Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake
Chawa nenda shambani ukalime...upunda sio ujanja
 
Naona watu wanajadili kwa mioyo zaidi kuliko akili. Nilitarajia watu waoneshe kisheria bi dada kaonewaje. Ila naona ni emotions ambazo hata jaji atakuwa alikuwa nazo haswa akijua watuhumiwa ni wazazi.

Ila choices have consequences!

Indeed Chief! “Choices have consequences!”
 
Acha roho mbaya hujui ww utaishia wap hayo maneno waachie watoto wa kike kina mange kimambi sisi wanaume safari bado tuombe mwisho mwema mkuu tusifrahie matatizo ya mwanaume mwenzetu
Facts, though haihalalishi kuwa tufanye maovu..
 
Sasa kesi ile ina tofauti gani na hii kama mjadala wa kumuokoa Shamimu ni kwamba ako na watoto wadogo?
Mm hata siungi mkono iyo hoka ya kumuokoa
Waswahiki tunasema mkutwa na ngozi ndiye mchinjani kama mzigo ulikutwa kwake ina maana anahusika na isitoshe polisi walichunguza na wakaja na ushahidi
Alafu nasikia bidada alikuwa na msela wa awali dada akamkataa jamaa kisa hana pesa sasa hii pia ni fundisho kwa akina dada wengine yaa kuwa settle for less
 
Facts, though haihalalishi kuwa tufanye maovu..
Mkuu sijasema tufanye maovu kuna muda maovu yanakufata haya sio mambo ya kuchekana tuchekane kweny mambo ya kawaida kuachwa na demu hayo ndio huwa tunachekana
 
Bora umwambia zero brain huyo anachojua ni kutunga uwongo tu sijui anapata faida gani[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
Wee kikaragosi muuza chapati chafu una hamu na mimi eeh?

Niquote mimi acha kudandia wanaoniquote mimi!

Mama ntilie mchafu, umekosa wateja leo?


Btw kinachokuchekesha kwa kila comment ni nini? Au una utaahira mwenzetu
 
Bora useme wewe humu watu wanatunga sana ukijaribu kuwaelewesha wanakuja na matusi kama kuna ugomvi[emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji16]...
Kabisa shamim alikaa karibu miaka mi 4 ndio kukutana na Nsembo

Lakini kikubwa kilichomponza Shamimu (na kitaendelea kuwaponza wengi wa kikeni nyakati hizi) ni “udada wa mujini!” NT; sio mjini ni Mujini!

She had a dream of a certain life or maybe, she had I thirst of a certain class of life!

Majuto ni Mjukuu by the way!
 
Kwa kweli life imprisonment is as good as rest in peace. Hapo wasali na kuomba labda Court of Appeal wanaweza kutoka kama kuna makosa katika proceedings ya case.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hawa wanatoka kutokana na mapungufu ya chain of custody ya exhibit s sema tatizo wanakutana na mawakili vilaza.....
Sema kama walikiri kosa na huo ushahidi ukatumika dhidi yao hapo ndio baas tena
 
  • Thanks
Reactions: Ilu
Mm hata siungi mkono iyo hoka ya kumuokoa
Waswahiki tunasema mkutwa na ngozi ndiye mchinjani kama mzigo ulikutwa kwake ina maana anahusika na isitoshe polisi walichunguza na wakaja na ushahidi
Alafu nasikia bidada alikuwa na msela wa awali dada akamkataa jamaa kisa hana pesa sasa hii pia ni fundisho kwa akina dada wengine yaa kuwa settle for less

Hapo “alafu nasikia”...... I ain’t a rumor monger! Sorry Chief!

History ya Shamimu iko wazi sana! Unless you are madly lazy!
 
Pole mwaya,kuna watu walijiunderestimate. Maana mwenzao anaweka million kwa wiki,siku. Wenyewe hata elfu kumi tu ni shida. Watu wakawa wanajidharau. Kumbe mwenzao ni drug dealer.
Daaah na kibubu nilinunua kabisa

Mwenzako anashindilia kimilion we unatoa mimacho tu[emoji848][emoji848]

Ila aliniinspire vibaya mnoo[emoji122]
 
Back
Top Bottom