Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

M nilkuja kujua kesho yake asubuh hiyo SKU nlkuwa viloba sana
Mm nlikuwepo pale kuanzia saa tisa issue ikatokea saa mbili usiku hadi saa nne
Waliblock mtaa wote haingii mtu hatoki mtu
Sisi wazee walitukuta tuko bize na kilaji tu
Ila walipigika maana mama mtu alikuwa anajbu shit alijua wale wale wazee wa obay kumbe kitengo maalum
Watu walitumwa kwa kazi maalumu
Ndy hadi wazee wazima tukambiwa tutulie Tuendeleee na yetu

Ova
 
Mpaka uwe karibu ya tukio...lazima ulikuwa ba scanner[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Noma
Ila kama mzoefu wa mazingira yale utajua jnsi kukabiliana nayo

Ova
 
Mm nlikuwepo pale kuanzia saa tisa issue ikatokea saa mbili usiku hadi saa nne
Waliblock mtaa wote haingii mtu hatoki mtu
Sisi wazee walitukuta tuko bize na kilaji tu
Ila walipigika maana mama mtu alikuwa anajbu shit alijua wale wale wazee wa obay kumbe kitengo maalum
Watu walitumwa kwa kazi maalumu
Ndy hadi wazee wazima tukambiwa tutulie Tuendeleee na yetu

Ova
sema jamaa alianza kuwindwa kitambo usela mwingi nao ni msala
 
Uwongo ..tu magumashi bado yanaendelea ...unacho kiona tu ni kwamba goli limehama " ..... wanaopiga magumashi hivi sasa na wale waliokuwa kwenye system ya magumashi zamani ni chui na paka ..so hawa wapiga deal wa sasa kwakuwa wao ndio wapo kwenye system huwa wana amua kuwachoma wapiga deal wazamani ambao system imewabwaga ..ili ionekane kuwa serikali inapiga kazi ....shtuka aise
Ukweli mtupu!
 
Nakumbuka mwaka nadhani 2014 km sikosei nilihudhuria tafrija ya ndoa yao pale Mlimani City, licha ya kuwa ilikuwa ndo ile awamu ya Rais kipenzi cha wengi (JK) lkn mambo waliyofanya mle ndani ni zaidi ya matusi.

Hakukuwa na Zawadi ya in kind, hata hiyo cash ilikuwani Dollar mwanzo mwisho, nadhani wasiotoa zawadi walikuwa kina sie, Majority walikuwa drug dealers nilim-note mmoja wa Morogoro, But kina Kinje walikuwepo pia kwa kifupi hakukuwa na kuchangishana sn nilisikia jamaa alifanya kila kitu mwenyewe.

Walevi walikoma, walafi wa misosi hawatasahau pia.

MC alikuwa Gadner, live band alikuwa Jide wakati Disco ilikuwa chini ya DJ Peter moe, u can imagine how the ceremony was?

Kumbe matusi yoote yale ni issue za kuharibu watoto wa wenzao, Aisee let them go!!!
Dunia ina mambo mengi sana ya siri!
 
Mm nlikuwepo pale kuanzia saa tisa issue ikatokea saa mbili usiku hadi saa nne
Waliblock mtaa wote haingii mtu hatoki mtu
Sisi wazee walitukuta tuko bize na kilaji tu
Ila walipigika maana mama mtu alikuwa anajbu shit alijua wale wale wazee wa obay kumbe kitengo maalum
Watu walitumwa kwa kazi maalumu
Ndy hadi wazee wazima tukambiwa tutulie Tuendeleee na yetu
Ova
Bongo bana .....wengine wanasema Emba alimtukana mwenye mkoa wake......!Hivi mwana amekula mvua ngapi?
 
Back
Top Bottom