Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

M nilkuja kujua kesho yake asubuh hiyo SKU nlkuwa viloba sana
Mm nlikuwepo pale kuanzia saa tisa issue ikatokea saa mbili usiku hadi saa nne
Waliblock mtaa wote haingii mtu hatoki mtu
Sisi wazee walitukuta tuko bize na kilaji tu
Ila walipigika maana mama mtu alikuwa anajbu shit alijua wale wale wazee wa obay kumbe kitengo maalum
Watu walitumwa kwa kazi maalumu
Ndy hadi wazee wazima tukambiwa tutulie Tuendeleee na yetu

Ova
 
Mpaka uwe karibu ya tukio...lazima ulikuwa ba scanner[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Noma
Ila kama mzoefu wa mazingira yale utajua jnsi kukabiliana nayo

Ova
 
sema jamaa alianza kuwindwa kitambo usela mwingi nao ni msala
 
Ukweli mtupu!
 
Dunia ina mambo mengi sana ya siri!
 
Bongo bana .....wengine wanasema Emba alimtukana mwenye mkoa wake......!Hivi mwana amekula mvua ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…