Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,119
- 4,779
Kaaaah kumbe poda inaweza kuwa na mzunguko mkubwa kuliko unga wa ugali...hatari
Hahahahaa, naona unauliza maswali ya kichochezi kuvuna data.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaaaah kumbe poda inaweza kuwa na mzunguko mkubwa kuliko unga wa ugali...hatari
hahaaaaa week ya marejesho ikikaribia unatamani daftari lipoteeAcha kabisa kutupa stress tu za kuingia madeni kwenye vicoba
Sema kweli muna kawa hivyo mkuuDa watoto masikini, mara zote wauza Unga na wake zao huwa wanaishia pabaya Sana, mke wa Hariri Kawa Chizi wa kufungwa kamba.
Kuna kitu kinaitwa kihongwe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaa, naona unauliza maswali ya kichochezi kuvuna data.
Kutoka kupo inategemea na ntu na ntu. Bila shaka umenielewa.huu msimu kupata mdhamana tu ni msala hasa kwa dili hizo na uhujumu uchumi
Namkumbuka mwanangu Emba bortion
Ndiyo raha ya maisha ya maigizo. Shamimu akitoka jela atarudia kuzungumza lugha yake ya nyumbani (Kiswahili) na kuishi maisha ya kawaida kama awali. Alikuwa fake mno.
Kuna kitu kinaitwa kihongwe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwenye biashara hii
Yaani ni namna gani wanavyoingiza mitkasi
Ni Sawa na mchezo wa mbio za kupokezana vijiti
Ova
Si ndy hpoAcha mange sababu anajulikana, story ya abdul na shamimu watu wengi wa mbezi beach na migomigo wanajua sema ndio hivyo kukaa kimya tu!
Hao wa kwenye kilimo sio wakina qplusHakuna cha ugomvi wala nn ile ilikuwa operation maalum ya nyumba hadi nyumba
Wakija toka watakuwa na adabu
Sahv mambo yale syo kbsa kesi yke si mchezo...
Kuna jamaa nawajua waliachaga mambo hyo wakajikita kwenye kilimo muda tu watu wakawa wanawa diss sjui waoga Mara mafala kmbe waliusoma mchzo
Ova
Hahaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ahsante sanaaYule wa kwanza wa shamimu ataenda kwa babake, yule wa kwanza wa Abdul ataenda kwa mama ake, huyo wa kwao ndio ataenda pale magomeni mkuu..Wazazi wamepata watoto wao kiulaini maana walikuwa wanatishwa na pesa.
Yupo jelaHivi mtama mchungu yupo.?
Hahaaadaah!hyo integration mmekumbuka calculushahaaaaaa, O-level utoke na div 3 halaf uende advance PCM/PCB upate hata four au zaid we ni kipanga, nilishuhudia mtu akila zero kutoka div 1.15, ni mwendo wa ku intergrate zero
Thubutu Kuna kipindi mmewe alisimama hii biashara maisha yakayumba Shamimu alikuwa anakazwa na......... bila kificho Nsembo alikuwa mdogo achaMkwe don't forget kupeleka msosi kwa gereza[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ila kweli Shamim alipaswa amsimamie mumewe kama kutajirika washatajirika wangefanya mambo mengine sasa hivi...
Q plus wakina D watoto wadogoHao wa kwenye kilimo sio wakina qplus
Nilionaga kipindi flani qplus wapo iringa eti wanalima sijui wameishia wapiQ plus wakina D watoto wadogo
Kuna bro mmja hata jna nlikuwa naye moro
Anaitwa A analima hatari na hataki kusikia mambo ya ngada
Watu walimuona fala muoga
Huyo nakumbka alijipeleka mwenyewe kwa nzowa nakumwambia mzee nimeacha mambo hyo na alisaini
Ni mkulima mwenzangu Sema yuko vzuri
Ukitaka ugombane naye mchomeke stori za biashara za ngada.....
Ova
DuhThubutu Kuna kipindi mmewe alisimama hii biashara maisha yakayumba Shamimu alikuwa anakazwa na......... bila kificho Nsembo alikuwa mdogo acha
Hahahhahahah acha kabisahahaaaaa week ya marejesho ikikaribia unatamani daftari lipotee
Acha kabisa kutupa stress tu za kuingia madeni kwenye vicoba
Mabishoo tu wapoNilionaga kipindi flani qplus wapo iringa eti wanalima sijui wameishia wapi