mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mm nlikuwepo pale kuanzia saa tisa issue ikatokea saa mbili usiku hadi saa nneM nilkuja kujua kesho yake asubuh hiyo SKU nlkuwa viloba sana
Waliblock mtaa wote haingii mtu hatoki mtu
Sisi wazee walitukuta tuko bize na kilaji tu
Ila walipigika maana mama mtu alikuwa anajbu shit alijua wale wale wazee wa obay kumbe kitengo maalum
Watu walitumwa kwa kazi maalumu
Ndy hadi wazee wazima tukambiwa tutulie Tuendeleee na yetu
Ova