Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

2013
Full HD 'Dokumentari' ya wawili hao Abdul & Shamim


Source : iview studios
c.c. figganigga
Mbona sijamuona Mange wala Marehemu Ruge ina maana hawakuwaga karibu n bwana Nsebo na bibi Shamimu
 
Huu ni uongo, gram 400 haifiki hiyo bei kwa TZ, hata huko China ambapo ndo bei ipo juu gram 400 haiuzwi hiyo bei. Yes heroine inauzwa pesa nyingi, ila polisi huwa wakimkamata mtu hawatangazi bei kuepusha kutamanisha vijana kujiingiza katika hiyo biashara kutokana na tamaa ya pesa.

Mkuu unaongelea makapi au ushawahi ona pipi hiyo ni kasoro gram 100 kufika nusu kilo unajua unga unauzwaje kwa mtu wa mtaani ujanua bei yake kwa cha ukucha nimepata nafasi kuongea na muuzaji ambae nae amekua teja nimeona unga wenyewe sasa cjajua umeongelea unga gani mkuu
 
na uhakika huo unga wamebambikiwa. inawezekana accounta zao zinasoma digits za kutosha serikali inataka kuzipunguza
 
Mkuu unaongelea makapi au ushawahi ona pipi hiyo ni kasoro gram 100 kufika nusu kilo unajua unga unauzwaje kwa mtu wa mtaani ujanua bei yake kwa cha ukucha nimepata nafasi kuongea na muuzaji ambae nae amekua teja nimeona unga wenyewe sasa cjajua umeongelea unga gani mkuu

Boss naongea ninachokifahamu. Sizingumzii makapi, nazungumzia Uncut heroine toka wao wanapopaita shamba, uzito wa gram 400 popote pale duniani haifiki bei uliyoitaja ya million 200. Na uncut heroine ndo inayosafirishwa na naamini ndo waliyokamatwa nayo hao mabwana. Huyo teja itakuwa kakwambia hizo data akiwa hajui what it worth.

Umezungumzia swala la pipi, pipi za madawa zinafungwa katika standard ya gram 10 kwa pipi moja. Hivyo katika hiyo gram 400 zitatoka pipi 40 za kumeza.
 
Yessss sasa Mwamvuta Makamba nimesoma nae darasa moja kpnd Mzee Makama RC Morogoro. Alikuwa dada mmoja simple sana ghafla mujii ukambadilisha hahahaaa mjini siji ng'ooooo acha nibaki Matombo.
Matombo? Nielekeze niwe jirani yako kwenye huo mji
 
Mamalaka ya kupambana na kuzuia dawa za kulevya imemtia nguvuni Abdulndinda na mkewe jijini dar wakiwa na heroin kilo kadhaa.
Hivi hawa jamaa hawajui hiyo biashara hailipi kwa sasa?
Ni bora pesa haramu waliopata wangeibadilishia biashara kuliko sasa wanafilisiwa hata walichokusanya,shit
Ukishakuwa muuza ngada jua hutaacha mpaka kifo kikutenganishe au ufungwe jela
 
Watapata Tabu Sana
Watapigwa Watachakaa!!!!
 
Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.

Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Eeeeeeer?????
 
Safi sana ,wameharibu nguvu kazi kubwa sana ya taifa
Alafu alivyompumbv kutwa kuwa hadaa wakina mama na motivation talks zake
Sjui women empower,namna ya kuwa mjasiriamali bora....mm sjui role model
Kioo cha Jamii
Sjui nlianza na mtaji wa laki moja leo Nna mamilion....uwongo mtupu
Alafu nchi hii bado watu wakawa wanampa coverage ya kuhojiwa kwenye mkasi,etc
Kumbe wauza sumu

Ova
 
Boss naongea ninachokifahamu. Sizingumzii makapi, nazungumzia Uncut heroine toka wao wanapopaita shamba, uzito wa gram 400 popote pale duniani haifiki bei uliyoitaja ya million 200. Na uncut heroine ndo inayosafirishwa na naamini ndo waliyokamatwa nayo hao mabwana. Huyo teja itakuwa kakwambia hizo data akiwa hajui what it worth.

Umezungumzia swala la pipi, pipi za madawa zinafungwa katika standard ya gram 10 kwa pipi moja. Hivyo katika hiyo gram 400 zitatoka pipi 40 za kumeza.

Nimezungumza na teja but ndo alikua muuzaji ndo mana umekuuliza umeona upimaji na uuzaji zinavyo uzwa unaweza ukawa unajua bei la muhindi shambani lkn usijue bei ya hindi mtaani nimeonyeshwa mpk jinsi wanavyochanganya ili wapate dosi ya kuwatosha mana wengi mtaaniawawezi gharama yke nimeangalia mtaani wanavyotengeneza faida mkuu
 
Halafu kwa nini hawa wanaokamatwa wanakutwa na kiasi cha Grams 300/400 tu?

Kwenye gari lako ukikutwa na gunia moja la.mkaa huwaga hainaga shida..nu kwa matumizi ya nyumbani na sio biashara...

Kule.marekani kuna majimbo unga na marijuana ni ruksa....mradi tu usizidi kiwango flani....ni kwa ajili ya matumizi binafsi..

Cyril ramaphosa raisi wa afrika ya kusini huwa anapiga kipisi mara nyingi kabla.ya kufanya maamuzi mazito...nadhani nako kuna vigram vinahusika....

Mazingira
 
Hahaaa!!ila Mange sikutegemea km atagombana mpk na mwamy na Kick Zimba daah
Halafu KIKI huyo huyo ndio alikuwa matron kwenye harusi yake mange lakini bado mange akamuibia idea ya kazi mwenzake, ila kina Kiki na mumewe nao baada ya mange kuzidi kuwachokonoa wakamchokonoa vyema na ndoa yake ikafa..wadada wa mjini kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom