Hata mtu mwenye jina kubwa naye anakula haramu?Huyo jamaa mjanja mjanja sana, Abdul Nsembo wa nsembo transport ya magomeni, kuna kipindi walivamiwa pale kwenye lile jengo jamaa wakakamatwa nsembo akala kona, kwa ujanja ujanja wake na kujua kabisa alikuwa analiwa timing sidhani kama angeweza kukaa na hivyo vitu kwake ama kwenye gari...steve nyerere atakula wapi maskini ya Mungu huyu ndio boss wake akiishiwa tuu anazama kwa shamim
Mbona ulicho kiongea ni differ na nilicho kizungumza ndugu !?Usipotoshe.
Mizigo mingi huwa 300 hadi 500gm kutokana na njia ya usafirishaji (kumeza au kuficha kwenye viungo nyeti vya mwili) so hicho ni kipimo standard kwa punda (wasafirishaji)
Chonji kafungwa miaka mingapi?Ni kweli alidakwa " lakini hajawahi kupigwa mvua kama chonji
Mara nyingi huo mzigo huwa unakuwa ni wa mamlaka husika ya kupambana na madawa ".... inapotokea wame kuchoka kutokana na kuhusika kwako na hiyo biashara na wamesha kuonya mara kibao kuwa uachane na hiyo biashara kwa sababu tayari umesha julikana na unaichafua nchi katika jumuia ya ki-mataifa. .
Lakini wewe hautaki kuelewa somo ... basi wana kuandalia zengwe la kukupoteza ... wana kuja kwako wakiwa na huo mzigo "... halafu wana kusingizia kuwa ni wakwako "....Au ya weza kuwa katika harakati za huyo jamaa alipishana ki-maslahi na mkuu mmoja aliye kwenye system so huyo mkuu ana amua kumtoa kafara tu
Hii Bungo PS iko wapi?Nimesoma na Shamimu Bungo PS akiwa darasa la saba mimi nipo darasa la tano lkn pia nilimkuta Morogoro Sec. Ki ukweli ni dada anayependa mambo makubwa tangu akiwa shule ya msinhi. Sishangai kwa haya ninayo yasikia kumuhusu. Ni dada wa mujini hasaa tangu ajiwa binti mdogoo.
Bungo iko kama unaelekea forestHii Bungo PS iko wapi?
hata mm habari za jijini hapa mishen town nakuamniaDah nliskia huo mshindo muda tu
Ngoja nkingia dar maana hapa nasubiria basi lijae!
Ova
View attachment 1088099
labda pale Bungo PS lkn Morosec alikuwa wa kawaida! Nakumbuka alipata div 3 japo gender ilimbeba akaenda A level Mkwawa PCM!
huyo wa Morogoro sio M**m*o? Au **ft? au **mmy?
Shwar mkuu.Bungo iko kama unaelekea forest
Unaingia kulia barabara ya kwenda midizini
Ova
Ila msala wanao maana kutoka sahv ngumuhata mm habari za jijini hapa mishen town nakuamnia
Kwani Mange alitoa taarifa gani? Tupe uhondo mkuuNaanzaa kuamini amini taarifa za mangee
huu msimu kupata mdhamana tu ni msala hasa kwa dili hizo na uhujumu uchumiIla msala wanao maana kutoka sahv ngumu
Na jela maisha watapata tabu sna mpaka azoeee kazi wanayo
Ova
Well said[emoji122]Uwongo ..tu magumashi bado yanaendelea ...unacho kiona tu ni kwamba goli limehama " ..... wanaopiga magumashi hivi sasa na wale waliokuwa kwenye system ya magumashi zamani ni chui na paka ..so hawa wapiga deal wa sasa kwakuwa wao ndio wapo kwenye system huwa wana amua kuwachoma wapiga deal wazamani ambao system imewabwaga ..ili ionekane kuwa serikali inapiga kazi ....shtuka aise
Hivi huyu yuko bongo kweli?Chonji kafungwa miaka mingapi?
1997 to 1999Intake ya mwaka gani Mkwawa?
Naomba unieleweshe hapa..hivyo vibubu vyake vinatoa pesa?Na alijua kuwadaka wanawake wasio fikiri vyema kwa kuwauzia vibubu kwa bei ya juu wakati ukienda kwa fundi seremala tu unapata kibuu, halafu yeye kwa mwezi ana save zaidi ya milion, jamani watu wakajua vibubu vya shaminu vinatema pesa wanashindana kuagiza...kuishi mjini jamani kunahitaji akili.