Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Hapo ponapona yao ni ''Jail Break'' halafu wakimbilie hata huko Somalia!Hukumu tayari, maisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ponapona yao ni ''Jail Break'' halafu wakimbilie hata huko Somalia!Hukumu tayari, maisha.
Wao be huruma ya Rais Samia ndani ya mwaka mmoja hivi.Hapo ponapona yao ni ''Jail Break'' halafu wakimbilie hata huko Somalia!
Sheria inasemaje?kwanini wao tu waonewe hurumaWao be huruma ya Rais Samia ndani ya mwaka mmoja hivi.
Haya makosa hayanaga msamaha.Ni Jiwe tu ndiye aliyekuwa akikanyaga sheria na kuwaachilia wafungwa wa design hii!Wao be huruma ya Rais Samia ndani ya mwaka mmoja hivi.
Ni kwa tabia njema ukiwa gerezani unaweza kupata msamaha wa Rais baada ya kutumikia muda flani.Sheria inasemaje?kwanini wao tu waonewe huruma
Ova
Izo dawa za kuteketezwa bado zipoView attachment 1739389
View attachment 1739390
MFANYABIASHARA ABDU NSEMBO NA MKEWE SHAMIM WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA.
Wafanyabiashara hao walioshtakiwa Baada ya kudaiwa kukutwa na shehena ya dawa za kulevya aina ya Heroin wamehukumiwa Kifungo cha Maisha Jela.
Hukumu hiyo iliyotolewa na Mahakama kuu divisheni ya makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ijulikanayo kama Mahakama ya mafisadi imetoa amri ya kutaifishwa kwa mali za wawili hao Pamoja na kuteketezwa kwa dawa hizo.
Daaaah msskini aseerHukumu tayari, maisha.
Mzee Mwasha masikini.
Hahaha prison break hapo...yaani kama kweli walikuwa na biashara yenyewe hapo una hire tunnel engineers mzeye una escape kama de guzman🤣🤣🤣🤣Hapo ponapona yao ni ''Jail Break'' halafu wakimbilie hata huko Somalia!
erious? Dah shamimu jamanHukumu tayari, maisha.
watakua hawana hela wale ma mogul wenyewe wangeishatoa mpunga wangeshinda kesi kwasababu kesi yenyewe ilikua nyeupe si unaonaga yale makilo hayajulikanagi mwisho wakeHahaha prison break hapo...yaani kama kweli walikuwa na biashara yenyewe hapo una hire tunnel engineers mzeye una escape kama de guzman🤣🤣🤣🤣
Eeeh! YametimiaHuyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Yani sio poa kwa kweli pole yao hawa ndugu zetu tuna somo la kujifunza apa inshort haya maisha tuishi tu kwa uwezo wa kile tunachokipata tusitake makubwa sana tunawagharimu wale wanaobaki mtaaniEeeh! Yametimia
Serikali kwenye issue ya madawaz imajipanga.. unaeza honga ukaishia mawe ndani.. cheni yake ki usalama ni ndefu sana.. Kiasi kwamba wanaogopanawatakua hawana hela wale ma mogul wenyewe wangeishatoa mpunga wangeshinda kesi kwasababu kesi yenyewe ilikua nyeupe si unaonaga yale makilo hayajulikanagi mwisho wake
Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Maisha jelaa sasaHuyu nsembo rafikia sana na Kinje na lemutuz na bashite. Itakuwa wamepishana kiswahili na bash boy. Kawatengenezea zengwe ila watatoka na hakuna atakayefungwa hapo. Wanatikiswa wateme mpunga
mkuu huko kwenyewe kuna vigogo wanahusika hawa jamaa sio wepesi kiivyoSerikali kwenye issue ya madawaz imajipanga.. unaeza honga ukaishia mawe ndani.. cheni yake ki usalama ni ndefu sana.. Kiasi kwamba wanaogopana