PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makamanda wanakuja muda mbaya...SAA 8 usiku ni muda wa show huo....
Kweli serikali hailali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makamanda wanakuja muda mbaya...SAA 8 usiku ni muda wa show huo....
Kweli serikali hailali.
....Msije tu wiki ijayo mkatuambia kumbe kilichokamatwa sio Heroin bali Unga wa Dengu bibie alikuwa anataka kumpikia mumewe visheti !! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safari zake ni za wapi na wapi?Bm coach
Ova
Madada wa mujini
Naona mange atafanya sherehe akisikia hii habari
"Mwana kulitafuta mwana kulipata"Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Halafu kwa nini hawa wanaokamatwa wanakutwa na kiasi cha Grams 300/400 tu?
Mhh mama wa Vibubu jamani wenzie tulijaribu kusave tukaishia njiani mwenzetu anayoyoma tu kumbe Mambo ya Ngada Aisee acha niridhike na maisha yangu tu [emoji119][emoji119][emoji119]
Asante mkuu umemaliza.Hivi Serikali ni kipofu???? Serikali inajua matendo ya Raia wake wote na wala awashindwi kukujua.Wanajua matapeli wote,wauza madawa,wanunua mali za wizi,etc...Raia mbele ya Serikali ni kama wale samaki wa Aqualium,una la kuficha...siku yako ikifika ,unanyakuliwa tu!! Hii awamu ya tano aijawai tokea na sijui kama itakuja kama hiii...Wauza unga wengi na wahalifu wapo ndani kwa sasa,wakiwemo hawa maharufu na wasio maharufu.utakataaje wakati wenzio wamekutaja??? Je kama yeye ndie aliempa yule binti wa kizungu aliekamatwa wiki chache zilizopita??? ikaja kuwa kwenye simu ya yule dada wa kizungu imeonekana walikuwa wanawasiliana?? ikaja wakakamatwa wale Wanaijeria wakakuta pia ushahidi wa kuwa pia walikuwa wanawasiliana nae...na pengine walikuta ata lile gari waliokuwa wanatumia wale Wanaijeria umiliki ni wakwake???? Utakataajae 400Grams hapo???.
kwa kifupi ni kuwa wengi wa Watanzania ni mazuzu....Kwingineko watu wanafanya hizi deal chafu...kutafuta mtaji ,then wanakuja anzisha biashara halali wanaa acha kabisa kabisa milele...Watanzania unakuta mtu anauza Madawa toka enzi ya Rais Mwinyi mpaka leo hii,anakuja julikana wapi aachi,siku ya siku ukishikwa Serikali inakuja na ushahidi juu yako mpaka unashangaa.Wameua vijana wengi,na ata kusababisha wengine kufungwa maisha huko nchi za nje...acha wapate malipo ya maovu yao...Mungu ibariki Tanzania
Okay, it makes sense.
Ingawa bado swala la punda kuchukulia mzigo kwa tajiri linaleta swali lingine.
Hii biashara bado ipo tu?
Nimesoma na Shamimu Bungo PS akiwa darasa la saba mimi nipo darasa la tano lkn pia nilimkuta Morogoro Sec. Ki ukweli ni dada anayependa mambo makubwa tangu akiwa shule ya msinhi. Sishangai kwa haya ninayo yasikia kumuhusu. Ni dada wa mujini hasaa tangu ajiwa binti mdogoo.
Yessss sasa Mwamvuta Makamba nimesoma nae darasa moja kpnd Mzee Makama RC Morogoro. Alikuwa dada mmoja simple sana ghafla mujii ukambadilisha hahahaaa mjini siji ng'ooooo acha nibaki Matombo.
Mbona unakuwa kama mwanamke mchawi mkuu wapi umewasikia chadema wakitete huo uovu au chuki binafsi
Acha utoto mkuu
Natamani siku nipate mtu anieleze haya madawa wanayamezaje mpaka hatua ya mwisho ya kuyatoa. Kpn yapo tumboni je wanaruhusiwa kula nk...
Huyu tangu awamu ya JK walikua wanamsema kuhusu unga aiseee