Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Naskia pale karb na regency wanalipa $8000 sijui ni kweli?
Katika vitu ninavyomshukuru Magufuli ni hili. Dar Nyumba maeneo hayo zilikuwa bei kubwa sana - kodi ama kununua. Ile haikuwa bei halisia kabisa. Bei ya kiwanja Dar kuzidi London/New York haikuwa halisi kabisa. Bila shaka pesa ya madawa nayo yalichangia. Nadhani kufika 2025 itakuwa imeshuka zaidi.
Angebaki na Baba Iqra Range ange sukuma lini Range?Zeze ameponzwa na huyo mume wake wa sasa,ange baki na baba iqra wake..sasa hivi wangekua poa tu...
😀😀😀😀😀. Zetu dagaa....kuku tamaa tu!
Daaah na kibubu challenge!!
Ila haya maisha bwana aaah to stay low key sometimes is better
😂😂😂😂😂 unaanza mapigo ya unanijua me nani?Low key haiwezekani ukiwa nazo tuu nafsi inawasha unataka wakujue.
Mhindi akiwa na milioni 20 anawaza jinsi ya kupata milioni 40. Mwafrika akiwa na milioni 20 anataka dunia imfahamu.Low key haiwezekani ukiwa nazo tuu nafsi inawasha unataka wakujue.
Mahindi akiwa na milioni 20 anawaza jinsi ya kupata milioni 40. Mwafrika akiwa na milioni 20 anataka dunia imfahamu.
Aendelee kuwaadmire tu ila asione ni rahisi kuwa kama waoKuna kabinti kamoja kakiunga bundle kanaenda kwenye page ya resty_fish_bbq ama salometsyi ama askvin farms mara zanana. Yani ana admire watu wa design hio sana na anawish siku afanye awe kama hao.
Namwambia it took a lot of hard work and committment! Na pia mtaji...usidhani ukiwa na kamilion ka 1 unaweza yafanya yale kisa uliskia alianza na mtaji wa elfu 7,10,20 hahahah! Tulia mafanikio ya mtu yana siri kubwa sana. Dont take it lightly!
Low key haiwezekani ukiwa nazo tuu nafsi inawasha unataka wakujue.
Wamemtaja na Nambua?? Wamuache jamani yule kakulia kwenye hela na anafight kweli na maduka yake. Hela yake inaonekana kabisa na hana utajiri wa kusema watu tuujue Sababu hana mashauzi kabisa mwenyeweNaweza kusema hamjui Nambua vizuri sijataka tu kubishana nae.
Shamim na Nambua ni watu wawili tofauti hata kwenye party zao za watoto wa mjini wanazoandaa kundi la kina Shamim huwezi mkuta Nambua.
Mange si muongo ila ni chizi maarifaMnasemaga mange muongoo,haya sasa
Ya mjini yaone hivo hivo! Wengine ngoja tuendelee kupambana na juhudi za JPM kutuletea train ya mwendokasi! Never mind kwamba hiyo train wengine tunaweza tusiwe na kipato cha kuipanda.
Unajua ujanja na ufisadi wa siku hizi umenikumbusha kitu. Nakumbuka 2007 nikiwa mtaani nimetoka mlimani…. dada mmoja maarufu sana mjini Amina Chifupa wa Mpakanjia akafariki. Story mtaani zikawa nyingi sana (si unajua mtu mashuhuri akifariki conspiracy theories ni nyingi?). Basi one of my close friend tukawa tumepanga chumba wote mtaani...na yeye ndo amemaliza udaktari Muhimbili..siku moja tunapata kitimoto pale miti mirefu………. ndo akaniambia bwana huyu dada mimi nime-deal naye sana tangu Muhimbili mpaka Lugalo. So ugonjwa uliomuondoa ni 'huu'! kiukweli sikuamini. Maana jamaa alikuwa ananishangaa..ninavyoamini story za mtaani kwamba dada kafanyiziwa! Nilikuwa naona kwamba huyu dada asingeweza kuondoka na ugonjwa "huu"
Mjini ukiwa na hela..au cheo..hata ukifanya madudu gani lazima wapo watakaokutetea kwamba wanaokutuhumu wanasumbuliwa na wivu!
Umenifurahisha, alianza pia kutafutia wafuasi madanga ya kizungu, unatuma unamtumia US $ anakufungulia account match.comNa anawapata machizi wenzake wengi tu, kuna wakati alianza kuwafundisha jinsi ya kupata mume CLAAs au MZUNGU , akawaambia acheni kutengeneza TRIANGLE yaani NYUMBANI, KAZINI KANISANI/MSIKITINI NYUMBANI, mkitoka kazini nendeni hotel kubwa agiza hata maji utapata watu class, hameni manzese hamieni masaki hata kwenye banda la uani utakutana na watu claa...basi kuna mmoja akaja kulalamika eti NILIFANYA HIVYO NIKAPATA MZUNGU AMENI..MBA SIKU MOJA TU , akaninyima namba yake nilikosea wapi? Akajibiwa we alikuona MALAYA kwa nini ulimpa MBUNYE siku ya kwanza? Hahhaaaaaaaaaaaa! huyu ndio Mange na ELIMU YAKE, shami na VIBUBU vyake..kila chizi na machizi wake jamani.
Kweli yule baba alizaa kwa Mange tu, hapana aisee..Umenifurahisha, alianza pia kutafutia wafuasi madanga ya kizungu, unatuma unamtumia US $ anakufungulia account match.com
Kwakweli marehemu Jumanne Kimambi utakumbukwa daima kwa kumleta duniani Mange.
Sidhani kama anawaza the consequences, yeye anawasha tu.Yulee ni mtamboo kwa kwelii. Halafu naona kama anaongoza na chukii anaweka pua yake kila mahali
Umeona eee acha kabisa huyu dogo sio alipangaga nyumba nzima kwa ajili ya kushushia mzigo. Siku mzigo ukiingia unaingia na misamaki tele zuga eti ni supplier jumba linachafuka achaDogo anamiliki coaster na bajaji kama zote hapa town! Zimekula muhuri wa 26#.
Unajiuliza mentor wake wa Da Skendo (konki_masta /Dudubaya/Mamba) anakwama wapi?
Hee kumbe bidada Dubai mamaake bado yuko hai?si nasikia yatima?Hahaaa...wenziwe Walee wanatoboa tu na ndoa zao zinadumu yeye ameachika anabaki kuendeleza chuki!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]Mange hapana kwa kweli hata mashoga zake wako nae kwa step
dada yupi wa Dubai?Hee kumbe bidada Dubai mamaake bado yuko hai?si nasikia yatima?