Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
AhsanteHawawezi kuacha mkuu,wana mapunda kibao wale sema ni wajanja tu.Pia jamaa ana mdogo wake nasikia anaishi South ni Don hasa wa hizo mambo na ndio operator mkuu kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhsanteHawawezi kuacha mkuu,wana mapunda kibao wale sema ni wajanja tu.Pia jamaa ana mdogo wake nasikia anaishi South ni Don hasa wa hizo mambo na ndio operator mkuu kwa sasa.
Yule sista kiboko yake sisi tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yule sista anamajibu ukiingia anga zake ni balaaa
Kuna mwanangu alizima akayumba akataka aanguke pale nje saloon yule ssta alipiga simu polis osterbay
Huyo dada ndy mtu wa kwanza kuuza brazilian hair alifunguaga duka mikocheni
Kabla yke nlikuwa na mke wa rafiki yangu mmoja ni m Peru alikuwa anafanya kazi United nation alinipaga sample za nywele kama 3 hvi nizitafutie market wakati huo f bado!hajaanza mm nlikuwa sina idea na mmbo hyo si unajua mm mapori pori
Nlimfata f kumuliza idea nkamuzia moja
Mm nkasafiri ehh baada ya Muda nkasikia wao wanaleta nywele hzo wanauza
Nlichezea zali la mperu...hata hvyo mm na mambo ya urembo wapi na wpi
Ova
Mjini unaweza kujiuliza UMEFELI wapi kutafuta mwisho umkufuru Mungu, kumbe ni haramu tupu.Emba bortion na mama yake remina wauza ngada maarufu kino wamefichwana mamlaka kwa sasa. Hela za ngada dada alikuwa anapanda first class flights hizi front waliweka Saloon na kuuza ma lace wig back office au core business ilikuwa ni powderz. View attachment 1088675View attachment 1088680View attachment 1088681
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Huyohuyo. Nikiwaangaliaga wadada wanavyotamani maisha yao nabakigi nacheka tuu
Mjini unaweza kujiuliza UMEFELI wapi kutafuta mwisho umkufuru Mungu, kumbe ni harama tupu.
Emba bortion na mama yake remina wauza ngada maarufu kino wamefichwana mamlaka kwa sasa. Hela za ngada dada alikuwa anapanda first class flights hizi front waliweka Saloon na kuuza ma lace wig back office au core business ilikuwa ni powderz. View attachment 1088675View attachment 1088680View attachment 1088681
Unaweza fungua saluni ya kusasa kuliko zao lakini ukaishia kufunga na hasara juu, unajiuliza nimekwama wapi? Kumbe heeehe..mjini haramu zinabeba watu.Ila haramu banaaa sasa hawa unaweza waona wamefanikiwa na saloon kumbe haramu ndo mpango mzima
Unaweza fungua saluni ya kusasa kuliko zao lakini ukaishia kufunga na hasara juu, unajiuliza nimekwama wapi? Kumbe heeehe..mjini haramu zinabeba watu.
Umenikumbusha Nyandu Tozi na biashara yake ya samaki, sijui alikuwaga anawatupa wapiUkiwakuta wanaongelea mafanikio sasa utasema ngoja nichukue laki na Mimi nianze kazi ya vitumbua hutoboi ng'oo
kwa Tanzania gram 400 na kuendelea unachukuliwa kama drug dealer.ukisoma ni kuwa wamekutwa na zaidi ya gram 400.Na sio gram 400 kamili.so wanasema ""mtuhumiwa amekamatwa na zaidi ya Gram 400 za madawa ya kulevya""Kwa mimi hii mara ya 3 nakutana matukio matatu tofauti wote wana Gram 400 hii kitu kuna sinema kubwa sana[emoji1607][emoji1607][emoji1607]
Sasa Range ataisukumia Segerea...Na yeye yuko kwenye list wa madada wanaoishi Mbezi Beach na kusukuma Range
Nini sababu ya talaka yake?Yaaani hapo ndo huwa sikubaliani na Mange. Yeye kudhalilisha wenzake tuu ila yy hana cha kudhalilika na hawataki. Talaka ilimtesa hasaa.
Hahaaa!!yaani hawa watu wanatupwagaaa kaaah!Mungu awalaani sana!Umenikumbusha Nyandu Tozi na biashara yake ya samaki, sijui alikuwaga anawatupa wapi
Mange alimsaliti Mzungu na mshikaji mmoja hivi, sasa ilivuja email aliyokua anatuma kwa mwamvita,kuhusu mshikaji alivyo mtamu mpk akataka kumpa tigo...toka hapo ndoa haikua sawa akabeba mimba fasta ya Keanu bado mambo hayakua vzr...!!!mpk kajifungua si unajua wenzetu cheating ni kosa kubwa sanaaa!!!Nini sababu ya talaka yake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125],kumbe saloon ni geresha tuUnaweza fungua saluni ya kusasa kuliko zao lakini ukaishia kufunga na hasara juu, unajiuliza nimekwama wapi? Kumbe heeehe..mjini haramu zinabeba watu.
Ukichanganya na mama mkwe hakuwahi kumpenda kwa kupenda kwake mambo makubwaMange alimsaliti Mzungu na mshikaji mmoja hivi, sasa ilivuja email aliyokua anatuma kwa mwamvita,kuhusu mshikaji alivyo mtamu mpk akataka kumpa tigo...toka hapo ndoa haikua sawa akabeba mimba fasta ya Keanu bado mambo hayakua vzr...!!!mpk kajifungua si unajua wenzetu cheating ni kosa kubwa sanaaa!!!
Mrangi heshima yako mkuu,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tena wazee wnaotumwa ni wapya wanataka sifa lzma wakome
Ova
...Mange alimsaliti Mzungu na mshikaji mmoja hivi, sasa ilivuja email aliyokua anatuma kwa mwamvita,kuhusu mshikaji alivyo mtamu mpk akataka kumpa tigo...toka hapo ndoa haikua sawa akabeba mimba fasta ya Keanu bado mambo hayakua vzr...!!!mpk kajifungua si unajua wenzetu cheating ni kosa kubwa sanaaa!!!