Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari ya Shamin inashtua na inasikitisha; lakini tukumbuke haitoshi tu kutoa tuhuma ni lazima serikali iweze kuthibitisha pasipo chembe ya shaka. Ni rahisi zaidi kutuhumu kuliko kuthibitisha. Hata kusema "tumekuta" siyo ushahidi tosha. Tuache process itende kazi; ni matumaini yangu wana mawakili wazuri ambao watawapigania kwa haki. Siyo jukumu lao kuthibitisha hawakufanya; ni jukumu la serikali kuthibitisha kuwa walifanya.Amesema wawili hao bado wanashikiliwa na upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani.
Watu ni wachokonozi sana!Aiseee aibu mnoo, tumpelekee role model Make up cello [emoji23][emoji23][emoji23]
Mange huwa yuko ahead of the story, informers wake itakua vere inside pipo
Angekua mshamba asinge cope na status za mjini kwenye ile group yao walikuw Mwamvita Makamba, yule Kiki Zimba na Shamim
Wa kudangaMadada wa mujini
Dada wa USA alikwenda kumuaga Kiki wakati anaondoka kumfuata mumewe USA, alishinda kwenye boutique. Khe si amefika USA akafungua Bongolicious design nyingi zilikuwa za boutique.Ongezea na Dada wa US.
Yes that's point, ni ngumu Sana kukutwa naoNa siamini kwa story zake za kuuza unga miaka yote hiyo angeweza kuweka unga ndani
AhsanteNi zaid ya dealer hyu ni drugs king kabs gram mia nne karib nusu kilo hela ndefu sana tena hiyo pure aijaingia mtaani 200 mil ++ dah balaa
Saf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick
Huu ni wivu au nini?Anaishi mbezi beach mi nakaa magubike? Mshahara 620.000 subject to deductions wambebe tu[emoji57][emoji57][emoji57]
Hahaha na ile hashtag yake dah kumbe anajua anapopata hizo helaNa kibubu chake kwa week anaweka mill 1 na kitu tukutane dec
Acha tu mama angu anatupa mawazo sisi kumbe mwenzetu ana mahela yake uko yanaingia bila shidaHahaha na ile hashtag yake dah kumbe anajua anapopata hizo hela
Hahahhahahaha weee usiniambie ndo ilivyokua.... Na yale maronya ronya yakaishia kujaa sebleni kwake.... Mwisho akapeleka kama charity. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada wa USA alikwenda kumuaga Kiki wakati anaondoka kumfuata mumewe USA, alishinda kwenye boutique. Khe si amefika USA akafungua Bongolicious design nyingi zilikuwa za boutique.
Unataka kujaribu?Natamani siku nipate mtu anieleze haya madawa wanayamezaje mpaka hatua ya mwisho ya kuyatoa. Kpn yapo tumboni je wanaruhusiwa kula nk...
Bana we🤣🤣🤣 kipindi ya kikwete hadithi Hizo sana tena wanamalizia"tunaomba radhi Kwa mtuhumiwa kwa usumbufu aliopata na kusababisha asile visheti vyake"....Msije tu wiki ijayo mkatuambia kumbe kilichokamatwa sio Heroin bali Unga wa Dengu bibie alikuwa anataka kumpikia mumewe visheti !! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KabisaHawa kawiii hawa ... hii serikali ya makada wa ccm sio yakupaswa kuaminiwa
Vipi ww unataka pesa ?Naomba unieleweshe hapa..hivyo vibubu vyake vinatoa pesa?
Ndio yule ambaye ni mweupe anatangaza Kama wa njano ambaye anatangaza mgahawa,biashara ya fumigation,vibubu vya 50,000 ? VIBUBU vya Kama trunker la mwanafunzi?
Udada wa mjiniHuyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.