Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Hahaaa...wenziwe Walee wanatoboa tu na ndoa zao zinadumu yeye ameachika anabaki kuendeleza chuki!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]Mange hapana kwa kweli hata mashoga zake wako nae kwa step
Hivi ana shoga kweli zaidi ya Hamisa na lile sagaji
 
Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.

Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
kumbe sister nawewe umo eeeh
 
Hahaaa...wenziwe Walee wanatoboa tu na ndoa zao zinadumu yeye ameachika anabaki kuendeleza chuki!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]Mange hapana kwa kweli hata mashoga zake wako nae kwa step
Kipindi mwamvita amehamia kwenye ule mjengo alio tuaminisha ni wake, mange alikuwa anamsifia balaa, kutwa kurusha picha ya mjengo, bi dada mwamvita alirahi jamani, na hivi walikuwa wamegombana, haaa! aliandika huyo kumchamba mwamy hadi huruma..Ila mwamy nae nyumba ya hawara unafungua kwa swala na kaswida juu unalisha na wazazi ubwabwa, mjini kweli HARAMU mpaka uchi umegeuzwa kitega uchumi.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
 
Ilikuwa mwaka gani mkuu?
 
Emba botion kwenye motion (katika sauti ya dògo hamidu a.k.a nyandū tozi) hivì dogo hamidu nae karara mbére au bado anasikirizia wazee mpaka wamjie
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nadhani hapa anazungumziwa Abdul Fundikira ex mume wa Jack na sio Abdul nsembo
 
Kuna ladies Instagram maisha yao na matanuzi hayaendani kabisa na biashara zao. Wa furniture, vipodozi, kushona, etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…