Basi na huu wimbo kwny hii video inahuzunisha kweli kweli. Ila akiwa hana make up ni mzuri zaidi hapo kwny reception na hyo make up kawa kama mzeeAbdul Nsembo na Shamim Mwasha
Full story ya maisha ya wawili hawa inasimuliwa na wenyewe bwana na bibi harusi ktk Video wedding / reception na walikutana vipi wawili hawa ambao leo pia mbali ya pingu za maisha pia wameishia kwa pamoja kuhukumiwa kwenda jela maisha. End of the Story.
Ile siku waliyovamiwa na watu kitengo cha madawa ya kulevya sijuia askari nyumbani na zama zilivyokua alitakiwa asome alama za nyakati. Angeplay victim of circumstances ingeweza kumsaidia. Ila sasa watu wamekuja ukamficha mume kwenye dari, wewe nae biashara yako mjini haieleweki kila siku una vibubu vya milioni lazima wakuunganishie.Mkuu unapropose Shamimu angemsaliti mmewe.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Angekaza tu mzee baba. CCTV camera kitu gani. Hazina sauti na hazitoi detaiz za ulichonacho .. hata kama unga kwa CCTV bado nakukataa labada kama CCTV zinazo scan na ku display details za mzigo ila hizi za kawaida na kukataaa tu. Ligi ingemtoa kwenye kifungo cha maisha.. sasa Shamimu ndio atomb.wi tena hadi afie huko ? au wanatutania
Mtoto wa kike ungeweka swagg basiLile ghorofa Mbezi Beach jamani
Wale kosa wamefanya, na mbaya au uzuri jamaa amekili kosa. Na adhabu ambayo wamepewa inastahili.Mimi sipendi tabia ya watu kutafuta huruma na kutupa lawama, hii tabia inaonesha how irresponsible people are.... Ukifanya kosa iwe dhambi au jinai jua kuwa kuna hukumu yake siko moja, ikifika pokea kikombe hicho na uachilie roho.
Hayo ni mambo ya kina Juma Lokole 😂Mtoto wa kike ungeweka swagg basi
ilitakiwa useme "jomoni"
Kimeumana [emoji16]Acheni kupush ngada. Mtamsingizia Makonda kila kitu badala ya kuacha michezo yenu.
Kimeumana.
Mwandiko umeumanaKuna mtifuano hadi basi. Shamimu aliacha mine wake, akakae kupita Bwana wa rafiki yake hadi ndoa. Shamimu machachari kweli kweli. Hana tofauti na joka la makendeza.
Makosa ya dawa za kulevya hayako kwenye plea bargaining. Ila huyu mama angepunguziwa adhabu busara ilitakiwa itumike hapa angalau akalee watoto wale jamani. Waswahili walisema tamaa mbele mauti nyuma
Na wamekula bonge la hukumuBonge la harus
Dah aisee inasikitisha sana, hasa nikiwaza watoto wanabaki kama yatima.Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi), imewahukumu kifungo cha maisha Mafanyabiashara Abdu Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kujihusisha na dawa za Kulevya aina ya Heroin .
Pia mahakama hiyo imetoa amri ya kutaifisha mali za Wahukumiwa ikiwemo gari aina ya Discover 4 ili liwe mali za Serikali, huku dawa hizo zikitakiwa kuteketezwa.
Hukumu ya kesi hiyo namba 4 ya mwaka 2020, imetolewa Jaji Elinaza Luvanda baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili kati ya Jamhuri na Utetezi na kujiridhisha kwamba Watuhumiwa wamekutwa na hatiani katika makosa mawili ya usafirishaji dawa za Kulevya.
Wawili hao walishtakiwa baada ya kudaiwa Mei Mosi, 2019 wakiwa eneo la Mbezi Beach, Wilaya ya Kinondoni, jijini DSM kinyume na sheria ya uhujumu uchumi walikutwa na dawa hizo.
Ikumbukwe hapa JF kupitia Member wake wanawafahamu fika.
Pia soma
Ni rahisi hivyo hivyo. Na kama ungesoma kuelewa ungeelewa. Nimekuambia kuna aggravating factors (hizi zinafanya kwanini usipate adhabu nafuu) na mitigating factors (hizi zinafanya kwanini upunguziwe adhabu upate adhabu nafuu) na yote kwa pamoja wataangalia ukomo wa adhabu sheria inasemaje. Mfano kosa la mauaji ya kukusudia adhabu yake ni kunyongwa ukikutwa na hatia haijalishi umetoa mitigating factors zipi adhabu haiwezi kupungua sababu sheria ishasema ni kunyongwa hadi kufa. Kwahiyo na hii kama sheria inasema ni kifungo cha maisha mitigating factors haziwezi kusaidia. Ila katika mazingira mengine ya kesi zinginezo mitigating factors zinasaidia kupunguza adhabu .....kama ni rahisi hivyo kwa upande wa ngada, kila dada atazaa watoto
then ata push ngada kama kawa na kula bata, maana anajua akidakwa atatumia kigezo cha kua 'nna watoto nahitaji kuwalea, naomba adhabu ipungue'
mahakama sio wajinga kiasi icho
Wasaidiwe ili iweje...mbona waonwalikuwa hawasaidii addicts?Serikali itasaidia vipi watoto wao?
Na jasho linakuwa pertol 😀😀Sawa tunaambiwa dhambi zote ni sawa[emoji29][emoji29]...ila nahisi kuna mimoto ya madaraja tofauti, kuna watu moto wao kuni ni chuma
Ubaya ubaya tu eeh! Ila Shamimu naenda mtoa.. mzee baba nijiwekea ndaniWasaidiwe ili iweje...mbona waonwalikuwa hawasaidii addicts?
Hapa nikusomba mali zote watajiju wenyewe. Ukishaanza weka exceptions hapa tutabugi.
Ni rahisi hivyo hivyo. Na kama ungesoma kuelewa ungeelewa. Nimekuambia kuna aggravating factors (hizi zinafanya kwanini usipate adhabu nafuu) na mitigating factors (hizi zinafanya kwanini upunguziwe adhabu upate adhabu nafuu) na yote kwa pamoja wataangalia ukomo wa adhabu sheria inasemaje. Mfano kosa la mauaji ya kukusudia adhabu yake ni kunyongwa ukikutwa na hatia haijalishi umetoa mitigating factors zipi adhabu haiwezi kupungua sababu sheria ishasema ni kunyongwa hadi kufa. Kwahiyo na hii kama sheria inasema ni kifungo cha maisha mitigating factors haziwezi kusaidia. Ila katika mazingira mengine ya kesi zinginezo mitigating factors zinasaidia kupunguza adhabu .
Daah [emoji16]Ndio wanasema kwenye shida na raha