Tuna
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,267
- 1,643
Aise ni kweli Babaangu hata Masawe anajua.Kabila letu hili kikubwa "PESA" hizi mambo za ustaarabu, utu, tupilia mbaliii aisee babangu.sisi ni PESA tu haijalishi zinatoka kwenye matambiko, kuua, kupakatwa na mwanaume mwezio, kuiba, rushwa, kamali, dhuluma hiyo hatujali. la kutokea ni ajali kazini, sisi ni pesa pesa ni sisi.