Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Amesema wawili hao bado wanashikiliwa na upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani.
Hii habari ya Shamin inashtua na inasikitisha; lakini tukumbuke haitoshi tu kutoa tuhuma ni lazima serikali iweze kuthibitisha pasipo chembe ya shaka. Ni rahisi zaidi kutuhumu kuliko kuthibitisha. Hata kusema "tumekuta" siyo ushahidi tosha. Tuache process itende kazi; ni matumaini yangu wana mawakili wazuri ambao watawapigania kwa haki. Siyo jukumu lao kuthibitisha hawakufanya; ni jukumu la serikali kuthibitisha kuwa walifanya.
 
Dada wa USA alikwenda kumuaga Kiki wakati anaondoka kumfuata mumewe USA, alishinda kwenye boutique. Khe si amefika USA akafungua Bongolicious design nyingi zilikuwa za boutique.
Hahahhahahaha weee usiniambie ndo ilivyokua.... Na yale maronya ronya yakaishia kujaa sebleni kwake.... Mwisho akapeleka kama charity. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
....Msije tu wiki ijayo mkatuambia kumbe kilichokamatwa sio Heroin bali Unga wa Dengu bibie alikuwa anataka kumpikia mumewe visheti !! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bana we🤣🤣🤣 kipindi ya kikwete hadithi Hizo sana tena wanamalizia"tunaomba radhi Kwa mtuhumiwa kwa usumbufu aliopata na kusababisha asile visheti vyake"
 
Back
Top Bottom