Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya


Exactly my thoughts, nakumbuka kuwahi kupata jibu la namna hii mahali, nikasema niulize tena kupata maelezo zaidi.

Asante mkubwa.
 
Aliolewa bwana na gauni lake la harusi yakwanza ninalikumbuka, walikua na maisha ya kawaida na mume wake.
 
Ile drama tuliipata U turn enzi za obagi na mashauzi yanataka pesa. Lakini ninampenda Kiki she is classic.

Ha ha haaaa Obagi.. umenikumbusha nimecheka sana.

Ikamvutia kuanzisha bootylicious sijui nini nayo ikamtokea puani akawa anakula pesa za watu mizigo hawipati.. insta alipoanza anza wakilalamika walikula block.. nayo ikafa.

Mange kaangaika sana .. labda siku moja atatoboa... kwa kupitia udaku anaouamini ndio kazi yake.. bila kusahau wivu🤣
 
Exactly my thoughts, nakumbuka kuwahi kupata jibu la namna hii mahali, nikasema niulize tena kupata maelezo zaidi.

Asante mkubwa.
Asante Mkuu ...tuko pamoja ... mfano mdogo ni daudi kanyau ... anafahamika wazi kuwa ni drugs dealer guru ..lakini yupo salama mpaka hii leo "

Ni kwa sababu hajawauzi vya kutosha wa kuu waliopo kwenye system
 
Huyu nsembo rafikia sana na Kinje na lemutuz na bashite. Itakuwa wamepishana kiswahili na bash boy. Kawatengenezea zengwe ila watatoka na hakuna atakayefungwa hapo. Wanatikiswa wateme mpunga

Kuna mwenzake alidakwa tayari aliyekuwa karibu nae zaidi.. ikashangaza wanaowajua walipoandika mitandaoni.. yeye alikuwa bado yupo nje.. kumbe nae siku imefika.
 

Kwenye ile kamata ya Magomeni Kagera au Mwenbe Chai sikumbuki vizuri, nasikia jamaa alipewa tip akaondoka mapema, nusu saa tu wazee wa kazi wakavamia.
 
Mbona Kama hawafanani? Mwasha Ana
Uweusi/brown flani. Hivi karibuni walienda Zenji mara Sauzi. Ndio yeye au nazungumzia watu wawili? Anatumia jina la BBQ kitu Kama hicho. (Shamimu ndiye nilianza kumjua)
Amekata nywele,mara mazoezi
 
Asante Mkuu ...tuko pamoja ... mfano mdogo ni daudi kanyau ... anafahamika wazi kuwa ni drugs dealer guru ..lakini yupo salama mpaka hii leo "

Ni kwa sababu hajawauzi vya kutosha wa kuu waliopo kwenye system

Kumbukumbu zangu zinaniambia Kanyau alidakwa kipindi fulani, sikumbuki vizuri.
 
Huyu nsembo rafikia sana na Kinje na lemutuz na bashite. Itakuwa wamepishana kiswahili na bash boy. Kawatengenezea zengwe ila watatoka na hakuna atakayefungwa hapo. Wanatikiswa wateme mpunga

Kumbu kumbu zangu zinaniambia kipindi kile cha ile list ya drug dealers jamaa hakumtaja kabisa, wakati anamfahamu vizuri mno tena mpaka wametombeana demu (kajala)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…