Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Hahaaa...wenziwe Walee wanatoboa tu na ndoa zao zinadumu yeye ameachika anabaki kuendeleza chuki!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]Mange hapana kwa kweli hata mashoga zake wako nae kwa step
Hivi ana shoga kweli zaidi ya Hamisa na lile sagaji
 
Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.

Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
kumbe sister nawewe umo eeeh
 
Hahaaa...wenziwe Walee wanatoboa tu na ndoa zao zinadumu yeye ameachika anabaki kuendeleza chuki!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]Mange hapana kwa kweli hata mashoga zake wako nae kwa step
Kipindi mwamvita amehamia kwenye ule mjengo alio tuaminisha ni wake, mange alikuwa anamsifia balaa, kutwa kurusha picha ya mjengo, bi dada mwamvita alirahi jamani, na hivi walikuwa wamegombana, haaa! aliandika huyo kumchamba mwamy hadi huruma..Ila mwamy nae nyumba ya hawara unafungua kwa swala na kaswida juu unalisha na wazazi ubwabwa, mjini kweli HARAMU mpaka uchi umegeuzwa kitega uchumi.
 
Anajua akirudi kifuatacho.... Mamaake bado yupo na anavyojua kujishebedua. Kuna siku nilikuwa nae wakapita mateja wameiba boga sokoni akawa anajiongelesha nikamtizama huku najiambia si ndo wateja wa mwanao hao unadhani hili Bata unalo kula linatoka wapi waungishe boga Hilo.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
 
Inasemekana walikuta ndani
Mbona siku hiyo tulikuwa pembeni na saloon yke kwenye kile ki grocery
Mama pale angetulia tu Sema alianza jibu shit....baada ya kuona wanataka mkamata mwanae ndpo alipochezea kichpo
Pale kulikuwa na wasanii fulani nao wakakogeshwa kwenye dimbwi hku wakiambiwa waigize [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sisi kama Kawa tulikuwa tunaendelea kupiga vyombo ila sim usishike no recording

Ova
Ilikuwa mwaka gani mkuu?
 
Emba bortion na mama yake remina wauza ngada maarufu kino wamefichwana mamlaka kwa sasa. Hela za ngada dada alikuwa anapanda first class flights hizi front waliweka Saloon na kuuza ma lace wig back office au core business ilikuwa ni powderz. View attachment 1088675View attachment 1088680View attachment 1088681
Emba botion kwenye motion (katika sauti ya dògo hamidu a.k.a nyandū tozi) hivì dogo hamidu nae karara mbére au bado anasikirizia wazee mpaka wamjie
 
Nimesoma comments zote (zilizopita kabla ya hii comment yangu) katika uzi kwa mara ya kwanza hapa JF. Nilichogundua, uzi umetwaliwa na wataalam wenyewe wa haya mambo. Wanajua nani yuko wapi na afanya nini. Hata ukiandika P, wanajua P ni nani na anafanya nini!
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Basi Abdul tabia yake ya kujificha kwenye ceiling body haijaanza juzi [emoji23][emoji23],huezi amin i wanasema Shamim alidanganya polisi kuwa mumewe ayupo,kupekua nyumba ndo wakamkuta darini lol,na kibaya zaidi hiyo sembe iliyokamatwa ilikua ndani ya gar ya bidada,dah shamim huyu fake sana na vibubu vyake ndio maana nilimpuuza[emoji20].Aombe tu Mungu atoke atakua amejifunza jela balaa.
Nadhani hapa anazungumziwa Abdul Fundikira ex mume wa Jack na sio Abdul nsembo
 
Kuna ladies Instagram maisha yao na matanuzi hayaendani kabisa na biashara zao. Wa furniture, vipodozi, kushona, etc
 
Back
Top Bottom