Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Sijui kwa nini wanakua hvyoo!dah
 
Ni kama huyu hapa
Your browser is not able to display this video.
 
Hizo ndo akili sasa
 
Madon wabongo nao michosho unakaaje na unga ndani

Nani ajuaye ndugu yangu Dunia ina mengi sana!

Hizo ni tuhuma tu labda tusubiri itakavyoweza kuthibishwa pasina Shaka !

Pengine ilikuwa zamani labda siku hizi walishaachaga!

Nazani uchunguzi wa kina utatakiwa kufanyika kwa haki!

Wakati mwingine si vema kumkuhuku mtu kwa historia huenda aliachaga !
 
Hizo ndo akili sasa
Huyu jamaa alikuwa mshikaji na bro wngu mmja marehemu naye bro alikuwa mtukutu
Team wakina Abu msomali aliuza sana alipata sana hela ila mwishowe akajatumbukia kwenye matumizi
Kwenye matibabu alintesa sana Ndomana game hii naijuaa in n out
Hakuna kitu kigumu kama kukaa na mtumiaji ngada aise acha tu

Ova
 
Pole sana....!!!vinatia hasira hivi vitu
 
Nilimuona dogo mmoja tulikuwa naye tukiwa wadogo, mara ya kwanza nifikiri Mzee flani kumbe ngada! Hiyo kitu haina mbabe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…