Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Na angewapiga pesa tuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kumbe kuna wengine wameacha funguo kwake?
Hahaaa...kuna watu wajinga jamani kaajjj
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na angewapiga pesa tuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kumbe kuna wengine wameacha funguo kwake?
Hahaaa...kuna watu wajinga jamani kaajjj
Kabila letu hili kikubwa "PESA" hizi mambo za ustaarabu, utu, tupilia mbaliii aisee babangu.sisi ni PESA tu haijalishi zinatoka kwenye matambiko, kuua, kupakatwa na mwanaume mwezio, kuiba, rushwa, kamali, dhuluma hiyo hatujali. la kutokea ni ajali kazini, sisi ni pesa pesa ni sisi.Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Anaishi mbezi beach mi nakaa magubike? Mshahara 620.000 subject to deductions wambebe tu[emoji57][emoji57][emoji57]
Na angewapiga pesa tuu
Hahaha.....Hapana ninaishi Kwamtogole.
Nitakuletea jibu...sheria imeweka category 2 za kiwango cha Madawa. Kuna kiasi ukikutwa nacho ni cha matumizi ya kawaida tu, adhabu yake ni ndogo na kuna kiasi ukikutwa nacho adhabu yake ni kubwa mpaka kifungo cha maisha.Halafu kwa nini hawa wanaokamatwa wanakutwa na kiasi cha Grams 300/400 tu?
Gunia wameondoka nalo waliofanya ukaguzi kwa ushahidi wamesema kakamatwa na unga hata kusu kilo haufiki...Haiwezekani Tycoon kama Abdul awe na robo kilo ndani.Halafu kwa nini hawa wanaokamatwa wanakutwa na kiasi cha Grams 300/400 tu?
Napenda MATOMBOYessss sasa Mwamvuta Makamba nimesoma nae darasa moja kpnd Mzee Makama RC Morogoro. Alikuwa dada mmoja simple sana ghafla mujii ukambadilisha hahahaaa mjini siji ng'ooooo acha nibaki Matombo.
Ulitakaje labda?
Lakini hapo mmoja wao anaweza akakana akasema huo mzigo sio wake na haujui , kesi ikabaki Kwa mmojaHahaha na ile hashtag yake dah kumbe anajua anapopata hizo hela
Nani yule l...ydiaDa watoto masikini, mara zote wauza Unga na wake zao huwa wanaishia pabaya Sana, mke wa Hariri Kawa Chizi wa kufungwa kamba.
Inasikitisha sana huyu jamaa ukimuangalia usoni anakiburi fulani hivi cha dharau sasa nimeanza kupata pichaKesho kwa mungu tutasema nn...View attachment 1088077
Da watoto masikini, mara zote wauza Unga na wake zao huwa wanaishia pabaya Sana, mke wa Hariri Kawa Chizi wa kufungwa kamba.
Ukiwa muuzaji na wanajua unauza ila wanakosa ushahidi kukumalizaHivi walienda kumsachi walienda na mjumbe au mwenyekiti wa mtaa hiyo saa nane ? Au sio lazima kuambatana nao hao ?
Natamani siku nipate mtu anieleze haya madawa wanayamezaje mpaka hatua ya mwisho ya kuyatoa. Kpn yapo tumboni je wanaruhusiwa kula nk...
DuhhhhNani yule l...ydia
Tena hkuna Mwanamke mpmbv kma yule
Yule alijingiza kwenye matumizi ila meli ilipokamata nanga Hali ilikuwa tete
Kutoka kukaa kwenye apartment ya $1000 kwa mwezi mpaka kukaa kwenye chumba kimoja na wenzake mwananyamala si mchezo
Kama unasema huyo mke wa husen anaitwa L alikuwa hafai hata kdg
Biashara ya ngada ipo siku utalipa tu
Kwa kwenda jela,kufa,kuingia kwenye matumiz mwenyewe
Ova