Acha kabisaa.....!!!!tena unakua makini nakumbuka Jack Patrick alishawahi kamatwa na mmewe Abdul na unga pia!Abdul akajificha ndani ya ceiling body!!Pesa za madawa labda ziwe za sponsor sio mume
Beka Ranger alikuwa fundi redio mzuri tuNilionaga kipindi flani qplus wapo iringa eti wanalima sijui wameishia wapi
Umesahau enzi za Uturn eeeh?? Mpaka akawa anatuambia alivyompataga baba Kenzo
HahaahahhaahMabishoo tu wapo
Wale taaluma yao namwambiaga siku zte ni ushonaji warudi kwenye fani yaoooo
Ya udisigner tu
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha kabisaa.....!!!!tena unakua makini nakumbuka Jack Patrick alishawahi kamatwa na mmewe Abdul na unga pia!Abdul akajificha ndani ya ceiling body!!
Muuza ngada hatosheki
Ni wachache sana wanaokubali kuachana na kazi hii na kufanya mambo mengine
Mwisho wa Unga ni jela,kufa,kuutumia
Formula ya biashara ya Unga ni ipo siku hela mali zote zitarudi huko
Ona shkuba hakuna mtu aliyekuwa anauza kma yeye lkn leo yuko wapi?
Ova
Sisi wale wadogo zetuHahaahahhaah
Ni kama huyu hapaWeeee Dada washamba wanabadilika aisee hata kama katoka Nanjilinji juzi. Akija mjini mission ni moja tu "Faking it till they make it"....wako wengi tunawaona.
Ila daaah kwa heshima aliyokua amejiwekea Shamim jamani atafanya wasichana wanaomuangalia kama Role model wakate tamaa.
Thubutu Kuna kipindi mmewe alisimama hii biashara maisha yakayumba Shamimu alikuwa anakazwa na......... bila kificho Nsembo alikuwa mdogo acha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni kama huyu hapaView attachment 1088527
Hizo ndo akili sasaQ plus wakina D watoto wadogo
Kuna bro mmja hata jna nlikuwa naye moro
Anaitwa A analima hatari na hataki kusikia mambo ya ngada
Watu walimuona fala muoga
Huyo nakumbka alijipeleka mwenyewe kwa nzowa nakumwambia mzee nimeacha mambo hyo na alisaini
Ni mkulima mwenzangu Sema yuko vzuri
Ukitaka ugombane naye mchomeke stori za biashara za ngada.....
Ova
Madon wabongo nao michosho unakaaje na unga ndani
Ina laana ndo maana mwisho unakua mbayaKazi kama ina laana
Hii
Ova
Lipotee na kikobe kivunjwehahaaaaa week ya marejesho ikikaribia unatamani daftari lipotee
Huwezi amini hata sitamani ni kutaka kujua tuu elumu haina mwisho si mbaya kufahamu.Unaonyesha nia. Kaka yako nakukanya. Usijaribu.
Usijali kaka yangu niko makini siwezi jaribu napenda maisha ila si kwa kiwango cha kuuza ngadaUnaonyesha nia. Kaka yako nakukanya. Usijaribu.
Huyu jamaa alikuwa mshikaji na bro wngu mmja marehemu naye bro alikuwa mtukutuHizo ndo akili sasa
Huyu jamaa alikuwa mshikaji na bro wngu mmja marehemu naye bro alikuwa mtukutu
Team wakina Abu msomali aliuza sana alipata sana hela ila mwishowe akajatumbukia kwenye matumizi
Kwenye matibabu alintesa sana Ndomana game hii naijuaa in n out
Hakuna kitu kigumu kama kukaa na mtumiaji ngada aise acha tu
Ova
Nilimuona dogo mmoja tulikuwa naye tukiwa wadogo, mara ya kwanza nifikiri Mzee flani kumbe ngada! Hiyo kitu haina mbabeHuyu jamaa alikuwa mshikaji na bro wngu mmja marehemu naye bro alikuwa mtukutu
Team wakina Abu msomali aliuza sana alipata sana hela ila mwishowe akajatumbukia kwenye matumizi
Kwenye matibabu alintesa sana Ndomana game hii naijuaa in n out
Hakuna kitu kigumu kama kukaa na mtumiaji ngada aise acha tu
Ova