Wee jamaaa itabidi tuonane siku zikinitembelea tuenjoyAyaaaaaa... utafaidaaa dah! Upo zako visiwa vya carebean na watoto kama wamejiumba, na Cigar mdomoni , uko kwenye kipensi cha hawaii na mkononi upo na grace ya scotch whiskey.. mkononi saa moja matata sana ya rolex ina ng'aaa kama juaa la dar es salaam.. watoto wanakurukia rukia tu kama babu yao.. hapo umepiga sun grass moja expenisve matata sanaaa😀😀😀😀
Allu ndo mdogo wa WemaHivi yule fetty ni kile kidada wema anasemaga ni mdogo wake kina macho yamelegea?
Au naomba zao kama hutajali
Ndiyo maana wa imani zao husema ukipata kisanga kama hicho, lia weeee mpaka sauti ikukauke[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] kisha futa machozi kunywa na maji, kisha anza upya utaona MUNGU anavyo kubariki[emoji23]Ukiona Mungu amekuepusha na kitu fulani we shukuru tu maana huwezi kujua ni nini hasa kingekutokea baadae yaani kwenye kila jambo mtangulize Mwenyezi Mungu yeye ndio anajua hatima ya maisha yako ya sasa na ya baadaye. Nimewahi kulala porini siku tatu bila msosi nakunywa tu maji na maji yenyewe ni yale ambayo wanyama wanayanywa plus ndorobo lakini Mungu ni mkubwa. Ni historia ya ukweli kuhusu mimi hata huyo manzi aliyegeukwa hakuyajua haya kama yangemtokea mwenzie aliyemgeuka kwa Bwana yake.
Wametaja gari tu ,ina maana nyumba walikuwa hawana?
Hahaha Mtoto wa kiume kuwa unamuonea wivu mmpanaji mwenzio ni umama ndio shida ya kuishi kwa shemej toka nje demu ww uone maishamie wala sina kinyongo mkuu....tunaambiwa tumshukuru MUNGU kwa kila jambo......washinde wasishinde.....ila kosa moja walifanya....huyo basha wako ALIKIRI.....kosa kubwa sana.....so tafuta basha mwingine.......mtaa umeamia KEKO.....hakuna wa kukulea.....
😀😀😀😀.. Kuenjoy ni itakidi yetu na vitu vizuri vizuri ndio raha yenyewe ya duniani.... hata siku za maisha zinakuwa nyingi 😀😀😀😀Wee jamaaa itabidi tuonane siku zikinitembelea tuenjoy
Jamaa kabadilika kinoma kawa mbabe tofaut na zaman kabisa sijui anapiga push up ngap kwa siku Mr Nsimbo kiboko kabisaNa miwani yake ya vioo
Kumbe sio mapacha waleWale si mapacha,mmoja wa Shamimu kwa ndia yake ya kwanza yule mwingine wa Abdul kwa mdada gani huko sijui.
ili washinde kesi wanatakiwa wawe na wakili muhalifuHukumu iliyotolewa ni kali kupita kiasi. Wangepunguziwa kidogo hata kifungo cha miaka 7 na faini. Mawakili wao wasaidie kwa kweli.
Mkewe aachiwe kwanini?Kama ww mtoto wa kiume haya mambo kawaida tu tena kawaida sana woga wako ndio umasikin wako labda watoto wa mama ndio wanalia lia sema mkewe angeachiwa kiongoz akapambana kininja
Madawa yanaharibu sana,yanafarakanisha familia, uchumi wa familia unashuka na mwisho waathirika kama sio kufa basi ni kifungo au maradhi ya kudumuUsiombe uwe na ndugu teja[emoji848][emoji848]
Vidhahabu vyetu na simu vinakombwa daily
ulijaribu kuweka million kwenye kibubuNilijaribu kuweka kama yeye almanusura nipake heart attack, si kwa mipresha ile...ikabidi nikiwa namuona najisikia wivu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao ndio yatima wa kwanza Tanzania?... watalelewa tu ila sio kwa standards walizozoea...huku tz tuna ule msemo "mtoto wa mwenzio ni wako"...sema sijaelewa kwa nini wawachukulie mpaka nyumba, wangewaachia hata kibanda kimojaUtawalea wewe? Yeye ni tamaa zake za kutaka matajiri zimemponza bila kujali hela za hao matajiri zimetoka wapi.
Kwani Shamimu si ana ndugu yule, wawili wale watabeba majukuku hayo nahisi.Serikali itasaidia vipi watoto wao?
Kujua umri wa watoto haitasaidia, wamewasambaratisha vijana waapi kwa biashara yao hii?Watoto wao wana miaka mingapi???
Kusamehe ngumu sana, ndugu yangu mmoja zamani alipigwa nusu kufa...alikuwa akipata alosto anatembea kutoka kwao kawe hadi kwetu tabata ili umpe hata buku 2 tu akapone (ukiona anavyotetemeka utampa tu)....na mara nyingi alikuwa anafika usiku mnene watu tumelala kwahiyo anaruka ukuta anaanza kuwagongea madirishani...sasa siku hiyo alikutwa na sungu sungu walipiga sana...cha ajabu sasa alikujaga kufanikiwa kuachaWatatoka, kuna mambo ya kiufundi mengi wakicheza nayo vizuri wanatoka. Kuna sehemu mwamba alizidisha ugumu wa jambo lake hasa alipo enda ku confess kwa DPP ingawa nayo sio isseu anaweza pindua vile vile . Kufungwa maisha ni mbaya sana.. ni kweli wameumiza sana watoto wa watu, lakini msamaha kwa binadamu ane jutia hutolewa hata na Mungu. Mie nikiwa mmoja wapo kaka yangu alikuwa kama chizi na zilimuua dawa, nilishasamehe.. kutokusamahe haindoi tatizo
Kujua umri wa watoto haitasaidia wamewasambaratisha vijana na watoto wa wengine wangapi kwa biashara yao hii?Watoto wao wana miaka mingapi???