Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Asee mi ndio maana huwa nakamua kwa uwezo tu. Hamna haja ya kujitesa kama sina kikubwa ni sina tu nikipata nainjoy daima siwezi kujitesa for fame! Wacha wanawake wahangaike na sikuhizi wanachanwa maboga for lifestyle!
Hahaha yote hiyo ni kutaka maisha wasiyoyaweza.. Ishi kutokana na kipato chako. Hicho wadada wengi hawataki
 
Hili nakubali mkuu, na ndio maana nasema kamua kwa uwezo. Usifosi kujikuna usipofikia by anyhow hata kwa ku risk maisha yako.
Do the right thing muda wote, not whats easy!
 
H

aahaaaaaa, eti kukutanulia mapaja, naona sasa mmechoka kutanuliwa mapaja na ma golddigger mmeamua nyinyi kuwatanua marinda kufidia hela ya matumizi mtoayo, shauri zenu na dhambi zenu.

Sasa nakulipia apartment USD1000, matumizi kwa mwezi USD1000, kwanini nisiwe nakula ndogo tu kufidia hasara zangu. Nikichoka nakuscrap unakuwa kama --------
nachukua mwingine anayetrend mjini naye analiwa anascrapiwa.. TAMAA ZAO NDIO ZINALETA YOTE HAYA..
 
Inaonekana kodi ya apartments imeshuka siku hizi hapo? US$1000 maeneo gani hayo?
 
Sijui kwanini huwa hawaridhiki, Ukibutua mkwanja maramoja si utulie ufanye mambo Mengine?
Duuuuuuh!!!
We ukiacha ka salary kako mfano laki 8 kenye makato ukapiga mishe moja ikakuingizia 10M chap!
Hivi utaacha kweli? Unaambiwa ukipiga nyingine succesfuly una 20M.

Rapid money making is addicting na lifestyle yako lazma itakuwa wild ghafla. Je,utaweza kuacha mkuu? Sio kama hawapendi ila kuacha ni ngumu.
 
Unajikuta unayo mfanyia ndio anayo penda, utaishia kujitesa tu kumkomoa mwanamke ni kazi sana, haswa hao wa mjini..
 
We ukiacha ka salary kako mfano laki 8 kenye makato ukapiga mishe moja ikakuingizia million 10 chap! Hivi utaacha kweli? Money is addicting na lifestyle yako itakuwa wild ghafla. Je,utaweza kuacha mkuu? Sio kama hawapendi ila kuacha ni ngumu.
Aiseee!
Ni tamaa tu lakini na hizo life style.
Lakini Kama unajielewa, unaacha Kabisa aisee.
Unaona Sasa wamekamatwa.
Utamu wote wa Maisha kwishney.
 
Aiseee!
Ni tamaa tu lakini na hizo life style.
Lakini Kama unajielewa, unaacha Kabisa aisee.
Unaona Sasa wamekamatwa.
Utamu wote wa Maisha kwishney.
Salute kwa wana walioingiza hio hela kwenye mizunguko ya kawaida. Kama dogo hamidu ana coaster na bajaji zake zinapiga kazi ina maana hela inaingia tu hata akiacha hizo mambo. Pengine kama ana maduka nayo yatamtoa freshi tu.
 
Unajikuta unayo mfanyia ndio anayo penda, utaishia kujitesa tu kumkomoa mwanamke ni kazi sana, haswa hao wa mjini..

Haijalishi akishakuwa scraper unambwaga maisha yanaendelea na mwingine, Siku mpaka watoto wakiume wanaliwa ndogo kwa tamaa zao za kijinga.. Kuna siku itafika tutaanza kuweka majina yao humu.. TAMAA MBAYA SANA AISEE, turidhike na maisha yetu kama ni kidogo hichohicho tu..
 
Hahaha kama PABLO ESCOBAR. Jamaa alikuwa untouchable pamoja na mwenzie EL CHAPO!
 
Haahaaa, mkuu mlitaka kuwakomoa kibao kimegeuka mmewapa kitu amaizing mpaka wanawashangaa mlichelewa wapi kuanza mapema, Ulimuona Amber alivyokuwa anacheza na pu..b wakati jamaa anazibua mtaro...Mungu asimamishe dunia walah..too much.
Hahahaha alikuwa anainjoy mtulinga wa kile kichalii
 
Narcos season 3 [emoji23][emoji23][emoji23]..Narcotics ni noma
 
Katika vitu ninavyomshukuru Magufuli ni hili. Dar Nyumba maeneo hayo zilikuwa bei kubwa sana - kodi ama kununua. Ile haikuwa bei halisia kabisa. Bei ya kiwanja Dar kuzidi London/New York haikuwa halisi kabisa. Bila shaka pesa ya madawa nayo yalichangia. Nadhani kufika 2025 itakuwa imeshuka zaidi.
Mkuu zipo, Masaki, Mbezi beach,Mikocheni, Mbezi beach, Msasani nk.. Inategemea na quality lakini kwa 2.3mil/month unapata mpaka upanga..
 
Ila mboni nae katiwa jamani, haa! halafu hana kitu cham maana, mwanamke yule katiwa mpaka na Etoo!? Kisa apate hela ya kwenda jumapili white sands hotel...watu bwana halafu wanataka eti nao WAOLEWE?! wanaume wana kazi ngumu.
40 yake nae itafika kama ya mamake mkubwa yule alwatan wa Upanga[emoji40]
 
Mkuu umeongea fact! Na bahat mbaya wana spend as they earn so hata kuwekeza hamna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…