Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Ha ha haaaa Obagi.. umenikumbusha nimecheka sana.

Ikamvutia kuanzisha bootylicious sijui nini nayo ikamtokea puani akawa anakula pesa za watu mizigo hawipati.. insta alipoanza anza wakilalamika walikula block.. nayo ikafa.

Mange kaangaika sana .. labda siku moja atatoboa... kwa kupitia udaku anaouamini ndio kazi yake.. bila kusahau wivu🤣

🤣🤣🤣🤣aisee mi nilikuwa nasita kuagiza kwa mange pending order zilikuwa nyingi
 
Yessss sasa Mwamvuta Makamba nimesoma nae darasa moja kpnd Mzee Makama RC Morogoro. Alikuwa dada mmoja simple sana ghafla mujii ukambadilisha hahahaaa mjini siji ng'ooooo acha nibaki Matombo.
Karibu kwangu.Kumbe upo Jirani hivi?Mimi naishi Mtamba-Matombo,baada ya hapo unafika Kangazi unapoelekea Mvuha kabla ya kufika Dutumi unapoelekea Kisaki.

Vipi,Nige na Mkuyuni huendagi?Karibu ili twende Ngerengere kwa babu Mganga wa kienyeji,njia inaanzia hapo Mkuyuni tu kuelekea huko,unaiacha barabara inayooenda Morogoro.

Mweeee,ulonga choni?Njoo Mtombozi karibu na Mtamba uone Waluguru wanavyoneema mwali kuzingatia mafiga mawili.

Tuna mtu wenye maji safi kabisa wa Kifindike unaoungana na mito mingine kutengeneza MTO Ruvu.

Karibuni sana.
 
  • Thanks
Reactions: Ilu
Maisha yangu yote sijawahi kuona bangi,heroin wala cocaine. Hivi kati ya cocaine na heroin ipi ina bei zaidi?

Sina uhakika sana tofauti yake mana aliyenionyesha ni teja ila ni wa mtaani kwangu kwaiyo hana elimu haswa kujua tofauti yake ila nilitamani ningempata mtaalamu angenipa darasa
 
Maisha yangu yote sijawahi kuona bangi,heroin wala cocaine. Hivi kati ya cocaine na heroin ipi ina bei zaidi?

Bangi ni majani tuu kama majani ya mpapai yaliyokaushwa kisha yakasagwa.

Cocaine ni nyeupe pee kama glucose ya kulamba kuongeza nguvu. Asili yake ni majani ya Coca ambayo yanastawi katika milima na baridi. Source yake sana Bolivia, peru, chile, Mexico, Colombia. Cocaine inamfanya mtumiaji awe active muda wote, asipate usingizi, inaongeza flow ya damu mwilini.

Behind the curtain inasemekana ni biashara ya CIA kama wao ndo engineers wa hizo vitu. Kwani ilikuwa inarise pesa kwa ajili ya kufund vikundi wa msituni ili kutokomeza siasa za ujamaa za mrusi enzi hizo.

Heroine ipo na rangi ya brown kama unga wa muhogo. Asili yake ni mimea ya popy ambayo inastawi sana pakistan, afghanstan na maeneo ya jirani. Heroin ni seizing agent, inamfanya mtumiaji anasinzia, anakuwa doro na kurelax.

Behind the curtain heroine, inasemekana ni biashara ya KGB waliianzisha kucounter effect cocaine katika kipindi kile cha vita baridi maana walikuwa wanazidiwa ujanja na mahasimu wao wa CIA.

Kati ya vyote hivyo Cocaine ndo ina bei kubwa kuzidi hao wote.
 
Mara ya mwisho mange kuja bongo walikutana na Nsembo mahali, Nsembo akachomoa bastola katishia kumpiga Mange, Mange alikimbia mpaka polisi, akwa yuko mikono salama,, leo Mange akirudi akapata msala atathubutu kukimbilia polisi au ndio atakuwa kajipeleka? Maisha yanazunguka kuliko dunia jamani..
Duuh...aiseee.....hahaha....huyu Mange huyu nae
 
Ni zaid ya dealer hyu ni drugs king kabs gram mia nne karib nusu kilo hela ndefu sana tena hiyo pure aijaingia mtaani 200 mil ++ dah balaa

Huu ni uongo, gram 400 haifiki hiyo bei kwa TZ, hata huko China ambapo ndo bei ipo juu gram 400 haiuzwi hiyo bei. Yes heroine inauzwa pesa nyingi, ila polisi huwa wakimkamata mtu hawatangazi bei kuepusha kutamanisha vijana kujiingiza katika hiyo biashara kutokana na tamaa ya pesa.
 
Mafanikio ya binadamu yana siri kubwa sana nyuma ya pazia!
Ndio maana wanasema hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho.
Abdul is my brother/friend lakini kwa hizi tuhuma aisee nilikua namwangaliaga kwa jicho la tofauti.
Shamim hakuplay part yake kama mke kashindwa kumshauri mumewe ona sasa hivi wote wako ndani wameacha watoto wateseke kisa short cut ya utajiri.
 
Nashukuru sanaa kwa elimu hiii. Sijuwa najua kuwa kuna mfungaji nilijua huwa ziatoka hivyo hivyo kiwandani. Pale airport wanapopita mashine huwa hazitambui kuwa kuna mzigo tumboni? Maana naona kuna wanaokamatwa wengine wabahatika au ni sual la bahati nasibu?
Swali zuli sana hili wajuvi watatueleza....
 
Hicho kipimo ndio uwezo wa punda wengi kumeza tumboni, elewa hao hawauzi kete kuna punda hapo lilandaliwa huo mzigo lije kumeza lipandishwe ndege lipelekeke sokoni.
Matola mapunda mengi yanabeba kilo moja na kuendelea ujue maana hivyo vichenga vya 300 au 400gm ni hasara kwao jamaa ana logic sana kuuliza hilo swali nakumbuka hata kwa dogo wa magomeni walikamata 300 yaani supplier mkubwa wa Nchi za kusini wapate 300 gram tuu hata mimi napata mashaka...
 
Back
Top Bottom