Na siamini kwa story zake za kuuza unga miaka yote hiyo angeweza kuweka unga ndaniAfu kwa nini wamvamie kwake saa nane usiku kufanya msako, hako kamzigo kadogo si wanakapandikiza tu afu unapewa kesi
Ni kweli alidakwa " lakini hajawahi kupigwa mvua kama chonjiKumbukumbu zangu zinaniambia Kanyau alidakwa kipindi fulani, sikumbuki vizuri.
Nashukuru sanaa kwa elimu hiii. Sijuwa najua kuwa kuna mfungaji nilijua huwa ziatoka hivyo hivyo kiwandani. Pale airport wanapopita mashine huwa hazitambui kuwa kuna mzigo tumboni? Maana naona kuna wanaokamatwa wengine wabahatika au ni sual la bahati nasibu?Hatuwa muhimu kuliko zote ni mfungaji wa hizo pipi, punda wote wanawaheshimu sana watu hawa kwa sababu pipi zikifungwa vibaya tumboni zinapasuka.
Hatua ya pili punda anakula ugali wa kushiba wakati vipipi vipo kwenye beseni la maji, baada ya kula na kushiba na kupumzika kidogo ndio wanaanza kumeza hizo pipi kila punda kwa uwezo wake wa gram, wako punda wanaondoka na kilo nzima wanajilodi na kwenye tigo.
Wakifika salama mzigo hupakuliwa kwa njia ya haja kubwa mpaka pipi zote zinaisha, punda anachukuwa dola zake anafanya shopping anarudi huko mtaani mtamtambuwa, hawana akili kwamba hapa nimepata mtaji niachane na upunda nifanye biashara yeye anawaza next trip wapi.
Punda wakiwa kwenye ndege ni dry food na juice tu.
Kanyau yuko uraianiKumbukumbu zangu zinaniambia Kanyau alidakwa kipindi fulani, sikumbuki vizuri.
Ni kweli alidakwa " lakini hajawahi kupigwa mvua kama chonji
Kanyau yuko uraiani
Mkuu magubike iringaAnaishi mbezi beach mi nakaa magubike? Mshahara 620.000 subject to deductions wambebe tu[emoji57][emoji57][emoji57]
We fala maendeleo hayana chama!!Saf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick
Asikie mara ngp?Naona mange atafanya sherehe akisikia hii habari
Dada naomba kama una picha ya huyo ShamimNa siamini kwa story zake za kuuza unga miaka yote hiyo angeweza kuweka unga ndani
Hao hapoDada naomba kama una picha ya huyo Shamim
Akatoka akakimbilia zake South..Ila aliwahi kukamatwa kipindi hivi.
Asante
Naona mange atafanya sherehe akisikia hii habari
Unataka usafirishe ?Natamani siku nipate mtu anieleze haya madawa wanayamezaje mpaka hatua ya mwisho ya kuyatoa. Kpn yapo tumboni je wanaruhusiwa kula nk...
Ndio kuna mtu akasema Jana yake Shamim alienda dukani kwakeHahaaa!aliandika wakasema muongo
Madada wa mujini
Sio weru mkuuKituo cha kwanza Miami,cha pili kwa Mwandulami,cha tatu Kwa Kaundama Kalenga ndiyo nakuja kuvuna nyanya.Hahahahahaaa!