Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Hao wa kwenye kilimo sio wakina qplus
 
Hivi mtama mchungu yupo.?
Yupo jela
Mtama Dah...
Zamani Mtama yeye alikuwa mtu wa viza feki kutengeneza pport ,docmnt tu
Kwake ilikuwa Ukienda utafikiri uko ubalozini hilo nyomi lke....
Enzi hzo za kutaka kusafiri nliendaga kwake alinipiga $100 alikuwa mjeuri ana lugha chafu balaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Mkwe don't forget kupeleka msosi kwa gereza[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ila kweli Shamim alipaswa amsimamie mumewe kama kutajirika washatajirika wangefanya mambo mengine sasa hivi...
Thubutu Kuna kipindi mmewe alisimama hii biashara maisha yakayumba Shamimu alikuwa anakazwa na......... bila kificho Nsembo alikuwa mdogo acha
 
Hao wa kwenye kilimo sio wakina qplus
Q plus wakina D watoto wadogo
Kuna bro mmja hata jna nlikuwa naye moro
Anaitwa A analima hatari na hataki kusikia mambo ya ngada
Watu walimuona fala muoga
Huyo nakumbka alijipeleka mwenyewe kwa nzowa nakumwambia mzee nimeacha mambo hyo na alisaini
Ni mkulima mwenzangu Sema yuko vzuri
Ukitaka ugombane naye mchomeke stori za biashara za ngada.....

Ova
 
Nilionaga kipindi flani qplus wapo iringa eti wanalima sijui wameishia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…