ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,282
- 4,251
Mbona sijamuona Mange wala Marehemu Ruge ina maana hawakuwaga karibu n bwana Nsebo na bibi Shamimu2013
Full HD 'Dokumentari' ya wawili hao Abdul & Shamim
Source : iview studios
c.c. figganigga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sijamuona Mange wala Marehemu Ruge ina maana hawakuwaga karibu n bwana Nsebo na bibi Shamimu2013
Full HD 'Dokumentari' ya wawili hao Abdul & Shamim
Source : iview studios
c.c. figganigga
Huu ni uongo, gram 400 haifiki hiyo bei kwa TZ, hata huko China ambapo ndo bei ipo juu gram 400 haiuzwi hiyo bei. Yes heroine inauzwa pesa nyingi, ila polisi huwa wakimkamata mtu hawatangazi bei kuepusha kutamanisha vijana kujiingiza katika hiyo biashara kutokana na tamaa ya pesa.
AnogaAusindile
Yule wa kwanza wa shamimu ataenda kwa babake, yule wa kwanza wa Abdul ataenda kwa mama ake, huyo wa kwao ndio ataenda pale magomeni mkuu..Wazazi wamepata watoto wao kiulaini maana walikuwa wanatishwa na pesa.Ndugu wenyewe wale wa Magomeni mhhh!
Yaani wauza unga mnateteana mno, kwanini hampendi kusikia watu wakisema ukweli? Yaani mnaona bora kuangamiza watoto wa wenzenu siyo?
Mkuu unaongelea makapi au ushawahi ona pipi hiyo ni kasoro gram 100 kufika nusu kilo unajua unga unauzwaje kwa mtu wa mtaani ujanua bei yake kwa cha ukucha nimepata nafasi kuongea na muuzaji ambae nae amekua teja nimeona unga wenyewe sasa cjajua umeongelea unga gani mkuu
Matombo? Nielekeze niwe jirani yako kwenye huo mjiYessss sasa Mwamvuta Makamba nimesoma nae darasa moja kpnd Mzee Makama RC Morogoro. Alikuwa dada mmoja simple sana ghafla mujii ukambadilisha hahahaaa mjini siji ng'ooooo acha nibaki Matombo.
sio kufunga ramadhani tu mkuu, kuna huyo Kanyau ALIJENGA MSIKITI kabisa na watu wanaswali pale kama kawa.Tamaa za kijinga hizi. Unakuwa mtumwa wa tamaa mpaka unaangamiza watoto wa watu kwa madawa ya kulevya huku ukifunga ramadhani na kuomba Mungu akusamehe. Kayapata aliyokuwa anayatafuta.
Ukishakuwa muuza ngada jua hutaacha mpaka kifo kikutenganishe au ufungwe jelaMamalaka ya kupambana na kuzuia dawa za kulevya imemtia nguvuni Abdulndinda na mkewe jijini dar wakiwa na heroin kilo kadhaa.
Hivi hawa jamaa hawajui hiyo biashara hailipi kwa sasa?
Ni bora pesa haramu waliopata wangeibadilishia biashara kuliko sasa wanafilisiwa hata walichokusanya,shit
Yule ni Lilian Mwasha. Akiwa na Harris Kapiga,kipindi terminalHuyo Shamim Ndiyo Yule Wa Clouds Mtangazaji Ama?
Acha mange sababu anajulikana, story ya abdul na shamimu watu wengi wa mbezi beach na migomigo wanajua sema ndio hivyo kukaa kimya tu!Mnasemaga mange muongoo,haya sasa
Eeeeeeer?????Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Alafu alivyompumbv kutwa kuwa hadaa wakina mama na motivation talks zakeSafi sana ,wameharibu nguvu kazi kubwa sana ya taifa
Boss naongea ninachokifahamu. Sizingumzii makapi, nazungumzia Uncut heroine toka wao wanapopaita shamba, uzito wa gram 400 popote pale duniani haifiki bei uliyoitaja ya million 200. Na uncut heroine ndo inayosafirishwa na naamini ndo waliyokamatwa nayo hao mabwana. Huyo teja itakuwa kakwambia hizo data akiwa hajui what it worth.
Umezungumzia swala la pipi, pipi za madawa zinafungwa katika standard ya gram 10 kwa pipi moja. Hivyo katika hiyo gram 400 zitatoka pipi 40 za kumeza.
Halafu kwa nini hawa wanaokamatwa wanakutwa na kiasi cha Grams 300/400 tu?
Halafu KIKI huyo huyo ndio alikuwa matron kwenye harusi yake mange lakini bado mange akamuibia idea ya kazi mwenzake, ila kina Kiki na mumewe nao baada ya mange kuzidi kuwachokonoa wakamchokonoa vyema na ndoa yake ikafa..wadada wa mjini kazi kweli kweli.
Hao ni wauza ngada miaka mingi tu, sema wamechokwa kwa hyo wametafutiwa kesi wapitee! Ila ni kwel wanauza ngada, uliza magomeni na mbezi beach watu wanawajua vzuri sanana uhakika huo unga wamebambikiwa. inawezekana accounta zao zinasoma digits za kutosha serikali inataka kuzipunguza
Ebhana!,kwa nini lakini wanashindwa kuacha?Ukishakuwa muuza ngada jua hutaacha mpaka kifo kikutenganishe au ufungwe jela