Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Ukichanganya na mama mkwe hakuwahi kumpenda kwa kupenda kwake mambo makubwa
Heee huyuu ni dada wa taifa mweee mweeeh
Sana na mpaka leo anateseka yule babaHata hivo nilikuwa namwonea huyo Mzungu huruma siku zote. Mimi nisingemaliza naye juma kama angekuwa mke wangu. Kwanza hata kumuoa nisingeweza. Mzungu alikuwa mvumilivu sana.
Sana na mpaka leo anateseka yule baba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimesoma comments zote (zilizopita kabla ya hii comment yangu) katika uzi kwa mara ya kwanza hapa JF. Nilichogundua, uzi umetwaliwa na wataalam wenyewe wa haya mambo. Wanajua nani yuko wapi na afanya nini. Hata ukiandika P, wanajua P ni nani na anafanya nini!
MkuuMrangi heshima yako mkuu,
huyu Nambua au Casandra Cosmetics nahisi nae sio wale wale kweli namuona huko IG anamtetea Sana shamim Mwasha ingawa nilisha mhisi Kabla.
Wanakuambia nlianza biashara na mtaji wa 50000/ Ona sasa Nna bilion[emoji23] [emoji23] [emoji23]Akafie jera tu,hawa ndio wanasababisha wadogo zetu wawe na msongo wa mawazo,unatoka chuoni,unaingia kitaa,unakutana na kijana lika lako,anaendesha,Kruger,V8,hammer,biashara kibao,harafu anakutambia kwamba amejiajiri ndio maana amefika hapo,kumbe ni drug dealer tu!!!lifie huko huko jera,Mali tunataifisha ila huyo mkewe arudishwe kitaa,tuzalishe zaidi
Basi Abdul tabia yake ya kujificha kwenye ceiling body haijaanza juzi [emoji23][emoji23],huezi amin i wanasema Shamim alidanganya polisi kuwa mumewe ayupo,kupekua nyumba ndo wakamkuta darini lol,na kibaya zaidi hiyo sembe iliyokamatwa ilikua ndani ya gar ya bidada,dah shamim huyu fake sana na vibubu vyake ndio maana nilimpuuza[emoji20].Aombe tu Mungu atoke atakua amejifunza jela balaa.Acha kabisaa.....!!!!tena unakua makini nakumbuka Jack Patrick alishawahi kamatwa na mmewe Abdul na unga pia!Abdul akajificha ndani ya ceiling body!!
Waongo sana hawa. Eti wahamasishaji. Kumbe ukweli hawausemi. Sasa watu ndo wanawaamini kweli. Kumbe huko nyuma ya utajiri wao ni biashara haramu.Wanakuambia nlianza biashara na mtaji wa 50000/ Ona sasa Nna bilion[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha wanyooshwe tu
Ova
Maisha syo mepesi hvyoWaongo sana hawa. Eti wahamasishaji. Kumbe ukweli hawausemi. Sasa watu ndo wanawaamini kweli. Kumbe huko nyuma ya utajiri wao ni biashara haramu.
Wakae huko huko kwanza wajifunze kuishi bila ustaaBasi Abdul tabia yake ya kujificha kwenye ceiling body haijaanza juzi [emoji23][emoji23],huezi amin i wanasema Shamim alidanganya polisi kuwa mumewe ayupo,kupekua nyumba ndo wakamkuta darini lol,na kibaya zaidi hiyo sembe iliyokamatwa ilikua ndani ya gar ya bidada,dah shamim huyu fake sana na vibubu vyake ndio maana nilimpuuza[emoji20].Aombe tu Mungu atoke atakua amejifunza jela balaa.
Shamimu nae mjinga,Yaani kwa akili zake polisi walikurupuka tu wakaja?Lazima polisi walifuatilia where abouts zake na kuzimonitor mpaka anaingia nyumbani kwake na kujihakikishia hajatoka ndo maana na wao wakazama ndani.Basi Abdul tabia yake ya kujificha kwenye ceiling body haijaanza juzi [emoji23][emoji23],huezi amin i wanasema Shamim alidanganya polisi kuwa mumewe ayupo,kupekua nyumba ndo wakamkuta darini lol,na kibaya zaidi hiyo sembe iliyokamatwa ilikua ndani ya gar ya bidada,dah shamim huyu fake sana na vibubu vyake ndio maana nilimpuuza[emoji20].Aombe tu Mungu atoke atakua amejifunza jela balaa.
Shamimu nae mjinga,Yaani kwa akili zake polisi walikurupuka tu wakaja?Lazima polisi walifuatilia where abouts zake na kuzimonitor mpaka anaingia nyumbani kwake na kujihakikishia hajatoka ndo maana na wao wakazama ndani.
Mkuu kumbe wewe ni mtu mzito hapa town ee?Duh....
F na f.k
Wale wmeishi sana Brazil
Ila sjui kama wanafanya kwa sasa
Naona wamezidisha kupaboresha hpo
Ila wanacheza na mkopo wa bank
Ova