Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

ila huyu nsembo na huyo mke wake inaonekana hawajui kusoma alama za nyakati. walianza kuhusishwa na biashara ya dawa za kulevya tangu enzi za utawala wa jk.

nilitegemea ktk utawala huu wa jiwe usiotabirika wangekuwa wameacha na kuhamia kwenye biashara za halali. acha "wanyoroshwe"
 
Nashukuru sanaa kwa elimu hiii. Sijuwa najua kuwa kuna mfungaji nilijua huwa ziatoka hivyo hivyo kiwandani. Pale airport wanapopita mashine huwa hazitambui kuwa kuna mzigo tumboni? Maana naona kuna wanaokamatwa wengine wabahatika au ni sual la bahati nasibu?
 
Natamani siku nipate mtu anieleze haya madawa wanayamezaje mpaka hatua ya mwisho ya kuyatoa. Kpn yapo tumboni je wanaruhusiwa kula nk...
Unataka usafirishe ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…