi ya wakubwa kuanza kulalamikia ujambazi wake nk.Dahh !!! Umenikumbusha mbali sana
Don ClericuzioKesho kwa mungu tutasema nn...View attachment 1088077
Jamaa nasikia alikuwaga na vikundi vingi sana vya ujambazi yeye na Tibai-namibiaMahita alikuwa anawaambia kabisa kuwa ishakuwa mbaya. Mara nyingine naskia aliwarafutia zengwe na kuwamaliza na ushahidi wote unaishia. Na hapo ni baada ya baadhi ya wakubwa kuanza kualalamikia ujambazi wake nk.
Nionyeshe marafiki zako,nami nitabaini wewe ni mtu wa aina ipi. Haiwezekani ukawa na marafiki wauza ganda huku wewe ni mpinga maganda.Kwa kiswahili bac wengine shule hamna ndugu yngu...
Ukweli mtupu ila ss wanangu bado wadogo na serikali yetu hii ya wanyonge...Nionyeshe marafiki zako,nami nitabaini wewe ni mtu wa aina ipi. Haiwezekani ukawa na marafiki wauza ganda huku wewe ni mpinga maganda.
Hatukatai kupambana na umaskini...ila sio kiharibu jamii yetu eti sababu nataka kukaa mbezi beach. That is a sin and crimeAkamatwe kwa kuwa anatuhumiwa kufanya makosa, lakini sio kwa sababu ya umaskini wako
Mbinu za kivita zinabadilika kadri vita inavyokolea. Kubeba lundo kubwa msalaHalafu kwa nini hawa wanaokamatwa wanakutwa na kiasi cha Grams 300/400 tu?
Usipotoshe.Mara nyingi huo mzigo huwa unakuwa ni wa mamlaka husika ya kupambana na madawa ".... inapotokea wame kuchoka kutokana na kuhusika kwako na hiyo biashara na wamesha kuonya mara kibao kuwa uachane na hiyo biashara kwa sababu tayari umesha julikana na unaichafua nchi katika jumuia ya ki-mataifa. .
Lakini wewe hautaki kuelewa somo ... basi wana kuandalia zengwe la kukupoteza ... wana kuja kwako wakiwa na huo mzigo "... halafu wana kusingizia kuwa ni wakwako "....Au ya weza kuwa katika harakati za huyo jamaa alipishana ki-maslahi na mkuu mmoja aliye kwenye system so huyo mkuu ana amua kumtoa kafara tu
Hapo mzigo ndo ulikuwa umemfikia tajiri.Naam nikweli tajiri huwa hakai na mzigo kama hivyo nyumbani kwake ....hata punda huwa haendi kumezeshwa kwa tajiri ....huwa ni nadra sana
Intake ya mwaka gani Mkwawa?Namkumbuka moja ya masister du wa Mkwawa High School enzi hizo akiwemo Irene Kiwia,Vivian Tillya (RIP),Maimartha Big Mama nk
Nilikuwa navizia koment yako tu nijiridhishe.Ok ok ......nlisikiaa hii mapema
Ova
Dah nliskia huo mshindo muda tuNilikuwa navizia koment yako tu nijiridhishe.
Basi zama kiundani utiririke yote kwasababu wewe kwenye hii anga ya unga humu jamvin