Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Sijui kwa nini wanakua hvyoo!dah
Muuza ngada hatosheki
Ni wachache sana wanaokubali kuachana na kazi hii na kufanya mambo mengine
Mwisho wa Unga ni jela,kufa,kuutumia
Formula ya biashara ya Unga ni ipo siku hela mali zote zitarudi huko
Ona shkuba hakuna mtu aliyekuwa anauza kma yeye lkn leo yuko wapi?

Ova
 
Weeee Dada washamba wanabadilika aisee hata kama katoka Nanjilinji juzi. Akija mjini mission ni moja tu "Faking it till they make it"....wako wengi tunawaona.
Ila daaah kwa heshima aliyokua amejiwekea Shamim jamani atafanya wasichana wanaomuangalia kama Role model wakate tamaa.
Ni kama huyu hapa
 
Q plus wakina D watoto wadogo
Kuna bro mmja hata jna nlikuwa naye moro
Anaitwa A analima hatari na hataki kusikia mambo ya ngada
Watu walimuona fala muoga
Huyo nakumbka alijipeleka mwenyewe kwa nzowa nakumwambia mzee nimeacha mambo hyo na alisaini
Ni mkulima mwenzangu Sema yuko vzuri
Ukitaka ugombane naye mchomeke stori za biashara za ngada.....

Ova
Hizo ndo akili sasa
 
Madon wabongo nao michosho unakaaje na unga ndani

Nani ajuaye ndugu yangu Dunia ina mengi sana!

Hizo ni tuhuma tu labda tusubiri itakavyoweza kuthibishwa pasina Shaka !

Pengine ilikuwa zamani labda siku hizi walishaachaga!

Nazani uchunguzi wa kina utatakiwa kufanyika kwa haki!

Wakati mwingine si vema kumkuhuku mtu kwa historia huenda aliachaga !
 
Hizo ndo akili sasa
Huyu jamaa alikuwa mshikaji na bro wngu mmja marehemu naye bro alikuwa mtukutu
Team wakina Abu msomali aliuza sana alipata sana hela ila mwishowe akajatumbukia kwenye matumizi
Kwenye matibabu alintesa sana Ndomana game hii naijuaa in n out
Hakuna kitu kigumu kama kukaa na mtumiaji ngada aise acha tu

Ova
 
Pole sana....!!!vinatia hasira hivi vitu
Huyu jamaa alikuwa mshikaji na bro wngu mmja marehemu naye bro alikuwa mtukutu
Team wakina Abu msomali aliuza sana alipata sana hela ila mwishowe akajatumbukia kwenye matumizi
Kwenye matibabu alintesa sana Ndomana game hii naijuaa in n out
Hakuna kitu kigumu kama kukaa na mtumiaji ngada aise acha tu

Ova
 
Huyu jamaa alikuwa mshikaji na bro wngu mmja marehemu naye bro alikuwa mtukutu
Team wakina Abu msomali aliuza sana alipata sana hela ila mwishowe akajatumbukia kwenye matumizi
Kwenye matibabu alintesa sana Ndomana game hii naijuaa in n out
Hakuna kitu kigumu kama kukaa na mtumiaji ngada aise acha tu

Ova
Nilimuona dogo mmoja tulikuwa naye tukiwa wadogo, mara ya kwanza nifikiri Mzee flani kumbe ngada! Hiyo kitu haina mbabe
 
Back
Top Bottom